Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

nimekuwa nikifuatilia snaa hizi inshu za drug dealers america ..karibia kila kiongozi yoyote america anapokuja na sera za kuwakamta wauzaji na wasambazaji wa madawa ya kulevya america huwa anaishia kufa gafla au kupigwa risasi....

hii ni kwa sabab drug dealers wana mtandao mkubwa sna na wanafadhiliwa na watu wenye pesa kama mtandao wenyew unavyojulikana kuwa kuna pesa ....yani kila drug dealer mkubwa lazima awe na bastola yani hicho ni kitu cha kawaida snaa ....manake kama ingekuwa ni america wew unayetangaza watu hadharani na kusema wajisalimishe yan tayr unaanza kuwindwa na wew..unawinda huku inawindwa pia ...
ile ni vita kubwa snaa sijui kwa hapa bongo
..(cursed skinned ppl)
itakuwaje...
kama kweli na wao wana mtandao mkubwa sijui tu lazima mtu afe hapa...unless otherwise wawe ni drug dealers uchwara.....
but kama kweli ni drug dealers under sponsored mamaaaae kuna damu zinamwagwa...

[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
na serikali yetu imepania kufuta vyama vingi vya siasa kwa mtindo ungine tumpongeze raisi wetu na mkuu wa mkoa kwa mipingo yao mizur ya kupambana na madawa ya kukevya 2020 tunataka ibaki ccm tu.
 


Kumekucha!!Ni siku nyingine tena,Mkuu wa Mkoa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa wa Dsm,ndugu Paul Makonda ataongea leo na waandishi wa habari kuhusu muendelezo wa vita ya madawa ya kulevya ktk jiji la Dsm.

Mkuu wa Mkoa atakuwa mubashara Azam Tv mara ifikapo saa 05:00 asubuhi leo hii.

Tetesi ni kuwa,mkutano huo unaweza kuwa ni kujibu tuhuma za kuwa anawakabili "dagaa" na wakati "mapapa" wa biashara hiyo wapo.Na majibu ya mkuu wa mkoa yatakuwa ni kuwataja hao mapapa na kuelezea hatua zitakazochukuliwa...

Tega usikie....(Stay Tuned)

=======
UPDATE:
=======

ORODHA KAMILI:

View attachment 468414
View attachment 468415
View attachment 468416
View attachment 468420
Ameanza kwa Kumshukuru Rais wa Jamuhuri.

Paul Makonda asema anataka wauzaji wa dawa za kulevya wajulikane hadharani na hakuna sababu ya kuficha.

Paul Makonda asema vita vya dawa za kulevya vilianza muda mrefu kwa kufutilia hali ilivyo mitaani.

'Kuna watu nilitaka nikutane nao polisi, kuna tofauti kati ya kukamatwa na kuitwa, unapoitwa unapewa nafasi ya kusikilizwa'-RC Makonda


'Kampeni hii dawa ya dawa za kulevya si ya kufanyika kimyakimya tunataka hata watoto wadogo wajue dawa hizi ni hatari kwa afya'-RC Makonda

'Asante kwa watu kama TID, nawapongeza kwa kukiri na kusema kuwa wanatambua namna walivyoingia na kuomba serikali kuwasaidia'-RC Makonda

'Tumemaliza awamu ya kwanza vita ya dawa za kulevya, sasa hii ni awamu ya pili ambayo itakuwa si nyepesi itakuwa na mawimbi mengi-Makonda

'Awamu ya 2 ya vita ya dawa za kulevya tunaianza leo na tunaianza tukiwa tumekamilika, nimekuwa kwenye operesheni usiku na mchana- Makonda

'Watu wanafanya biashara za dawa za kulevya na meli zinazokuja na mafuta'-RC Makonda

'Kuna mama kazi yake ni kusafirisha watoto wa kike ambao wanapewa dawa za kulevya, wawili wako jela China na amewatelekeza'-RC Makonda

'Tukiendelea kuvutanavutana tutapoteza lengo la kupambana na dawa za kulevya'-RC Makonda

'Tukishindwa vita hii ya dawa za kulevya, hajashindwa Makonda au Rais Magufuli tumeshindwa wote'-Rais Makonda

