Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Watarudi tena kwenye uhakiki wa waajiriwa hewa na wenye vyeti fake. Serikali iliyojaa ubabaishaji ndivyo ilivyooo!!
Nakuunga mkono hii ni serikali ya ubabaishaji kabisa. Hao watumishi hewa tunaoaminishwa wameondolewa mbona hakuna jipya wamefanyiwa watumishi halali waliobaki.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hilo ni kweli lakini kama uijuavyo nchi yako hilo limepita. Jaribu kuvuta kumbukumbu ni jambo gani limewahi kufatiliwa hadi mwisho na tukaona matokeo chanya? Hivi unataja watu wanaojihusisha kwenye madawa ya kulevya kwa a.k.a zao kweli wengi eti huwajui majina unataja mmiliki wa..... na wengine unawakosea majina yao...... Are you serious with what you are doing!!
Am not blaming any body ila tujue kuwa tuna tatizo tena kubwa tu na tuna mass kubwa tu imeangamia na wengine kupoteza maisha.

Bila kuangalia rank wala jina la MTU watanzania tuungane ktk hii vita otherwise naona kuna dalili za sabotage za wazi kabisa kwa visingizio vya sheria na wajibu.

Bila hivyo tunatwanga maji kwenye kinu na yote yatapita na biashara nitarudi pale pale.

Sabotage.. Sabotage... Sabotage!!!
 
Next issue ni mashoga maana mh naibu wazir amesema atakuja kutujuza mapunga...wasiwasi wangu ni kuwa kashawalinda wakubwa na cerebrities maana kasema atataja wale wanaojiuza mtandaoni tuu ila sio watuhumiwa wa ushoga so akna madimpoz,na adui wa mange kimambia nahsi washapona!
Aisee hii ishu ni bonge la janga eti inasadikika hadi mjengoni wapo?!! Kuna mashoga zaidi ya 200K Tz mmhh. Trump inabidi atokezee
 
Am not blaming any body ila tujue kuwa tuna tatizo tena kubwa tu na tuna mass kubwa tu imeangamia na wengine kupoteza maisha.

Bila kuangalia rank wala jina la MTU watanzania tuungane ktk hii vita otherwise naona kuna dalili za sabotage za wazi kabisa kwa visingizio vya sheria na wajibu.

Bila hivyo tunatwanga maji kwenye kinu na yote yatapita na biashara nitarudi pale pale.

Sabotage.. Sabotage... Sabotage!!!
Mkuu nailewa dhamira yako lakini ujue kila kitu kina wakukisimamia. Nani anapaswa kuongoza hii vita? Si kila mtanzania. Mi sijui hata huo unga unafananaje. Sijui hata wanaununua wapi. Watu kama mimi ni wengi. La msingi wenye mamlaka wafanye kazi na si kutafuta umaarufu.
 
Dah. I guess Itakuwa viroba na fegi[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Siku hizi kila mtu anatega sikio kuona ni epsod ya ngapi inafata na itakuweje!!! Hii ni Season ya unga! !!!
 
Siku hizi kila mtu anatega sikio kuona ni epsod ya ngapi inafata na itakuweje!!! Hii ni Season ya unga! !!!
Ni kweli kabisa mkuu. Tatizo episode hizi huwa zinaishia njiani. Mwisho wake huwa hatuupati
 
G Lema yuko jela mpaka sasa, halafu bila aibu watu tunajiita sisi ni chaguo la Mungu?
Ewe Mungu tunakuomba sikiliza kilio cha waliodhulimiwa.
 
Back
Top Bottom