Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Naona baada ya kukosa Mbowe kila mahali naona hii ndiyo ngazi ya mwisho kumbambikizia madawa any way ngoja tusubiri ushahidi
kwanini umeona Mbowe tu ndo kasingiziwa, unafiki utatubakisha hapahapa tulipo watanzania
 
Nilijua tu hizi nguvu za kuwatetea wauza Sembe ni kwamba chadema wanahusika na uuzaji Sembe, sasa Tundu Lisu abanwe mpka aseme Sembe huwa wanatoa wapi!
Lazima kieleweke
Waseme tena JK
Alikuwa Dhaifu
 
Vita dhidi ya madawa ya kulevya inahitaji mikakati na umakini wa hali ya juu lakini kwa jinsi hali inavyoenda sidhani kama kuna mwanga mbele zaidi ya siasa za muda mfupi
Yani makelele kiasi cha kwamba wanawapa room wahusika kupoteza ushahidi...jokes...isitoshe kesi za namna hii zinategemea Sana ushahidi..kwanini uchunguzi usifanyike tukatangaziwa mrejesho wa majina ya waliohukumiwa...Nape alikua na ushauri mzuri ila vichwa vingine vimejaa ujuzi havihitaji extra from watu wa pembeni
 
Respect,watu tulivyokuwa tunasema hii vita ni ngumu tulitarajia lazima watajitokeza wengi kumpinga Makonda.Angalia jinsi Polisi,Mwigulu walivyokuwa kimya
Namshangaa sana Mwigulu!
 
Dereva wa helikopta yake ni ndugu yangu, ananiambia kapigiwa simu na Mchungaji msaidizi wa Gwajima ajze Helikopta full tank...🙂
Muambie yeye aijaze tu Ila wakiruka watoe taarifa kwa wazee wa anga
 
Nazitaongeza nyingi sana.

Ngoja tuone nini kitafuata au kuna awamu ya tatu
Ila pale alimpotaja idd azan nimemuelewa sana...nasikia wanasema gwajima kajaza helikopta mafuta full tank...[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
 
Kuna haja Kubwa ya hawa Jamaa Kurudi tena Shule za Jornalism aisee. Mwandishi wa habari anapaswa Kuwa Msomi wa Hali ya Juu.


Kuna mmoja kauliza kuhusu likizo ya Konda US na akasema anasikia kafadhiliwa na watu fulani.

Konda kasema achana na watoto na mambo yao ya kitoto tushakuwa watu wazima unajua....swali jingine???
 
Mbowe uliwatuhumu wabunge wa CCM kuhongwa lakini hukutoa details zaidi ila leo hii unatuhumiwa kuhusika na biashara ya madawa ya kulevya.

Zitto ulisema wabunge wa upinzani kwa idadi yenu mnaweza kuanzisha mchakato wa kumvua madaraka mh.sana ila ukaishia hapo lakini jana umelalamika kutaka kukamatwa tena utakapotoka nje ya viwanja vya Bunge.

Na wewe askofu Gwajima ulimtuhumu Dr.Mihogo kuhusiana na mzigo wa huko Afrika kusini ila ukaishia hapo lakini leo umetajwa katika orodha ya watuhumiwa wanaohusika na madawa ya kulevya.

Kauli kwamba kile kivuko sasa ni mali ya jeshi na mnaohojiji mjue hivyo sio ya kuachwa ipite hivi bali inapaswa kuhojiwa na inabidi mpambane kama Tundu Lissu kama kweli mnataka kushika dola.

Hivyo wakati nyinyi mkiwa softy katika misimamo yenu,wenzenu wanafanya hayo wanayoyafanya tena kwa kuwanika hadharani.

Nachowashauri ili kuheshimiana na kila mtu aonye uchungu wa siasa chafu na kutuhumiana kwa style hii,

Wenzenu wakimwaga ugali,na nyinyi mwageni mboga kama alivyofanya Msukuma jana.

Acheni kulalamika tumieni power yenu na ikiwezekana hata kashifa za Escrow hasa waliochota mabilioni kupitia benk ya stanbic kama mnawajua muwataje ndani ya Bunge ambao mna kinga ya kutoshitakiwa na maazimio ya Bunge kuhusu hii kashifa muyafufue upya..
 
Kupitia Clouds TV Makonda anamtaja Mbowe kuwa anahusika na madawa ya kulevya. Jee haya ni mapambano ya madawa ya kulevya au kuna hidden agenda?
Kuna hidden agenda mbona mwenye St.Maria hajatajwa??
 
Back
Top Bottom