Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,120
Msukuma uduni wa elimu ndio unaomla,
siku zote alikuwa wapi kuhoji hayo kama si hofu imezingira, na huenda ni mtumiaji au muuzaji hawezi tu kulipuka bure, hiyo ni defense mechanism kama yumo asubiri kutajwa........
The saga Continue
Anaongea nini sasa.
Na yeye akareport central akahojiwe. Tuhuma zake sio za kwenda kwenye media kujisemesha.
Hii tuhuma ya yeye kuwa na mahusiano ya kmapenz na dealer wa kmataifa wa madawa sio ndogo. Magufuli hapashwi kulifungia macho hili.
Na mali alizo nazo sasa zifanyiwe auditing. Huyu kwa mwaka mmoja inasemekana ameaccumulate mali kumzidi hata Raisi wake. Hata mawaziri hawamfikii. Sasa awataje wahisani wake wachunguzwe.
Na wale wauza shisha waliotaka kumuhonga awataje nao wahojiwe. Msitufanye sisi wajinga
Huyu atakuwa anashirikiana na gang flani la wauza unga ila kaja na project ya kuwaeliminate dealers wengne ili watakaobaki wawe monopoly ili wamake abnormal profit. Tusidanganyane hata siku moja mkuu wa mkoa ambaye ni kada wa CCM et kupambana na madawa ya kulevya. Huku ni kujitaftia mazingira ya kupewa rushwa tu na biashara mwisho wa siku itaendelea as usual.
Kumbe ndio maana kina Escobar huwa mnapigwa risasi hadharaniHii 05:00 unamaanisha saa kumi na moja alfajiri ama? Nilivyofundishwa mimi ni kwamba masaa yanaandikwa kwa namna mbili. Either kwa kutumia mfumo wa masaa kumi na mbili yaani 05:00PM/AM ambayo ni saa kumi na moja alfajiri au saa kumi na moja jioni au kwa masaa 24 yaani 0500HRS ambayo humaanisha saa kumi na moja alfajiri. Wewe umemaanisha muda upi mkuu? Au ulitaka kumaanisha saa tano asubuhi?
But still Makonda ana hoja ya kujibu kuhusu huo utajiri wake!
Boss wake juzi amemsifia tena amemtaka atembee KIFUA MBELE, hiyo Idara itamdhibiti vipi unadhani??Nawashauri Idara ya Usalama wa Taifa kumdhibiti Makonda.
Wewe ndo unajichanganya. Mleta mada kaandika vizuri na tumemwelewa. Rudi kasome tena madaHii 05:00 unamaanisha saa kumi na moja alfajiri ama? Nilivyofundishwa mimi ni kwamba masaa yanaandikwa kwa namna mbili. Either kwa kutumia mfumo wa masaa kumi na mbili yaani 05:00PM/AM ambayo ni saa kumi na moja alfajiri au saa kumi na moja jioni au kwa masaa 24 yaani 0500HRS ambayo humaanisha saa kumi na moja alfajiri. Wewe umemaanisha muda upi mkuu? Au ulitaka kumaanisha saa tano asubuhi?
kama kawaida go makonda go!
Lazima litupwe tena jiwe gizani ili tuwapate watakaogugumia tujue limewapata! kama akina msukuma
mimi ni tajiri kuliko makonda njoo mniulize
kama msukuma analipenda taifa angetakiwa kulisemea kabla ya makonda kuamka na hii operations
makonda anakamata, anafanya
msukuma anasema tu...
ona tofauti ya wanaume hapo
Wamekaa kimya miaka mingapi na hakuna la maana lililofanyika ? Huko nyuma ni drug dealers wangapi habari zao zilikuwa zinajulikana
Hii vita inahitaji massive campaign na ilipaswa hii vita itangazwe na PM,Waziri wa Mambo ya Ndani,Polisi washirikiane na vyombo vya habari hata wale wanaofanya hii biashara wafahamu kuwa now mambo yamekuwa tofauti.Duterte anawakamata na anawaua na ametangaza vita hadharani kabisa
Kuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.
Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.
Wawakilishi wepi hao wanaopiga kelele kina Musukuma au Nape, kwa hiyo wewe unataka wakae kimya kama kina Mwigulu, mbona Lumumba hamueleweki.Kuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.
Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.
Hongera kawa kuwa tajiri ndugu Waberoya natumai umeupata huo utajiri kwa njia zilizo halali kabisa.
Hoja kwa Mamkonda sio utajiri tu bali muda alio upata huo utajiri! Mishahara ya RC na DC inajulikana na amseshika vyeo hivyo kwa miaka mitatu tu.
And dont get me wrong I dont support Msukuma in any way of his! Just another crook to me.......
mkuu kabla ya hapo utajiri wake ulikuwaje? na then ulivyoongezeka umeongezeka kwa sh ngapi? mtoa tuhuma ana data kuhusu hili?
But still Makonda ana hoja ya kujibu kuhusu huo utajiri wake!
Vita hii imewachanganya sana Lumumba hawajui wamtetee nani wamuache nani.umaanisha Nape na Msukuma hawaeleweki??
Anaongea nini sasa.
Na yeye akareport central akahojiwe. Tuhuma zake sio za kwenda kwenye media kujisemesha.
Hii tuhuma ya yeye kuwa na mahusiano ya kmapenz na dealer wa kmataifa wa madawa sio ndogo. Magufuli hapashwi kulifungia macho hili.
Na mali alizo nazo sasa zifanyiwe auditing. Huyu kwa mwaka mmoja inasemekana ameaccumulate mali kumzidi hata Raisi wake. Hata mawaziri hawamfikii. Sasa awataje wahisani wake wachunguzwe.
Na wale wauza shisha waliotaka kumuhonga awataje nao wahojiwe. Msitufanye sisi wajinga
Huyu atakuwa anashirikiana na gang flani la wauza unga ila kaja na project ya kuwaeliminate dealers wengne ili watakaobaki wawe monopoly ili wamake abnormal profit. Tusidanganyane hata siku moja mkuu wa mkoa ambaye ni kada wa CCM et kupambana na madawa ya kulevya. Huku ni kujitaftia mazingira ya kupewa rushwa tu na biashara mwisho wa siku itaendelea as usual.
mpelekee Makonda ripoti ili aifanyie kazi , na mkumbushe majina 58 ayafuate ikulu babo yapo .ENDELEA NAWE KUCHEZA NGOMA NA MKURUPUKAJI MWENZAKOKuna baadhi vyama mpaka leo havieleweki vinasimamia maslahi ya nani, kuna wawakilishi wao walikuwa wanapiga sana kelele juu ya madawa ya kulevya leo mtu anasimamia wao wanakuja juu kutetea hao wahusika kila siku mapovu yanawatoka juu ya mapapa wa madawa hamjui kuwa viongozi wenu pia ni wahusika wakuu wa madawa nani asiye urafiki wa Lowassa na Rostam, rostam na familia yake ni mmoja wa wahusika wakuu.
Je nani hajui kuhusu GWAJIMA ambaye ndiye alkua mlez wa CHADEMA nani hajui juu ya haya.
Naona humu tunashabikia tunapiga kelele juu ya kitu ambacho hatukijui, msifuate upepo nyie bendera.