8691jakigili
Senior Member
- Mar 30, 2012
- 179
- 67
Huna jipya dogo.Kama ulivyo wa hovyo
Mzee Tupatupa
Unayosema ni ukweli mtupu. Ninasikitika jinsi watanzania wengi tunapolichukulia kishabiki. Lakini ni muhimu sana kutumia mbinu sahihi kwa vita hii ili ushindi upatikane. Kila vita ina mbinu zake ili kuhakikisha unapata ushindi.Vita ya madawa ya kulevya ni kubwa kuliko tunavyofikiria.
Ukisikia mumeo, mkeo, hawara'ko, kaka'ko, dada'ko, mama'ko, baba'ko, babuyo, bibiyo, boss wako, rafiki yako, jirani yako, jamaa yako, mchungaji wako, sheikh wako au wewe mwenyewe unaitwa kuhojiwa usistuke.
Ni vita kubwa sana ambayo inagusa kila mmoja wetu kwa namna moja nyingine.
Tupambane kutokomeza unga, ni safari ndefu na ngumu.
Nchi imeanza kutikisika na ndiyo mwanzo.
Wapenda mema tushirikiane kwenye hili la sivyo sisi sote tutaingia kwenye janga tukitaka tusitake.
Tukiyawachia haya, utafika wakati tutawekewa madawa ya kulevya mpaka kwenye pipi, biskuti ili mradi tuwe wateja na watu waendeleze ushetani wao.
Tuungane bila kujali nani ni nani.
Jina maalufu ndio raisi kumpata mtu.Mfano vijiweni unakaa na mtu muda mrefu jina lake halisi hulifaham unalijua la kijiweni tu na wauza ngada wengi wanaficha majina yao halisiM makonda siku zote namfahamu kama kada msanii, lakini kwa usanii Wa awamu hiii! Kaniacha na maswali.
Hivi jamani tuweni wakweli, makonda anaweza je kusema anaoushahidi na uchunguzi umefanyika huku majina aliyonayo hayajakamilika, unataja mtu jina moja kweli! Na mengine yametajwa ma A.K.A!
Narudia tena, makonda ni msanii lakini nauona mwisho wake uko karibu kuliko pua na mdomo.
Huwezi kudanganya watu zaidi y million 48 ukabaki salama
"maalufu" ?Jina maalufu ndio raisi kumpata mtu.Mfano vijiweni unakaa na mtu muda mrefu jina lake halisi hulifaham unalijua la kijiweni tu na wauza ngada wengi wanaficha majina yao halisi
Jamani mbona Logic ni ndogo sana mweee! Hiyo ni Biashara ya kulevya labda nikuulize kwanini wewe unajiita H.T.P ?!?!?! hebu jibu hilo kwanza. The same na madawa ya kulevya si mnajua kuwa ni biashara haramu jamani au ilihalalishwa lini. Mtu anaweza kuwa maarufu kwa a.k.a kuliko hata hilo jina lake! Ndio uchunguzi sasa utaanzia hapo. Sasa kwa mfano wewe umenikosea sin nitataja H.T.P kanikasea si ndi uchunguzi unaanzia hapa. je kwa kutamka H.T.P nimekosea si ndio uluvyojiregistyer. jamani tufanye mambo ya msingi ninge furahi saaaana kama ningeona sukuhu inatolewa kwa kuonyesha uchungu wa madawa ya kulevya kuliko uchungu mnaouna wa Makonda kushughuklikia madawa ya kulevya! Shame on Us ( Tanzanians) . Ingekuwa kungine huyo ni Shujaaa, poor us sasa hivi eti ni kinyume chakle Mungu wangu!M makonda siku zote namfahamu kama kada msanii, lakini kwa usanii Wa awamu hiii! Kaniacha na maswali.
Hivi jamani tuweni wakweli, makonda anaweza je kusema anaoushahidi na uchunguzi umefanyika huku majina aliyonayo hayajakamilika, unataja mtu jina moja kweli! Na mengine yametajwa ma A.K.A!
Narudia tena, makonda ni msanii lakini nauona mwisho wake uko karibu kuliko pua na mdomo.
Huwezi kudanganya watu zaidi y million 48 ukabaki salama
Halafu utashangaa mtu kalike huu utumbo wako.Jamani mbona Logic ni ndogo sana mweee! Hiyo ni Biashara ya kulevya labda nikuulize kwanini wewe unajiita H.T.P ?!?!?! hebu jibu hilo kwanza. The same na madawa ya kulevya si mnajua kuwa ni biashara haramu jamani au ilihalalishwa lini. Mtu anaweza kuwa maarufu kwa a.k.a kuliko hata hilo jina lake! Ndio uchunguzi sasa utaanzia hapo. Sasa kwa mfano wewe umenikosea sin nitataja H.T.P kanikasea si ndi uchunguzi unaanzia hapa. je kwa kutamka H.T.P nimekosea si ndio uluvyojiregistyer. jamani tufanye mambo ya msingi ninge furahi saaaana kama ningeona sukuhu inatolewa kwa kuonyesha uchungu wa madawa ya kulevya kuliko uchungu mnaouna wa Makonda kushughuklikia madawa ya kulevya! Shame on Us ( Tanzanians) . Ingekuwa kungine huyo ni Shujaaa, poor us sasa hivi eti ni kinyume chakle Mungu wangu!
Labda wewe MWANANCHI wa nchi ya kukurupuka ndo upo nyuma yake! Wenye nchi yao ndo tunaomdai ushahidi na jinsi anavyoliharibu pambano hili kwa mbinu zake za kimakusudi. Boss wa mkoa kwa karatasi ile isiyo na utambulisho utadhani ni ya mwanafunzi wa kidato cha pili aliyefeli.go go Makonda wananchi tupo nyuma yako
Chama ni watu, bila watu hakuna chama. Iwe ni Cuf, Chadema au CCM au chama chochote kile, ikumbukwe watu ndio wanaounda chama. Na unaposikia chama ni kichafu maana yake watu wake wanaokiunda ni wachafu. Hivyo basi hata katika suala hili la madawa ya kulevya, Kama wanaCCM watabainika ndio wahusika wakubwa, basi ni dhahiri kuwa chama kimechafuka na kimeumbuka. Hii ni fact na si siasa.