Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Moja kwa moja kwenye mada, obvious siioni mantiki ya kufunga shule tu na kuacha vyuo, maana vyuoni pia kuna mkusanyiko mkubwa sana wa watu.. Na kama mambo za mabweni yapo kama kawaida..
Vyuo kama vya ualimu, kilimo, afya na kozi mbalimbali wanachuo wamelundikana vyuoni.
Ombi langu kwa serikali ni kwamba fungeni mpaka vyuo kwa huu mda wa mwezi mmoja hapo nitaona mantiki ya hili suala.
Ila kwa ujumla tu, tuendelee kumwomba ALLAH atuepushe na hili janga.
INSHAALLAH
Vyuo kama vya ualimu, kilimo, afya na kozi mbalimbali wanachuo wamelundikana vyuoni.
Ombi langu kwa serikali ni kwamba fungeni mpaka vyuo kwa huu mda wa mwezi mmoja hapo nitaona mantiki ya hili suala.
Ila kwa ujumla tu, tuendelee kumwomba ALLAH atuepushe na hili janga.
INSHAALLAH