cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo kilichopo akilini kwako, haya relaaaaaxKinakuchekesha nini wewe? acha ugasho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo kilichopo akilini kwako, haya relaaaaaxKinakuchekesha nini wewe? acha ugasho.
Tena Jangili akijua kuna kugeukana hawana mjadala maana hata biashara yao ya meno ya tembo unapatana na mmoja yeye ndie anaenda kuleta pesa kwa tajiri. Unaweza kwenda na mzigo wako na wala usiweze kumuona tajiri. Jangili na drug dealer ama hawa watu wauza madini tofauti yao ni ndogo sana. Ioa nadhani jangili ni hatari sana.Vita vyao ni kubwa sana, mmoja kati ya gemu na jangili akiingia kwenye utawala wa mwenzie haponi.
Jangili akimshika gemu anambanika kama samaki au wanawakata vichwa, na gemu akimshika jangili anamchuna ngozi za unyao ,vinganja au wanawafungia vitu vizito then wanawatupa mtoni.
Jangili akishikwa basi labda mazingira ya uraiani au anakamatwa kama suspect Lkn hwa jamaa wanauana Sana huko mbugani.
Kuna siku kule kilombero maeneo ya kiberege jangili walimua mwezao kwasababu aliwa- snitch kwa police jamaa alikuwa anakula na familia yake akapigiwa simu, ainuke apokee simu Ile kusema halo tu akapigiwa chuma Cha kuchwa (simu ilikuwa mtego)
Anavuruga mambo sana.Kinakuchekesha nini wewe? acha ugasho.
Na ukimuona anavuja kamasi hio ishara mbaya, kimbia speed zako zoteSio kwa nyati mpweke binadamu anasubjri sana huyo kiumbe ni bora ukutane na kundi lao ila sio nyati mmoja
Ndio mkuu tunaziita robust curved horns na tofouti ya dume na jike ni kwamba dume pembe zake kwenye kiungio ni nene wakati kwa jike zinakuwa si nene…Hivi nyati ni wale pembe zao kwa mbele zimegawanyika?
Wewe unaanza amini uchawi ulishawahi kuuona , hamna mtu anaweza thibitisha uchawi kuwepo zaidi ya kusema niliota oh nilihadithiwa .You know nothing
Nyie mlokua mnaelewa shule mko wapi siku hiziHivi shule ulikuwa unaelewa kweli?
Mbona alichoandika kiko wazi kama vazi la kahaba!
Mwamba anazani jangili ni kibaka wa tandale.You know nothing little twatt
You know nothing !!
Umechafua sana uzi ni viemoji kila replyDuuuuuh [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kila siku nakwambia bhange hazikufaiYani natamanigi Sana mazali kama haya yakukutana na majangili porini huko tena usiku. Huo mkono nitakaoutembeza maamaeee nitaacha historia na alama ya kudumu. Asante mleta mada Lazima sasa hivi nizame chaka niitendee haki black belt yangu.
Wawindaji na majangiri wanatumia sana ulozi kama na wewe huna wa kuwazidi huwezi kuwakamata Jamaa ni hatari sanaKuna vita mbaya sana ipo lakini watu hawajui...hii vita kati ya Jangili na Askari wa kulinda na kutunza Wanjama katika hifadhi za Wanyama. Hii ni zaidi ya vita hawa wakigumiana hakuna majadiliano ni vyuma tu vinatembea. Kwa sisi tuliokulia Selou Game reserve tunajua hii vita. Kuna siku tupo porini hatua chache kutoka pale lilipo treini ndani ya Selou tukakatiza sehemu kuna mti upo katikati ya barabara uligoma kutolewa. Mbele tukagumiana na mvuvi haramu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa alijichochea kwenye bwawa lina mamba kibao nikauliza sasa itakuwaje mzee mmoja Ranger akanijibu hao ndio maadui zetu na huyo hawezi kuliwa na hao mambo Wandenge wanauchawi sana. Tukaenda mbele mida ya usiku mwingi tukaona moto kwa mbali unawaka tukajichochea ile tumefika tu tukakuta jamaa walikuwa wanabanika samaki. Nikajisemea hii dunia kuna mtu anaogopa kutoka ubungo mpaka mbezi kwa miguu. Wakati kuna jangili anakatika selou usiku mwingi bila hofu. Siku hiyo tukakosa mawindo yetu nilikuwa katika mafunzo kwa vitendo. Huyu mzee akaniambia humu ni msutuni kina NguruMbili ama makucha(Simba) na Abeid Mziba(Nyati mzee wa Vichwa) na binadamu Jangili mzee akasema bora ukutane na Wanyama kuliko Jangili. Akasisitiza ni vita kali ambayo haina kelele.
