Vita ni mbaya, leo Ayatollah Khamenei ameongoza Ibada akiwa bunduki

Kua hio bunduki ndio yeye anaitumia kujilinda hapo?
Huyo ni supreme leader,ana ulinzi mkali mara 30 ya wa chura kiziwi, na ana Kila sababu ya kujilinda
Halafu hio sio bunduki hilo ni Bomba la kipaza sauti
Shehe anaswarisha leo akiwa na Gobole😀😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…