Vita kati ya majangili na askari wa hifadhi za wanyama pori

Tena Jangili akijua kuna kugeukana hawana mjadala maana hata biashara yao ya meno ya tembo unapatana na mmoja yeye ndie anaenda kuleta pesa kwa tajiri. Unaweza kwenda na mzigo wako na wala usiweze kumuona tajiri. Jangili na drug dealer ama hawa watu wauza madini tofauti yao ni ndogo sana. Ioa nadhani jangili ni hatari sana.
 
Yani natamanigi Sana mazali kama haya yakukutana na majangili porini huko tena usiku. Huo mkono nitakaoutembeza maamaeee nitaacha historia na alama ya kudumu. Asante mleta mada Lazima sasa hivi nizame chaka niitendee haki black belt yangu.
Kila siku nakwambia bhange hazikufai
 
Wawindaji na majangiri wanatumia sana ulozi kama na wewe huna wa kuwazidi huwezi kuwakamata Jamaa ni hatari sana
 
Kila mbuzi anakula urefu wa kamba yake kama wao wanavyo ramba huko juu
 
Askari wa wanyama pori wanna kazi ngumu. Mapambano ya kila siku na maadili watatu: majangili, wanyama hatari, majoka hatari. Jw hawana suruba kama hizi japo wanalipwa vizuri kuliko wa wanyamapori.
 
Wewe unaanza amini uchawi ulishawahi kuuona , hamna mtu anaweza thibitisha uchawi kuwepo zaidi ya kusema niliota oh nilihadithiwa .
Unaishi mijini au jinini ndo .aana tembea vijijini ndo utajua hujui
 
Pumba ya mwaka.
 
Askari wa wanyama pori wanna kazi ngumu. Mapambano ya kila siku na maadili watatu: majangili, wanyama hatari, majoka hatari. Jw hawana suruba kama hizi japo wanalipwa vizuri kuliko wa wanyamapori.
Una uhakika katika malipo au umeamua tu kuongeza nyama kwenye comment??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…