Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Tangu Lemma aende ughaibuni,wizi wa magari umekwisha kabisa Arusha
Ww lazima utakuwa ni mzee, wizi wa magari umeisha muda mrefu baada ya usajili wa magari kufanyika kieletroniki. Sasa unapoendelea na propaganda outdated, unaanika uzee wako hapa jukwaani.