Naikumbuka hii habari, ilinikuta nikiwa mbuluKama sikosei mwishoni mwa miaka 90 hiyo alikuwa OCD. Ni kweli alikohoa. Majangili wa Ngorongoro walikuwa ni balaa hawafai. Sema nao waliuwawa sana.
Atulie akson vizuri asikurupuke![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji4]!Mkuu mbona una haraka sana tulia akson vizur, weka aya, sungura andika vizur,una mawazo mazur ila n hujayapangilia
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja baada ya kuona tukio hili mgahawani China.Sio kwa nyati mpweke binadamu anasubjri sana huyo kiumbe ni bora ukutane na kundi lao ila sio nyati mmoja
Askari wa wanyama pori wanna kazi ngumu. Mapambano ya kila siku na maadili watatu: majangili, wanyama hatari, majoka hatari. Jw hawana suruba kama hizi japo wanalipwa vizuri kuliko wa wanyamapori.Kuna vita mbaya sana ipo lakini watu hawajui...hii vita kati ya Jangili na Askari wa kulinda na kutunza Wanjama katika hifadhi za Wanyama. Hii ni zaidi ya vita hawa wakigumiana hakuna majadiliano ni vyuma tu vinatembea. Kwa sisi tuliokulia Selou Game reserve tunajua hii vita. Kuna siku tupo porini hatua chache kutoka pale lilipo treini ndani ya Selou tukakatiza sehemu kuna mti upo katikati ya barabara uligoma kutolewa. Mbele tukagumiana na mvuvi haramu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa alijichochea kwenye bwawa lina mamba kibao nikauliza sasa itakuwaje mzee mmoja Ranger akanijibu hao ndio maadui zetu na huyo hawezi kuliwa na hao mambo Wandenge wanauchawi sana. Tukaenda mbele mida ya usiku mwingi tukaona moto kwa mbali unawaka tukajichochea ile tumefika tu tukakuta jamaa walikuwa wanabanika samaki. Nikajisemea hii dunia kuna mtu anaogopa kutoka ubungo mpaka mbezi kwa miguu. Wakati kuna jangili anakatika selou usiku mwingi bila hofu. Siku hiyo tukakosa mawindo yetu nilikuwa katika mafunzo kwa vitendo. Huyu mzee akaniambia humu ni msutuni kina NguruMbili ama makucha(Simba) na Abeid Mziba(Nyati mzee wa Vichwa) na binadamu Jangili mzee akasema bora ukutane na Wanyama kuliko Jangili. Akasisitiza ni vita kali ambayo haina kelele.
Unaishi mijini au jinini ndo .aana tembea vijijini ndo utajua hujuiWewe unaanza amini uchawi ulishawahi kuuona , hamna mtu anaweza thibitisha uchawi kuwepo zaidi ya kusema niliota oh nilihadithiwa .
Pumba ya mwaka.Humu kuna watu wanasema tu hawajui maisha ya porini ni vita rasmi. tulikamata mzee ana miaka kama sikosei 75+ nikakaa nae chemba kumuuliza maswali akasema yeye maisha yake ni porini hajui lolote maishani mwake ni Jangili mbobezi. Nikatoa ushauri tumuachie tukansindikiza mpaka kijijini kwake.
Una uhakika katika malipo au umeamua tu kuongeza nyama kwenye comment??Askari wa wanyama pori wanna kazi ngumu. Mapambano ya kila siku na maadili watatu: majangili, wanyama hatari, majoka hatari. Jw hawana suruba kama hizi japo wanalipwa vizuri kuliko wa wanyamapori.
Hapa napo ni mtihani chief dahKwaio unataka kusema bora iwe ivi kuliko majangiri mkuu? View attachment 2053938