8691jakigili
Senior Member
- Mar 30, 2012
- 179
- 67
Hivi kweli sisi Watanzania ni wakudanganywa kila mara! Tatizo la ukame na njaa linawekwa kapuni kwa kujadili madawa ya kulevya! Sikumbuki ni kashfa gani iliikumba serikalini, awamu IV mara fikra na mawazo yakahamishwa hadi Loliondo kwa Babu, vyombo vya habari vyote vikaacha kujadili issue muhimu na kugeukia kikombe cha Babu. Viongozi kadhaa walionekana wakinywa kikombe cha Babu kwanza ....alafu misururu ya Watanzania wagonjwa ikafuata, mjadala muhimu wa kitaifa ukasahaulika. Wadanganyika bwana, kweli ni Wadanganyika!