Dr Akili,
But Dr.hoja yako ni nzuri but middle class wewe mbona unajifanya huyaoni yanayotokea katika maisha yetu ya kila siku?,why umetoa mfano wa CDM na sio ziara za our no 1,au SG wa chama dola,au michezo mbalimbali inayoendelea kufanyika?
hili suala its not a joke au usiliweke kisiasa,na kwanza tumechelewa ilitakiwa tufunge vyuo na mashule yote,funga mipaka yote ,bakisha ile muhimu kwa uchumi wa nchi na idhibitiwe,visa zote futa hasa kutoka zile nchi zenye maambukizi makubwa kama china, iran,Italy, uk, usa.
misiba,harusi zithibitiwe ili kupunguza msongamano wa watu,public transport ziwe na sanitisers,na mwisho wananchi waelimishwe kuwa nawa nawa nawa nawa nawa nawa MIKONO YAKO ,JIKAUSHE KWA TISSUE AND KUWA MWANGALIFU NA KUPELEKA MIKONO YAKO USONI AU KUSALIMIANA KWA MIKONO.pamoja tunaweza kuushinda ugonjwa huu,leave politics for now please kwenye hii issue.
But Dr.hoja yako ni nzuri but middle class wewe mbona unajifanya huyaoni yanayotokea katika maisha yetu ya kila siku?,why umetoa mfano wa CDM na sio ziara za our no 1,au SG wa chama dola,au michezo mbalimbali inayoendelea kufanyika?
hili suala its not a joke au usiliweke kisiasa,na kwanza tumechelewa ilitakiwa tufunge vyuo na mashule yote,funga mipaka yote ,bakisha ile muhimu kwa uchumi wa nchi na idhibitiwe,visa zote futa hasa kutoka zile nchi zenye maambukizi makubwa kama china, iran,Italy, uk, usa.
misiba,harusi zithibitiwe ili kupunguza msongamano wa watu,public transport ziwe na sanitisers,na mwisho wananchi waelimishwe kuwa nawa nawa nawa nawa nawa nawa MIKONO YAKO ,JIKAUSHE KWA TISSUE AND KUWA MWANGALIFU NA KUPELEKA MIKONO YAKO USONI AU KUSALIMIANA KWA MIKONO.pamoja tunaweza kuushinda ugonjwa huu,leave politics for now please kwenye hii issue.