Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Shuka kidogo kuhusu nyati. Hivi ndo wale huliwa kwa wingi na mamba etNyati msikie tu, bora ukitane na pride ya simba ila sio nyati nakumbuka miaka hiyo nilipokuwa nafanya tafiti katika mbuga ya Serengeti ile wakati wa kufanya darting kuna mzungu mmoja alikoswa koswa kupigwa pembe..
Wale ni Zero brain, kwa jina lingine ni Nyumbu wana tabia ya kusahau baada ya muda mfupi unaweza mfukuza ukisimama na yeye anasimama anaendelea kula nyasi keshasahau kuwa alikuwa anafukuzwa…Shuka kidogo kuhusu nyati. Hivi ndo wale huliwa kwa wingi na mamba et
Duuh ""hakuna mnyama mwenye akili nyingi kama pundamilia"" hii ipo vipi ? Nyati anaweza kukushambulia bila sababu yoyote ile ?Wale ni Zero brain, kwa jina lingine ni Nyumbu wana tabia ya kusahau baada ya muda mfupi unaweza mfukuza ukisimama na yeye anasimama anaendelea kula nyasi keshasahau kuwa alikuwa anafukuzwa…
Hakuna mnyama mwenye akili nyingi kama pundamilia, kuhusu nyati hawa ni balaa hasa ukiwakuta ni bachelors mara nyingi wanakuwa wanajificha kwenye vichaka karibu na chanzo cha maji ukipita hovyo bila kumgundua akipita na wewe basi ndio kwaheri…
Nimetumia sana Etorphine (M99) kuwaangusha hao wanyama pori..
Hawa watu wa game kukukuta umebanika nyama porini na wao kukubanika Kama ulivyokuwa umebanika nyama hawaoni taabu kabisa
Unyama unyamani.Hawa watu wa game kukukuta umebanika nyama porini na wao kukubanika Kama ulivyokuwa umebanika nyama hawaoni taabu kabisa!
Unajiuliza swali na ID yako nyingine halafu faster unajijibu. Mnaishi kwa kukera wengine ilmradi tu mpate faraja.Wale ni Zero brain, kwa jina lingine ni Nyumbu wana tabia ya kusahau baada ya muda mfupi unaweza mfukuza ukisimama na yeye anasimama anaendelea kula nyasi keshasahau kuwa alikuwa anafukuzwa…
Hakuna mnyama mwenye akili nyingi kama pundamilia, kuhusu nyati hawa ni balaa hasa ukiwakuta ni bachelors mara nyingi wanakuwa wanajificha kwenye vichaka karibu na chanzo cha maji ukipita hovyo bila kumgundua akipita na wewe basi ndio kwaheri…
Nimetumia sana Etorphine (M99) kuwaangusha hao wanyama pori..
Mambo haya. DahUnajiuliza swali na ID yako nyingine halafu faster unajijibu. Mnaishi kwa kukera wengine ilmradi mpate faraja.
Mkuu hao askali si wana silaha vipi wanazidiwa?Hakuna mwenye roho mbaya au ukatili … its just usipoua unauliwa !! Watu wana historia mbaya sna na majangili maaskari wanauliwa kila siku wanaacha familia zao yatima na kwenye hali ngumu ! Unapewa tuu pole na paredi la kuagwa bhasii ..
kuna mapori magumu mno kama moyowosi ,lukwati lumesule kule mnakutana na majangili ambao daah !!
Vijana wengi sana wamepoteza maisha hamjui tuu especial hawa ajira mpya …
Mtu unaamka nae mnaingia doria anarudi maiti life la porini weeeee
Selou imetulia sana mbona skuiz watu walikuwa wanangusha tembo like nothing happened !
Unaambiwa atakayemuwahi mwenzie.kumbuka jangili wakati unakuja anakuona, iwe na gari au kwa miguu au pikipikiMkuu hao askali si wana silaha vipi wanazidiwa?
Duuh ila mwenye silaha anaogopeka japo majangiri huwa na siraha.. askali wanyama pori ni kujitoa kweli anUnaambiwa atakayemuwahi mwenzie.kumbuka jangili wakati unakuja anakuona, iwe na gari au kwa miguu au pikipiki
Hatari sanaUnyama unyamani.
Mkuu una akili nyingi wewe[emoji1] hii ishu nami nimeigundua kwenye uandishi, hivi wanafaidi nini???Unajiuliza swali na ID yako nyingine halafu faster unajijibu. Mnaishi kwa kukera wengine ilmradi mpate faraja.
Eti hata asali hawatUko sahihi tuliekaa karibu na mbuga au mapori ya akiba tujua Hilo
1. Ukikutwa na Kuni wewe ni jangingiri
2. Ukikutwa na mjusi wewe ni jangingiri
3. Ukikutwa na mbao ndio usiseme
Askari wanyama pori hawafai kuliko Askari yeyote Duniani nasema tena hawafaiiii
[ICODE][/ICODE]aki tule hizo mbuga kuna siku tutazipiga kiberiti ooohSio watu wazuriEti hata asali hawat[ICODE][/ICODE]aki tule hizo mbuga kuna siku tutazipiga kiberiti oooh