Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

Mtoa Mada ni Mweupe kichwan hajui kitu chochote kuhusu UGAIDI hajui chochote kuhusu CIA hajui chochote kuhusu vita baridi hajui chochote kuhusu mlengo wa vikundi vya kigaidi anachojua ni kuwa waislamu wanaonewa ndio maana ameanzisha Mada ambayo hawezi kujibu Ata swali dogo kuhusu kulipuliwa kwa ubarozi wa Marekani nchini Kenya na Tanzania hajui chochote yupo apa kulia Lia bila sababu mzungu amefata mafuta wenyew wameamisha magoli imekua vita ya kidini hopeless kabisa
Ndio zao, waislam wote wa kusini mwa jangwa la sahara wamefanana vichwa. Wanajua kuonewa tu

Kiongozi wao ni Mohamed Said
 
Ww uislamu umeijulia wapi?? Hadithi za mtume muhammad swallahullah alaih wasalam unazijua kuzitafsir ??? Au umeona sehemu kumeandikwa kiswahili unachukua kama ilivyo bila kujua mantiki yake ??? Hivi unajua mtume wetu alikuwa na ndugu wasio waislamu mbona hakuwaua ??? ACHA ujinga BAsi tumia hata akili yako

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Kwa nini unapinga maneno ya Allah na Muhammad.


Koran
5;51.
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao
9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani. Na katika nyinyi atakaye wafanya hao ndio vipenzi vyake, basi hao ndio madhaalimu
47;4.
Basi mnapo wakuta walio kufuru wapigeni shingoni mwao, mpaka mkiwadhoofisha wafungeni pingu
9;5.
Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia. Lakini wakitubu, wakashika Sala, na wakatoa Zaka, basi waachilieni.
9;29. Piganeni na wasio muamini Allah wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Allah na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.
3;28. Waumini wasiwafanye makafiri kuwa wapenzi wao badala ya Waumini. Na anaye fanya hivyo, basi hatakuwa chochote mbele ya Allah.

Hadith (Maneno ya Muhammad)
Aya: - "Nyinyi (Waislam wa kweli) ndio watu bora kabisa waliowahi kati ya wanadamu." inamaanisha, watu bora zaidi kwa watu, kwani unawaleta na minyororo kwenye shingo zao wale wasio amini hadi wataukubali Uislamu.

Vol. 6, Book 60, Hadith 80
Abu Huraira aliripoti Mjumbe wa Allaah akisema: Usiwasalimie Wayahudi na Wakristo kabla ya kukusalimu na ukikutana na yeyote kati yao kwenye barabara mlazimishe aende sehemu nyembamba kabisa njia mtaroni.

Sahih Muslim 2167
Imesimuliwa Abdullah bin Umar: Mjumbe wa Allah alisema, '(Waislam) mtapigana na Wayahudi hadi baadhi yao watajificha nyuma ya mawe. Mawe (yatawasaliti) yakisema, 'Ewe Abdallah (mtumwa wa Allah)! Kuna Myahudi amejificha nyuma yangu; kwa hivyo muue. ''

Nukuu nyingine: 'Saa haitakuja mpaka utakapopambana na Wayahudi.' ”Vol. 4, Bk. 52, No. 176
 
Wanadhuliwaje? Magaidi yote kina isis yanatakiwa kupigwa kabisa
Mi sio muislamu ila ngoja nimsaidie kidogo mtoa mada kuna concept moja inasema hivo vikundi vimetengenezwa na mabeberu wenyewe ili kuweza kuchafua dini ya uislamu kwa manufaa yao wenyewe..Na sio kwamba wanashida na waislam kama waislam hapana wana shida na kuwatawala waarabu kwa ajili ya mali(madini,mafuta n.k). So mtoa mada anaeza kuwa sahihi kama hyo concept inaexist kweli ila target sio uislam ni waarabu ambao wengi ni waislamu.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Una ushahidi ?
NEWS...
Screenshot_20210220-104154.jpg
 
Hitler ni mtu alieua watu wengi zaidi kwa muda mfuopi alikua Muislam?
Pablo escorber alikua muislamu?
Makundi ya kigaidi yanayo shughulika na Madawa ya kulevya kama mafia ni waislamu?
Colombia na Guatemala ni nchi za kiislamu?
Hakuna gaidi wa kiislamu wote ni ni makafiri
Osama hakua gaidi
Sadam hakua gaidi
Gaddafi hakua gaidi
Media umewahi kumtaja Mandela kua ni gaidi
Sasa huoni kama umeshajijibu mwenyewe hapa kwamba akna hitler walivoshambuliwa kutoka na ugaidi.. Ko wewe umesikia ujerumani wakilalamika? Sas kwann waislam walalamike?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Hiki kitabu kinakupa option mbili, mfano: kuua au kumsamehe aliyekuibia mke ni juu yako, hata ukiua hautahesabiwa dhambi, sasa wengine wanachagua kuua
Kwa roho ya binadamu ukimpa hizo option nyngne hyo ni kuvuli hapo na sawa na umemwambia aue 2 maan atakuwa na hasira muda huo maamuzi sio ya kufikiria

