Canabian Rasta
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 775
- 1,745
Ikiwa sasa imepita takribani masiku zaidi ya thelathini ya kushindana kumwaga damu za wasio na hatia kwa pande zote, basi nimekua nikifatilia na kutafakari jinsi haki inavyotafutwa hasa kwa hii style ya jeshi la HAMASI kupambana na ISRAEL.
Mawazo yamenifanya nimkumbuke kamanda jasiri marehemu HAMZA yule wa ubalozini (Mungu amlaze mahara pema/ hamsamee madhambi yake),
Nimekumbuka jinsi alivo amsha vita na kuimaliza mwenyewe, nimekumbuka jinsi alivokua akiwatoa watu barabarani na kuwaelekeza sehem safe ili wasiumie na kinachoendelea, nimekumbuka alivosimama bila kuhusisha familia yake wala rafiki zake japo huenda alilokua anapigania lilikua na manufaa kwa hao wote walio nyuma yake.
Hakika alifaa kuongoza hata hii vita dhidi ya Islael.
Nimeseme tu kua hii vita ni batiri hasa kwa HAMAS wanachokifanya sio sawa hata kidogo, najaribu kuwaza leo hii baba wa familia niamue kupigania ardhi yangu kwa kumuweka mbele mtoto wangu tena mpaka yule asiyejitambua mbele ya adui!!! hapana hii sio sahihi kabisa, napinga Israel wanachokifanya ni UKATIRI ila pia napinga HAMASI wanachokifanya ni HAIBU KUBWA.
Mawazo yamenifanya nimkumbuke kamanda jasiri marehemu HAMZA yule wa ubalozini (Mungu amlaze mahara pema/ hamsamee madhambi yake),
Nimekumbuka jinsi alivo amsha vita na kuimaliza mwenyewe, nimekumbuka jinsi alivokua akiwatoa watu barabarani na kuwaelekeza sehem safe ili wasiumie na kinachoendelea, nimekumbuka alivosimama bila kuhusisha familia yake wala rafiki zake japo huenda alilokua anapigania lilikua na manufaa kwa hao wote walio nyuma yake.
Hakika alifaa kuongoza hata hii vita dhidi ya Islael.
Nimeseme tu kua hii vita ni batiri hasa kwa HAMAS wanachokifanya sio sawa hata kidogo, najaribu kuwaza leo hii baba wa familia niamue kupigania ardhi yangu kwa kumuweka mbele mtoto wangu tena mpaka yule asiyejitambua mbele ya adui!!! hapana hii sio sahihi kabisa, napinga Israel wanachokifanya ni UKATIRI ila pia napinga HAMASI wanachokifanya ni HAIBU KUBWA.