Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila binadamu ni marehemu mtarajiwa.Huyo marehemu mtarajiwa
Unamkumbuka Osama bin Laden? Always AK 47 ilikuwa haibanduki alipo! Mikwara kibao but atafikiwa tu.Kua hio bunduki ndio yeye anaitumia kujilinda hapo?
Huyo ni supreme leader,ana ulinzi mkali mara 30 ya wa chura kiziwi, na ana Kila sababu ya kujilinda
Halafu hio sio bunduki hilo ni Bomba la kipaza sauti
Future haijawahi kufikiwa boss,unazungumzia past na present...............Iran ni nchi kama ilivo China,U.S,Russia .......unafananisha Osama ambaye alikua stateless na rais wa nchi?Unamkumbuka Osama bin Laden? Always AK 47 ilikuwa haibanduki alipo! Mikwara kibao but atafikiwa tu.
Watu ndio wanaiona kwa mara ya kwanza hio ndio shidaKawaida wanaume wa dini kuwa na bunduki sio lazima kuwe na vita hata kwenye sherehe wanakuwa na bundunki, hio symbol ya uwanaume Shujaa.
Watu wa 1=3 huwa wao symbol zao ni equal rights 😄
Hizo data ni za uongo, Waislam sio wengi zaidi ya Wakristu kwa US, na pia Wayahudi sio wengi kufikia asilimia 73.Future haijawahi kufikiwa boss,unazungumzia past na present...............Iran ni nchi kama ilivo China,U.S,Russia .......unafananisha Osama ambaye alikua stateless na rais wa nchi?
Hizi ni akili kama za baadhi ya wakristo WA bongo,utasikia,....."ukiiombea Israel na wewe utabarikiwa",🤣😆😆😆...Yaani Israel yenye waislamu wengi kuliko wakristo ibarikiwe kupitia MPUMBAVU unayekesha kwa viongozi wako wa dini kuwatajirisha ...
UPUNGUANI huuView attachment 3115295
Allah yupo anaekufanya wewe unye. Kama huamini kama Allah ndio anekufanya unye , jizibe kitobo ili ukae siku 10 usinyeNi Allah yupi sasa anayemuomba hapo, kama maisha yake anategemea gobole??
😁😁😁Kumbe ni kila sehemuHiyo binduki sio mahali pake hapo.
Ila kwa hao majamaa ni kawaida kusali na silaha.
Kuna msikiti hapa bongo jamaa walikua wanaugombea sasa ikifika muda wa ibada kil mtu anaficha jambia lake ndani ya kanzu.
😂😂😂😂😂 kwaniniHiyo binduki sio mahali pake hapo.
Ila kwa hao majamaa ni kawaida kusali na silaha.
Kuna msikiti hapa bongo jamaa walikua wanaugombea sasa ikifika muda wa ibada kil mtu anaficha jambia lake ndani ya kanzu.
Upo sahihi wakumbushe wakurungwa.Kila binadamu ni marehemu mtarajiwa.
Utakua ule msikiti wa maboxi/ mabati maeneo ya mbagala nadhani miaka ya nyuma kidogo sijui walimaliza vip lile sakata lao.Hiyo binduki sio mahali pake hapo.
Ila kwa hao majamaa ni kawaida kusali na silaha.
Kuna msikiti hapa bongo jamaa walikua wanaugombea sasa ikifika muda wa ibada kil mtu anaficha jambia lake ndani ya kanzu.
Bahati nzuri alitangaza kabla ya siku yenyewe, kama mna mipango muueni
Kwa hiyo mkiwa misikitini mnafundishwa na Allah namna ya kunya 🤒🤒🤒..???Allah yupo anaekufanya wewe unye. Kama huamini kama Allah ndio anekufanya unye , jizibe kitobo ili ukae siku 10 usinye
Hata Yesu akiingia msikitiniKwa hiyo mkiwa misikitini mnafundishwa na Allah namna ya kunya 🤒🤒🤒..???
Allah muoga haaminiki tena kala Kona na kuingia chaka baada ya kuwaingiza mkenge maamaee yahuudNi Allah yupi sasa anayemuomba hapo, kama maisha yake anategemea gobole??