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Jinsi ya kudeal na magaidi ni Kama kibiti ,ukiona kizazi hiki ni haohao ni kuondoa chote hakuna mahakama waliua wauawe.
Uondoe ukiwa na uhakika ila ukiondoa kwa kuonea hakika umewatanguliza alafu wanakusubiria kwenye hesabu hakuna wakukuombea hapo
 
Muslims and Islam
Unatumia Kamusi gani niongeze ufahamu ndugu?

Kamusi ya Oxford -Toleo la kumi;
Wanasema, Gaidi: Ni Mtu anaetumia nguvu na vitisho katika kufikia malengo yake ya Kisiasa.
Je hivyo ndivyo wafanyavyo Waislam unaowajua wewe?
 
Media wanayo haki ya kutangaza au kutokutangaza taarifa zetu
Bottom line is you must know what Islam teach or say about terrorism
Kuna waislamu wezi. Walevi. Wala nguruwe n, k
Hatuwezi kuwaandika na kalamu moja eti kwa sababu anaitwa Jina la kiislamu....

Hao magaidi ni waovu kama waovu wengine
Pia jua kuna makundi mengi ya kigaidi kule America ya kusini yanajishughulisha na Madawa ya kulevya lakini media hawasemi kua ni magaidi wa ki kristo ilihali wote ni wakatoliki
Ko wewe mtu asipokuwa muislam basi ni mkristo duuu. unewahi sikia hao ma-drug dealer wakiua kwa kutaja jina la yesu? Acha kukariri maisha wewe ndugu. Ngoj nkupe tafsiri ya m-kristo inaoneka huijui. Mkristo ni mfuasi wa kristo anaeamini anaenda mbinguni kupitia kristo means anafanya kila jambo kupitia jina la kristo. Sas lete clip inayomuonesha drug dealer anaomba kwa jina la yesu muda wa kuua mtu. Sas yesu kristo amefundisha kusamehe na hakuna condition ya kumsamehe mtu(7× 70), kutoshindana na adui zetu kwa akili zetu bali tumuachie mungu(mtu akikupiga shavu la kushoto mgeuzie na la kulia). Sas je m2 anaeua yapaswa kuitwa mkristo? Lakini kama quran inasema mtu akitembea na mke wako unaeza chagua kuua au kumsamehe it means muislamu anaeza kuua kupitia quran soma waraka wa fbi uliopostiwa hapo juu.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Christian terrorists does not exist cos media hawatumii
Media haijawahi kusema white terrorists lakini ilikua inasema black South African terrorists
Anyways kila mtu anamaono yake....

Mimi ni muislamu na nimesoma dini yangu na hakuna sehemu tunafundushwa ugaidi

Kwa kua main stream media muislamu au mtu wenye Jina la kiislamu akifanya maovu anachukuliwa ni gaidi lakini none Muslim akifanya samething anakua muhalifu wa kawaida
Hivi majuzi kule Marekani ilitokea kitu inaitwa Capital riot na watu kadhaa wakauawa kikatili wengine kujeruhiwa
Fikiria hilo tendo lingefanywa na watu weusi Achilia waislam. Bado ingeitwa riot au terrorism?
Hope your matured enough to understand media languages
Unajua baada ya uchaguzi mbowe alishikiliwa kwa kesi ya ugaidi?

Je unajua so called Islamic terrorism imeanza lini?

