Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

Hakuna sehemu inasema muwachukie mayahudi wala wakristo Bali tunaambiwa tusifanye alliance nao maana wao kwa wao ni alliance against us
Aya ingine inasema tusifanye makafiri ni wapenzi wetu badala ya waumini
Sio tuwachukie
Allah alikuwa anajua dunia nzima kuna wakristo na wayahudi tu ?
 
Kuwa na akili basi!

Unajua nimeandika hivyo kwa sababu gani au unajiandikia tu ili kujifurahisha, nimeandika hivyo kutokana na maswali aliyokuwa anaulizwa mtoa mada na wadau sasa nakushangaa wewe unavyoniletea habari za al shabaab!
hebu ongelea juu ya al shabab, boko haram na ISIS wanaochinja watu. kwa muono wako unasemaje?
 
Allah mpaka mzazi wako kama ni dini nyingine amesema usifanye urafiki nae (chuki za allah mpaka kwa ndugu wa damu)
Maneno ya Allah
9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani. Na katika nyinyi atakaye wafanya hao ndio vipenzi vyake, basi hao ndio madhaalimu
Yani Uislam ni chuki na gubu mda wote tofauti na dini zingine zote.

Mfano Yesu katika pita pita zake alikutana Makahaba akakaa nao kabisa sasa Watu, Wanafunzi wake na wakaanza kunong'ona kuwa imekuaje anakaa na watu wenye dhambi Yesu aliwajibu

"Sikuja duniani kwa ajili ya watenda mema bali watenda dhambi"

Sasa kwa Waislam tunajiuliza hilo neno limeletwa kwa watenda mema tu wengine hakuna
 
Allah mpaka mzazi wako kama ni dini nyingine amesema usifanye urafiki nae (chuki za allah mpaka kwa ndugu wa damu)
Maneno ya Allah
9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani. Na katika nyinyi atakaye wafanya hao ndio vipenzi vyake, basi hao ndio madhaalimu
Tafadhali elewa
Ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani msiwafanye marafiki lakini sio muwe maadaui
Kuna mambo mengine sio lazima uwe na PhD kuelewa
Lakini kwa sababu watanzania tangu shule za msingi tunapandikizwa chuki dhidi ya uislamu na waarabu huwezi kuamini maana ipo moyoni kwako hio chuki
Anyways hate us or love us you can do nothing about us
 
Wakristo. Wayahudi na makafiri
Mpaka Muhammad alikuwa anapambana na Wakristo na Wayahudi tu

Abu Huraira aliripoti Mjumbe wa Allaah akisema: Usiwasalimie Wayahudi na Wakristo kabla ya kukusalimu na ukikutana na yeyote kati yao kwenye barabara mlazimishe aende sehemu nyembamba kabisa njia, mtaroni.
Sahih Muslim 2167
 
Kwa kuwa wamesema waarabu basi walimaanisha waislamu? Wewe mbona zaidi ya mjinga?
Mbona hujazungumzia pia wakoloni waliokuja kututawala na kuua pia Babu zetu? Au hatujafundishwa kuwa wakoloni waliua Babu zetu?
Wanasema waarabu hapo hapo wanasema Ndio walileta dini ya uislamu
Yaani wale waliowatesa babu zetu Ndio wametuletea dini ya kiislamu
Lakini ukristo uliletwa na wamisionari waliopinga utumwa
Hakuna sehemu ukristo unahusishwa na ukolini
Mpaka leo watanzania wengi wanaamini eti kulikua na wakoloni wa kiarabu
 
Kwanini waislamu mmeamua kutokufuata chuki za Allah kwa wakristo na wayahudi.

Maneno ya chuki kutoka kea Allah
5;51.
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao.


3;28. Waumini wasiwafanye makafiri kuwa wapenzi wao badala ya Waumini. Na anaye fanya hivyo, basi hatakuwa chochote mbele ya Allah.

Kwa nini Allah alikuwa anawachukia wakristo na wayahudi tu hakuona imani zingine?
Ukiambiwa usiwafanye kua marafiki haina maana muwachukie
 
Mpaka Muhammad alikuwa anapambana na Wakristo na Wayahudi tu

Abu Huraira aliripoti Mjumbe wa Allaah akisema: Usiwasalimie Wayahudi na Wakristo kabla ya kukusalimu na ukikutana na yeyote kati yao kwenye barabara mlazimishe aende sehemu nyembamba kabisa njia, mtaroni.
Sahih Muslim 2167
Fake quotes
 
Mpaka Muhammad alikuwa anapambana na Wakristo na Wayahudi tu

Abu Huraira aliripoti Mjumbe wa Allaah akisema: Usiwasalimie Wayahudi na Wakristo kabla ya kukusalimu na ukikutana na yeyote kati yao kwenye barabara mlazimishe aende sehemu nyembamba kabisa njia, mtaroni.
Sahih Muslim 2167
Makafiri wanaandika vitabu kila kukicha halafu wanasema ni vitabu vya waislamu
Mbona kwenye mkataba zetu hivyo vitabu hakuna?
 
Kitabu cha waislamu ambacho ni rasmi kabisa Qur'aan
Yani wewe muislamu alafu mmeita kitabu Sahih alafu hapo hapo unakipinga mbona hajabu sana

Ukiulizwa ibada ya kwenda kubusu jiwe kwenye koran imeandikwa wapi huna jibu
Ukiulizwa swala tano kwenye koran imeandikwa wapi huna jibu , alafu hapo hapo unapinga kitabu cha sahih muslim
 
Ukiambiwa usiwafanye kua marafiki haina maana muwachukie
Ilisimuliwa kwamba Abu Hurairah alisema: "Muhammad (ﷺ) alisema:" Nimeamriwa kupiga watu mpaka watakapomshuhudia La ilaha ill-allah na kwamba mimi ni Mtume wa Allah, na watafanya sala za kawaida na kutoa Zaka. '" Book 1, Hadith 71
 
Ilisimuliwa kwamba Abu Hurairah alisema: "Muhammad (ﷺ) alisema:" Nimeamriwa kupiga watu mpaka watakapomshuhudia La ilaha ill-allah na kwamba mimi ni Mtume wa Allah, na watafanya sala za kawaida na kutoa Zaka. '" Book 1, Hadith 71
Hebu tafuta Aya ya Qur'aan inayo sema hivyo
Maandishi hayo yapo kwenye biblia
 

Attachments

  • IMG_20210219_142624.jpg
    IMG_20210219_142624.jpg
    163.5 KB · Views: 2
Yani wewe muislamu alafu mmeita kitabu Sahih alafu hapo hapo unakipinga mbona hajabu sana

Ukiulizwa ibada ya kwenda kubusu jiwe kwenye koran imeandikwa wapi huna jibu
Ukiulizwa swala tano kwenye koran imeandikwa wapi huna jibu , alafu hapo hapo unapinga kitabu cha sahih muslim
Hakuna ibada ya kwenda kubusu Jiwe kwenye uislamu na ibada ya swala tano ipo kwenye Qur'aan
 
Hebu tafuta Aya ya Qur'aan inayo sema hivyo
Maandishi hayo yapo kwenye biblia
Usitoke nje ya mada
Uislamu ni Koran na sunna za Muhammad
Na pia Allah kasisitiza mtii kwanza Muhammad kabla ya Allah
 
Hakuna ibada ya kwenda kubusu Jiwe kwenye uislamu na ibada ya swala tano ipo kwenye Qur'aan
Basi nitakuwa na debate na mtu ambae sio muislamu,

Kule maka mnaenda kufanyaje kwenye jiwe

Leta aya ya koran inayosema usali sala tano
 
Back
Top Bottom