#COVID19 Vita dhidi ya COVID-19 Angola imetuumbua, Balozi awajibike?

#COVID19 Vita dhidi ya COVID-19 Angola imetuumbua, Balozi awajibike?

Picha zimesimama tokea zamani ipi? ... Angola na Tanzania ni "nchi marafiki" hata vyama vya ukombozi vya nchi hizo MPLA na TANU/CCM ni damu damu na wote ni wanachama wa SADEC na AU tokea enzi za OAU. Wapigania uhuru kadhaa wa Angola enzi hizo walikuwa hosted Tanzania.
Watu hawajui historia ya juzi tuu ya Mwalimu Nyerere alikua anatoa mifano hatuwezi kuwa huru wakati Angola,msumbiji na SA kuna matatizo lazima tupambane kuzikomboa hizo Nchi...
 
Nilikuwa South Africa, nchi inayoongoza kwa wagonjwa na vifo, lakini sikuwa nasikia vifo mara kwa mara kama hapa.

Kwa kuangalia taarifa za matukio ya vifo, kuna uwezekano mkubwa kwa sasa Tanzania kuwa imeathirika zaidi ya Afrika Kusini.
Afrika kusini ipi ambayo hujasikia ulikua hospital au ulienda huko vijijini Port Elizabeth ambako wameathirika na huo ugonjwa ukiwa mjini mgonjwa akianza dalili anapelekwa kwao au hospital hapo End street kwenye Taxi za vijijini sasa hivi nao wana vipimo hawapakii mgonjwa yeyote hata wa kichwa usiongee hiyo kitu nashangaa Home wanaichukulia kawaida...
 
Kipimo kinaendelea kufanya kazi. Watu wanapimwa maana ni kati ya requirements za kusafiri nje ya nchi. Tatizo ni kuwa majibu yanaelekea kama vile ni ya kupangwa ili kuonyesha kuwa hakuna huo ugomjwa Bongo!
Athari za kupima maembe na mapapai. Tangu siku hiyo calibration ya chombo cha kupimia corona ililamba kirusi. Kipimo hakuna bali kipato maridhawa cha $100 kwa kichwa. Ujenzi miradi mikubwamikubwa ya kimkakati utakamilikaje?
 
Ni kweli na kuna wachezaji wanaondolewa hadi wapone, na kuna baashi ya mechi zinaahirishwa; kwa hiyo siyo jipya, Hoja iliyopo mezani ni kuwa Tanzania tunasema hakuna corona je hao waliogunduliwa kuwa na corona Angola waliipata wapi?- au kwenye ndege waliyosafiria!
Hivi wewe unaijua corona au unaisikia, corona ikikuchapa ndg homa kali koo linakauka uwezi panda ndenge,acheni properganda za kijinga kwani ni mara ya kwanza kusingizia Watanzania kuwa wana corona?kila siku madreva wa moroli ya mizigo walikuwa wanakataliwa kuingia Kenya,Rwanda,uganda kisa eti wana corona, lakini atukuona wakidondoka au kufa,mwisho wa siku yakaisha,sasa hivi wameanza tena mchezo wao.Mbona Simba wameenda Congo hawajakutwa nayo?au mbona Tip-mazembe na All-haly walikuwa hapa wakizurula wamerudi kwao akuna mtu aliyekutwa na huo ugonjwa?endeleheni kuiombea nchi mabaya lakini amtafanikiwa
 
Achana na fitna za soka la Africa
Mbona marubani hawakupimwa?
Mbona wafanyakazi wa kwenye ndege hawakuguswa?
Usirukie Mambo Kama huyajui
Hawa wapuzi tu,kila sila siku nikuombea nchi ipatwe na mabaya ila hawataweza Mungu yuko upande wa Tanzania
 
Achana na fitna za soka la Africa
Mbona marubani hawakupimwa?
Mbona wafanyakazi wa kwenye ndege hawakuguswa?
Usirukie Mambo Kama huyajui
Hawa wapuzi tu,kila sila siku nikuombea nchi ipatwe na mabaya ila hawataweza Mungu yuko upande wa Tanzania
 
Hizi habari za corona sasa zinachosha natamani uje uchaguzi kama mwaka jana ili watu wasahau hizi mambo.
 
