Vita kali: Ommy Dimpoz na Ney wa Mitego waingia kwenye mtifuano

Bifu kwenye muziki zinatengenezwa ili kuuza!
 
"ugomvi wa ney wa mitego na ommy d ni sawa kulinganisha picha ya R.kelly na Suma lee..."
 
Hahaaaaaaa hawa wabana pua wengi wao wanabanguliwa, ney wachane hivyo hivyo mpaka ray nae aje hapa tehe tehe tehe
 
Teh teh huyo demu kumpiga kiss kafurah kweli je akipewa papuch sidhan km ni wake kweli! Lakini ukimwanglia vizur na anavyoongea na kijichekesha unaweza hisi kweli nay kapatia
 
Kuna Yule dogo anajiita mdogo wa Diamond jina lake ni S kide,aliimbaga ngoma moja Kali sana inaitwa DADA NEEMA.. Yaani humu kamponda sana Ney to the extent ikabidi Ney amtafute ili amtie vitasa .. Na alimsurubu kisawasawa Yaani. Huo wimbo uko YouTube.
 
Ila hii nchi ya hovyo sana vijana wengi ni wavivu,hawakusoma na hawapendi kazi sasa hasira zao zoote za maisha wanahamishia kwenye mitandao ya jamii kama huko insta ni balaa. Mtu ana account kwa ajili ya kumtukana fulani tu sasa sijui faida yake ni nini na hawa wasanii wengine naona hizi bangi hawaziwezi kama mtu asimamishi we unamtukania nini kama ni mgonjwa je unataka afanyaje? Wewe kumiliki gari na nyumba isiwe sababu ya kutukana watu uwezo hatufanani kuonekana kwenye video sio kuwa na hela wacha wakae popote wakipata watajenga.
 
Hahhahaha dimpoz Ana maneno lol huyo ney bana kama amekunywa maji machafu vile
 
Mnaobishana sijui nani anadindisha nani hadindishi ni vizuri kama mngepeleka hizo **** zenu au Tigo zenu zikajaribiwe.
Halafu mlete mrejesho.
Vinginevyo fungeni mabakuli yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…