'Tuko na majina 65, nitahitaji kukutana nao ijumaa, wako wanaosemekana wanatumia, wako wanasemekana wanazo taarifa zitakazotusaidia-Makonda

'Nawashukuru wenyeviti wa mitaa wameanza kuleta majina ya watu ambao wanawasiwasi nao kuhusu dawa za kulevya'-RC Malone's

'Kila tunayemuita tunamfahamu kuliko mnavyofikiri kazi yetu ni kuwasikiliza'- RC Makonda

'Zile nyumba mnazozitilia shaka, hamuelewi hata kinachoendelea ni wajibu wetu wananchi kutoa taarifa na taarifa zitakuwa ni siri-RC Makonda

'Kuna ambao tuliwaita wako nje ya DSM, wapo waliotoa taarifa na watafika ila wapo waliokimbia tunawafuatilia na tutawapata wote'- RC Makonda

'Nawashukuru ndugu zangu walioko nchi mbalimbali kwa kunipigia simu na kunipa taarifa mbalimbali'-RC Makonda

Nimependa haka ka wimbo ka
Wako wanaosemekana
Nasisitizia kachorus WANAOSEMEKA!!!
msininukuu vby maana Hanna dogo nyie wanajamvi
 
Subiri kwanza tunajipanga tutoke vipi. Tutakuja muda si mrefu tuko PM kwanza
 
Naona jamiiforums imepingwa ganzi baada ya mbowe kuweno katika list ya drug dealers. Jamani token njoni mtetee tena mana nyie ni mabingwa wa kusafisha na tutetea uozo.
Mwaka huu upinzani unapotea mana kila sehemu wamekabwa.
Kumbe ndo maana lisu mishipa nilitaka kupasuka kwa kuwatetea drug dealers ili lujihami kwa mwenyekiti wake!!!
Sasa mbowe kila uozo yumo. Kukwepa kodi yeye, kuharibu mazingira yeye,hata madawa? Sasa upinzani jamani si wangetuingiza chaka tungethubutu kuwachagua.
Asante mungu kwa kutuonesha hali halishi ya upinzani.
Lini mchaga akajifanya anakutetea ili we uwe na maisha mazuri?
kwani azan hayupo kwenye list? halafu wakimtaja rizimoko itakuwa heri zaidi ..............

my friend kama wanauza unga wahukumiwe tu kila nikiona mateja walivyo napata uchungu sana awe mbowe hata mamake kama wanajihusisha na unga sheria ifwate mkondo wake unga ni dangerous hata haya makelele tunayopiga hapa si lolote
 
Msukuma uduni wa elimu ndio unaomla,
siku zote alikuwa wapi kuhoji hayo kama si hofu imezingira, na huenda ni mtumiaji au muuzaji hawezi tu kulipuka bure, hiyo ni defense mechanism kama yumo asubiri kutajwa........
The saga Continue

Kwa lugha nyepesi kabisa, unamaanisha hakuna haja ya kuhoji kuhusu utajiri Wa Makonda alioupata kwa kipindi cha mwaka mmoja.
 
Nyie Lumumba kashikeni ukuta magogoni. Upinzani na Mbowe ni namba ingine labda muanze kumlamba makalio uchwara.
 
Kwanza nasapoti sana vita unayoifanya dhidi ya madawa ya kulevya.usikate tamaa, pambana na nakuhakikishia una my full support na utafanikiwa.
Nataka kukusahihisha kuhusu technology wanayoitumia kujua position ya mapipa kama ulivosema, siyo GPRS bali ni GPS.
GPRS=General Parket Radio Service
Hii ni technology ya mawasiliano ya simu yenye uwezo wa 2.5G (ina ubora wa mawasiliano ulio kwenye kundi kati ya 2G na 3G).Haihusiki kabisa na kujua position ya vitu kwenye uso wa dunia

GPS=Global Position System
Hii ni technology inayotumia satellite kutambua position na muda(time) wa vitu mbalimbali duniani.hicho kifaa kinachofungwa kwenye mapipa kinaitwa GPS receiver na kinawasiliana na GPS satellite.

Ni hilo tu kaka
 
Back
Top Bottom