Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi uyu Mbowe ni mkazi wa Dar ?Lisu kukamatwa zitto hakijaeleweka mbowe kupewa tuhuma za unga sasa nimeelewa mission ya makonda alikuwa anatumika kwa malengo maalumu
Umeongea point na Leo utaona mapovuu mengiNilijua tu hizi nguvu za kuwatetea wauza Sembe ni kwamba chadema wanahusika na uuzaji Sembe, sasa Tundu Lisu abanwe mpka aseme Sembe huwa wanatoa wapi!
Ngoja vumbi litulie, utaelewa tu.Hivi hayo anayoyafanya makonda ni ya hadhi yake kweli?
Hivi waziri na naibu wake wapo wapi?
Nahisi kunatatizo kwa kinachoendelea
Kwanini asiende TBC ?? Tunakolipia kodi zetu .
Huko MAWINGU kuna nini si nimeskia nao wako kwenye ile list au atawasafisha kwenye tuhuma
Why mawingu ?
Haya yalishapangwa ndio maana walianza kumkamata kwanza tundu lisu ili leo wamtaje mbowe wanapanga kuua upinzani kupitia makondaKutokana na Mwenyekiti wa CHADEMA kuhitajika kituo kikuu cha Polisi kutokana na kuhisiwa kufanya biashara ya mihadarati, je Mwanasheria wake TUNDU ANTIPASI LISSU atakuwa tayari kwenda kumtetea mwenyekiti wake kama atahitajika kupandishwa kizimbani?
Nyie si ndio mlikuwa mnalalamika "eti makonda anataja vidagaa? sasa mnatajiwa mapapa kina mbowe mnasema kaonewa"Naona baada ya kukosa Mbowe kila mahali naona hii ndiyo ngazi ya mwisho kumbambikizia madawa any way ngoja tusubiri ushahidi
Mkuu, endelea kuwataja tu. kama una ushahidi wasilisha kwa Mkuu wa Mkoa na utasaidiwa vemaKuna hidden agenda mbona mwenye St.Maria hajatajwa??
Upande mmoja wamekaimu madaraka na Upande mwingine wamekasinuMpaka sasa nashangaa kinachoendelea ama kuna tatizo. Kwenye structure ya serikali vitendo vyote vya kihalifu inaangukia Wizara ya Mambo ya Ndani. Lakini kwa muda wa wiki naona mkuu wa mkoa wa Dar ndio amekuwa mstari wa mbele kwenye vita vya madawa ya kulevya yuko wapi Waziri ama Naibu wa Wizara ya mambo ya ndani?
Upande wa Polisi namuona kamanda Sirro pekee, Jeshi la polisi lina Kamishina wa kitengo cha madawa ya kulevya yupo wapi?
Ila pale alimpotaja idd azan nimemuelewa sana...nasikia wanasema gwajima kajaza helikopta mafuta full tank...[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
Sihata ya kwako ndio maana unamjua,inasikitisha nin mkuu?Mange amekamata uwezo wa kufikiria wa Watanzania wengi inasikitisha
Endelea kuto kuamini mkuu
Wewe si uwataje kama unawafahamu na una ushahidi.Siwezi bisha Ila jiulize mapapa walio wafazili wa chama kubwa na hata member wao mbona hawatajwi ?