Vita kati ya majangili na askari wa hifadhi za wanyama pori

Vita kati ya majangili na askari wa hifadhi za wanyama pori

Shuka kidogo kuhusu nyati. Hivi ndo wale huliwa kwa wingi na mamba et
Wale ni Zero brain, kwa jina lingine ni Nyumbu wana tabia ya kusahau baada ya muda mfupi unaweza mfukuza ukisimama na yeye anasimama anaendelea kula nyasi keshasahau kuwa alikuwa anafukuzwa…

Hakuna mnyama mwenye akili nyingi kama pundamilia, kuhusu nyati hawa ni balaa hasa ukiwakuta ni bachelors mara nyingi wanakuwa wanajificha kwenye vichaka karibu na chanzo cha maji ukipita hovyo bila kumgundua akipita na wewe basi ndio kwaheri…

Nimetumia sana Etorphine (M99) kuwaangusha hao wanyama pori..
 
Wale ni Zero brain, kwa jina lingine ni Nyumbu wana tabia ya kusahau baada ya muda mfupi unaweza mfukuza ukisimama na yeye anasimama anaendelea kula nyasi keshasahau kuwa alikuwa anafukuzwa…

Hakuna mnyama mwenye akili nyingi kama pundamilia, kuhusu nyati hawa ni balaa hasa ukiwakuta ni bachelors mara nyingi wanakuwa wanajificha kwenye vichaka karibu na chanzo cha maji ukipita hovyo bila kumgundua akipita na wewe basi ndio kwaheri…

Nimetumia sana Etorphine (M99) kuwaangusha hao wanyama pori..
Duuh ""hakuna mnyama mwenye akili nyingi kama pundamilia"" hii ipo vipi ? Nyati anaweza kukushambulia bila sababu yoyote ile ?
 
Wale ni Zero brain, kwa jina lingine ni Nyumbu wana tabia ya kusahau baada ya muda mfupi unaweza mfukuza ukisimama na yeye anasimama anaendelea kula nyasi keshasahau kuwa alikuwa anafukuzwa…

Hakuna mnyama mwenye akili nyingi kama pundamilia, kuhusu nyati hawa ni balaa hasa ukiwakuta ni bachelors mara nyingi wanakuwa wanajificha kwenye vichaka karibu na chanzo cha maji ukipita hovyo bila kumgundua akipita na wewe basi ndio kwaheri…

Nimetumia sana Etorphine (M99) kuwaangusha hao wanyama pori..
Unajiuliza swali na ID yako nyingine halafu faster unajijibu. Mnaishi kwa kukera wengine ilmradi tu mpate faraja.
 
Hakuna mwenye roho mbaya au ukatili, its just usipoua unauliwa !! Watu wana historia mbaya sana na majangili maaskari wanauliwa kila siku wanaacha familia zao yatima na kwenye hali ngumu ! Unapewa tuu pole na paredi la kuagwa bhasii

Kuna mapori magumu mno kama moyowosi ,lukwati lumesule kule mnakutana na majangili ambao daah !!Vijana wengi sana wamepoteza maisha hamjui tuu especial hawa ajira mpya.

Mtu unaamka nae mnaingia doria anarudi maiti life la porini . Selou imetulia sana mbona skuiz watu walikuwa wanangusha tembo like nothing happened !
 
Hakuna mwenye roho mbaya au ukatili … its just usipoua unauliwa !! Watu wana historia mbaya sna na majangili maaskari wanauliwa kila siku wanaacha familia zao yatima na kwenye hali ngumu ! Unapewa tuu pole na paredi la kuagwa bhasii ..
kuna mapori magumu mno kama moyowosi ,lukwati lumesule kule mnakutana na majangili ambao daah !!
Vijana wengi sana wamepoteza maisha hamjui tuu especial hawa ajira mpya …
Mtu unaamka nae mnaingia doria anarudi maiti life la porini weeeee

Selou imetulia sana mbona skuiz watu walikuwa wanangusha tembo like nothing happened !
Mkuu hao askali si wana silaha vipi wanazidiwa?
 
Uko sahihi tuliekaa karibu na mbuga au mapori ya akiba tujua Hilo
1. Ukikutwa na Kuni wewe ni jangingiri
2. Ukikutwa na mjusi wewe ni jangingiri
3. Ukikutwa na mbao ndio usiseme
Askari wanyama pori hawafai kuliko Askari yeyote Duniani nasema tena hawafaiiii
 
Uko sahihi tuliekaa karibu na mbuga au mapori ya akiba tujua Hilo
1. Ukikutwa na Kuni wewe ni jangingiri
2. Ukikutwa na mjusi wewe ni jangingiri
3. Ukikutwa na mbao ndio usiseme
Askari wanyama pori hawafai kuliko Askari yeyote Duniani nasema tena hawafaiiii
Eti hata asali hawat[ICODE][/ICODE]aki tule hizo mbuga kuna siku tutazipiga kiberiti oooh
 
Back
Top Bottom