Ww uislamu umeijulia wapi?? Hadithi za mtume muhammad swallahullah alaih wasalam unazijua kuzitafsir ??? Au umeona sehemu kumeandikwa kiswahili unachukua kama ilivyo bila kujua mantiki yake ??? Hivi unajua mtume wetu alikuwa na ndugu wasio waislamu mbona hakuwaua ??? ACHA ujinga BAsi tumia hata akili yako
Sent from my MI MAX 2 using
JamiiForums mobile app
Kwa nini unapinga maneno ya Allah na Muhammad.
Koran
5;51. Enyi mlio amini!
Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao
9;23. Enyi mlio amini!
Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani. Na katika nyinyi
atakaye wafanya hao ndio vipenzi vyake, basi hao ndio madhaalimu
47;4. Basi mnapo wakuta
walio kufuru wapigeni shingoni mwao, mpaka mkiwadhoofisha
wafungeni pingu
9;5. Na ikisha miezi mitukufu basi
wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia. Lakini wakitubu, wakashika Sala, na wakatoa Zaka, basi waachilieni.
9;29. Piganeni na wasio muamini Allah wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Allah na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.
3;28. Waumini wasiwafanye makafiri kuwa wapenzi wao badala ya Waumini.
Na anaye fanya hivyo, basi hatakuwa chochote mbele ya Allah.
Hadith (Maneno ya Muhammad)
Aya: - "Nyinyi (Waislam wa kweli) ndio watu bora kabisa waliowahi kati ya wanadamu." inamaanisha, watu bora zaidi kwa watu,
kwani unawaleta na minyororo kwenye shingo zao wale wasio amini hadi wataukubali Uislamu.
Vol. 6, Book 60, Hadith 80
Abu Huraira aliripoti Mjumbe wa Allaah akisema:
Usiwasalimie Wayahudi na Wakristo kabla ya kukusalimu na ukikutana na yeyote kati yao kwenye barabara
mlazimishe aende sehemu nyembamba kabisa njia mtaroni.
Sahih Muslim 2167
Imesimuliwa Abdullah bin Umar: Mjumbe wa Allah alisema, '
(Waislam) mtapigana na Wayahudi hadi baadhi yao watajificha nyuma ya mawe. Mawe (yatawasaliti) yakisema, 'Ewe Abdallah (mtumwa wa Allah)! Kuna Myahudi amejificha nyuma yangu; kwa hivyo muue. ''
Nukuu nyingine: '
Saa haitakuja mpaka utakapopambana na Wayahudi.' ”Vol. 4, Bk. 52, No. 176