Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kua hio bunduki ndio yeye anaitumia kujilinda hapo?
Kia hio bunduki ndio yeye anaitumia kujilinda hapo?
Huyo ni supreme leader,ana ulinzi na Kila sababu ya kujilinda
Halafu hio sio bunduki hilo ni Bomba la kipaza sauti
Sio bunduki isee ni bomba la kipaza sauti ilukizoom utaona.
Israel wakimtaka wanamlipua na bunduki yake
Zifutwe.Dini zimeletq balaa duniani
Sasa hiyo bunduki itamsaidia nini endapo kombora likishushwa hapo?
Iran hana Iron Dome,ambayo ballistic zinaweza ingia kirahisi,labda kombora litoke ndani ya IranSasa hiyo bunduki itamsaidia nini endapo kombora likishushwa hapo?
Shehe anaswarisha leo akiwa na Gobole😀😀😀Kua hio bunduki ndio yeye anaitumia kujilinda hapo?
Huyo ni supreme leader,ana ulinzi mkali mara 30 ya wa chura kiziwi, na ana Kila sababu ya kujilinda
Halafu hio sio bunduki hilo ni Bomba la kipaza sauti
Shehe anaswarisha leo akiwa na Gobole😀😀😀Kua hio bunduki ndio yeye anaitumia kujilinda hapo?
Huyo ni supreme leader,ana ulinzi mkali mara 30 ya wa chura kiziwi, na ana Kila sababu ya kujilinda
Halafu hio sio bunduki hilo ni Bomba la kipaza sauti
Umesoma kingereza hicho kinasema nini?Jichanganyeni awapasue.
Huo ni ujumbe tosha kabisa, kuwa wapo tayari muda wote mahala popote.