Angalia ndani sio unadandia njiani
Sas unawekaje neno christian terrorism wakati wanaua hawataji jina la yesu au yehova. Halafu magaidi mexico wanafanya kazi hadi na dini mbali mbali zile cartel waarabu wamo wahindu wamo wachina wamo. Sas kwa bokho haram kama m2 anashiriki wakati wakuua mara nying wanataja allah it means waliopo pale wanashiriki hiyo ibada ya kiislamu. Je hao ni magaidi wa nn? Usichanganyikiwe kwa jina la kikundi wewe. Sas wamexico wenyewe walalamike kwasababu drug dealing cartel zinaitwa mexico drug cartel?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Unamaana gani kwa kutumia uislamu?
Au ukisikia Allah Akbar unajua Ndio uislamu?
Ndugu kila mtu anaweza kufanya au kusema alitakalo
Kujua uislamu sio kusikia kwenye Redio
Unatakiwa kumuuliza muislamu je uislamu unasemaje kuhusu ugaidi?
Pia Alshabab. Boko haram. ISIS nk hawafiki hata 0,001% ya waislamu lakini wenzetu mnachukulia kundi dogo na kusema Ndio waislamu na sisi ambao sio magaidi mnatuona kama ni makafiri wenzenu
Wanamgambo wa kiislamu ni sawa na wanamgambo waliotumwa na dini ya kiislamu?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Ndugu msikitini kote kuna program maalumu za vijana kuwaonya juu ya makundi ya kigaidi
Kila mwaka wakati wa hija mlima wa Arafat masheikh wakubwa hupanda na kukemea ugaidi
Hebu niambie...
Unategemea Mufti aende kanisani kukemea?
Mimi naona wewe unataka kutufundisha dini yetu au unafikiri Unaijua dini yetu kuliko Sisi
Hao magaidi ni wahuni

Sasa wewe unaamini mbowe ni gaidi au mwanasiasa?
Sio kukemea tu huwa mnawahifadhi magaidi, mnawaficha misikitini wasikamatwe

Kwa namna hiyo utasema mnauchukia ugaidi?
Utasema ugaidi sio uislamu?
 
Wewe unataka tuchukue maspika na gari tutembee barabarani?
Sisi tunanyumba zetu za ibada na ndio tunazungumza mambo yetu
Mara kadhaa Mufti anasema na viongozi wote wanakemea
Lakini kwa sababu wewe akili yako imejengwa hivyo Sina cha kusema
Dini ni imani na wewe endelea kuamini waislam ni magaidi life goes on
Ingekuwa hivyo tungesikia, hakuna kisichosikika hata mngekanyana wapi serikali ina masikio mapana

Watu mnaowahifadhi hamuwezi kuwakemea
 
Ukweli ni kwamba, uislamu ni dini inayotaka mamlaka ili watu wake waishi vizuri, na uislamu pia unapingana kwa hali zote na mamlaka ya watu iliopo duniani sasa. Uislamu ili usidhulumiwe inahitajika mamlaka ya watu ifuate sheria za kiislamu. Ni kama hapa Tz ili wapinzani wasihujumiwe inabidi wao ndio wawe wenye mamlaka ( sisemi upinzani ni sawa na uislamu). Marekani ndio adui mkubwa wa uislamu, sheria zake ni za kikafiri kuanzia mwanzo mpaka mwisho. China nae hataki kabisa kuusikia uislamu, ndio kwanza kawalisha nguruwe wale mateka wa Uyghur.

Ambacho waislamu inatakiwa wajue ni hiki ; dini hii imepitia utawala wa Rumi na ndio dini pekee tofauti ya ukatoliki iliyodumu, hapa napo itapita tu salama. Cha muhimu ni kuyashika yaliyosemwa Mungu, waislamu ndio watu bora kuliko wote katika watu wamuaminio Mungu.
 
Tangu kuanguka kwa Ujamaa, Mabepari hawana mfumo unaowatisha na kuwapinga zaidi ya Uislamu. Hivyo miongoni mwa mbinu wanazotumia kuumaliza Uislamu bila mafanikio ni Vita dhidi ya ugaidi.

Kupitia Vita hii wamejihalalishia damu, dhuluma, na mateso kwa Waislamu dunia nzima wakiwatumia viongozi vibaraka wanaotawala nchi changa kwa niaba yao.

Nchi zinazokoloniwa(zinazoendelea) zikalazimishwa kupitisha Sheria ya ugaidi na kuua na kutesa raia wao ikiwaweka magerezani bila ushahidi, nk kwa hongo ya "misaada ya kupambana na ugaidi" huku viongozi wake ambao ni mbwa na watumwa wa Wakoloni wakiwaachia Wakoloni hao kupora Mali ya ummah kwa jina la uwekezaji
Umerudi toka Cabo delgado mbio baada ya kutandikwa, unakurupukia humu JF kama unatoka kunya!! ovyo kabisa nyie magaidi wakubwa, mmechinja watu huko msumbiji unakuja na ujinga wako humu!! kwendaaa!!
 
Unawazungumzia watu Kama Iraq ambao walivamiwa kwa madai ya uongo ya silaha za nyuklia ambazo hazijapatikana wakishuhudia mama zao wanabakwa na wanajeshi wa Marekani. Hawa wakijitoa muhanga na kuua wanajeshi hao ndiyo unaulizia Kama wapo sahihi au hawapo sahihi?
Mtwara vijijini mlifuata nini kuchinja wanakijiji??
 
Back
Top Bottom