Ninaumia sana, ninapo ona watu wanakaa magengeni mitaani wanapiga story, wengine wanalandalanda tu, mtaani, wengine wabishi kila kitu wanataka uthibitisho kana kwamba corona inasingiziwa kumaliza watu, waTz hatukuzoea kufa kwa mtutu, au mass, kulingana na historia yetu, nafikiri imetufanya tuwe na mizaha sana, basi wajinga wachache watatufanya tupigane na corona miaka nenda rudi, tushauliane mala ya ngapi ndio tuelewane!
watu hawajali,watu hawana wasiwasi, bora wanao tegemea kipato kila leo, haikwepeki, lakini mtu yupo tu,anadhulula, corona sio mchezo, tutakwisha wote hapa mjini.