Hivi wewe unaijua corona au unaisikia, corona ikikuchapa ndg homa kali koo linakauka uwezi panda ndenge,acheni properganda za kijinga kwani ni mara ya kwanza kusingizia Watanzania kuwa wana corona?kila siku madreva wa moroli ya mizigo walikuwa wanakataliwa kuingia Kenya,Rwanda,uganda kisa eti wana corona, lakini atukuona wakidondoka au kufa,mwisho wa siku yakaisha,sasa hivi wameanza tena mchezo wao.Mbona Simba wameenda Congo hawajakutwa nayo?au mbona Tip-mazembe na All-haly walikuwa hapa wakizurula wamerudi kwao akuna mtu aliyekutwa na huo ugonjwa?endeleheni kuiombea nchi mabaya lakini amtafanikiwa
Nchi ina mabaya mengi tu haina sababu ya watu kuiombea mabaya mengine. Haya yaliyopo yanaitosha
 
Mbona ata wachezaji wa nchi zilizoendelea wenye kila ujuzi wa kujikinga na Covid walishakutwa na Corona siku za nyuma,au aufatilii michezo?
Iweje kwa Tanzania uone tatizo ilhali ni janga la Dunia nzima?
Mbona tanzania corona haipo wameipata wap?
 
Too soon to talk about this, ungesubiri CAF watakapokaa kwenye kamati zake na kuamua hatma ya hizo timu ndio uje na huu uzi, inawezekana ni figisu za mpira wa Afrika walizofanyiwa Namungo FC ndio sababu ya mchezo kufutwa.
Namungo lazima itolewe, uwezi wapelekea wenzio gonjwa makusudi, eti god ameiondoa, wazimu!
 
Hivi wewe unaijua corona au unaisikia, corona ikikuchapa ndg homa kali koo linakauka uwezi panda ndenge,acheni properganda za kijinga kwani ni mara ya kwanza kusingizia Watanzania kuwa wana corona?kila siku madreva wa moroli ya mizigo walikuwa wanakataliwa kuingia Kenya,Rwanda,uganda kisa eti wana corona, lakini atukuona wakidondoka au kufa,mwisho wa siku yakaisha,sasa hivi wameanza tena mchezo wao.Mbona Simba wameenda Congo hawajakutwa nayo?au mbona Tip-mazembe na All-haly walikuwa hapa wakizurula wamerudi kwao akuna mtu aliyekutwa na huo ugonjwa?endeleheni kuiombea nchi mabaya lakini amtafanikiwa
Mkuu, Siyo Kila anayepata corona lazima aumwe. Kuna watu wanalipata mpaka inakwidha bila kujijua kuwa walikuwa nayo hasa vijana.
 
Mkuu, Siyo Kila anayepata corona lazima aumwe. Kuna watu wanalipata mpaka inakwidha bila kujijua kuwa walikuwa nayo hasa vijana.
Wewe acha uongo,uliza waliopata corona wakusimulie, corona ikupate usisikie dalili yoyote 😂😆😆😆 ingelikuwa hivyo dunia isingeliangaika hivyo
 
Umbali wote waliosafiri na chombo cha ndege inayopandwa na watu wa aina mbalimbali kisha hao wachezaji wamepimwa tayari wako nchi hiyo hiyo inayowatuhumu kuwa na UVIKO halafu unarusha kwa Rais Magufuli na Balozi wa nchi hivi kweli wewe unatumia akili za kibinadamu au ni kwa sababu ya CHUKI binafsi zinazothihirika hapa kwa kuwataja kwa majina unaowachukia?

Unachuki binafsi na wewe ni mpinzani wa kutumwa. Hapo ulipo wewe ni mgonjwa wa huo ugonjwa pamoja na kwamba unafuata taratibu zote za afya.

Huu ni ukosefu wa AKILI
Ewe chizi Acha kujitoa ufahamu mshennx mkubwa.....!!
Watu wanapuktika na UVIKO hapa Tanzania wewe unaleta longo-longo hapa?????




P

??
 
Sijafurahishwa kabisa na unyanyasaji walio fanyiwa hao wachezaji na viongozi wa Namungo Fc. Ni vyema mamlaka zetu nazo zikajipanga ili kuja kulipa kisasi kwa kuwafanyia fitna za kutosha hao kenge iwapo watakuja Nchini mwetu kucheza mechi ya aina yoyote ile. Yaani waliwageuza Watanzania wenzetu kama mbwa vile!! Nimekasirika sana!!😟

Ila siungi mkono pia ishu ya serikali kupotezea uwepo wa huu ugonjwa. Ni bora hata kile kituo chao cha kupimia sampuli za huo ugonjwa kinge endelea kutumika hasa kwa wale Watanzania wote wanao safiri nje ya nchi ili kuondokana na aina hii ya manyanyaso kwa Watanzania.
Hakuna unyanyasaji wowote waliofanyiwa hao wachezaji walichofanya hao Angola ni kwa mujibu wa muongozo wa WHO
 
Yaan kwa namna Yoyote ile Angola hawajawatetendea Haki wachezaji wetu na ikibd serikali inabd iliingilie Kat hiki

Ule NI uvunjifu wa Haki za kibinadamu

NB Mimi sio kijn wa Rumumba
Angola wapo sahihi jinsi wanavyodili na hili janga
 
Back
Top Bottom