Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Ila majangili wanafaa, sioUko sahihi tuliekaa karibu na mbuga au mapori ya akiba tujua Hilo
1. Ukikutwa na Kuni wewe ni jangingiri
2. Ukikutwa na mjusi wewe ni jangingiri
3. Ukikutwa na mbao ndio usiseme
Askari wanyama pori hawafai kuliko Askari yeyote Duniani nasema tena hawafaiiii