Vita si mchezo wa kuigiza!.-Zelensky

Vita si mchezo wa kuigiza!.-Zelensky

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kwa mara nyengine raisi wa Ukraine Volodymr Zelensky amekiri kuwa vita vya kukomboa maeneo yaliyotekwa vimekwenda kombo na kwamba havijaenda kama ilivyotarajiwa.
Kuna watu wanadhani vita ni kama mchezo wa Hollywood na wanataka yapatikane mafanikio haraka.
Moja ya sababu alizosema zimepelekea hali hiyo ni kuwa eneo kubwa la zaidi ya kilomita za mraba 200,000 zimetegeshwa mabomu na Urusi na hayapitiki.Akaongeza kuwa kuna watu wanataka kulazimisha ushindi wa haraka.Nawaambia kwa heshima zote watulie na sisi tutaendelea na mapigano kwa namna zetu tunazoona zinafaa zaidi.
Katika malalamiko yake akihojiwa na shirika la BBC Zelensky ameulaumu umoja wa NATO kwamba wametia nguvu kujadili uanachama wao badala kuwapelekea ndege za F 16.
 
Kamanda wa Ukraine Jeshi la Ardhini: Vikosi vyaendelea kusonga mbele huko Bakhmut:
...
 
Kamanda wa Ukraine Jeshi la Ardhini: Vikosi vyaendelea kusonga mbele huko Bakhmut:
...
Wanasema wamekomboa vijiji sita 6 karibu na Bakhmut.Vijiji sita tu baada ya kuangamizwa vifaru vya kisasa vya Leopard na Abrams havitoshi na mafanikio madogo sana kama alivyokiri raisi. Nani atakupatia tena vifaru vyake kwa mafanikio hayo.
 
Wanasema wamekomboa vijiji sita 6 karibu na Bakhmut.Vijiji sita tu baada ya kuangamizwa vifaru vya kisasa vya Leopard na Abrams havitoshi na mafanikio madogo sana kama alivyokiri raisi. Nani atakupatia tena vifaru vyake kwa mafanikio hayo.
Unaangaika sana na vi story vyako vya kuokoteza ambavyo havina hata source, cheki chuma hicho hapo juu kimekupa taarifa na source juu ukajisomee mwenyewe
 
Wanasema wamekomboa vijiji sita 6 karibu na Bakhmut.Vijiji sita tu baada ya kuangamizwa vifaru vya kisasa vya Leopard na Abrams havitoshi na mafanikio madogo sana kama alivyokiri raisi. Nani atakupatia tena vifaru vyake kwa mafanikio hayo.
Russia kwenye offensive yake amepoteza vifaru zaidi ya elfu 2:
....
 
Yaani kishumundu, epanko, namabengo, mnyuzi, bwiru na kakoi kwa mavifaru yote hayo.MURUSI NI MTIHANI.
 
Warusi ni wapumbavu wana mbinu za kizamani sana. Licha ya yote bado wanaendelea kusogezwa nyuma.
Haya maneno ProRussians wa mchongo hawataki kusikiwa kabisa.Huu ni ukweli mchungu kwao!
 
Wanasema wamekomboa vijiji sita 6 karibu na Bakhmut.Vijiji sita tu baada ya kuangamizwa vifaru vya kisasa vya Leopard na Abrams havitoshi na mafanikio madogo sana kama alivyokiri raisi. Nani atakupatia tena vifaru vyake kwa mafanikio hayo.
Vijiji vyenyewe wamevikomboa kwenye media ila kwenye uwanja wa vita ni tofauti kabisa
 
Wanasema wamekomboa vijiji sita 6 karibu na Bakhmut.Vijiji sita tu baada ya kuangamizwa vifaru vya kisasa vya Leopard na Abrams havitoshi na mafanikio madogo sana kama alivyokiri raisi. Nani atakupatia tena vifaru vyake kwa mafanikio hayo.
Ndio maana mnauza bandari , akili ndogo
 
Unajua mwanzoni mwa wiki walisema wanasitisha mashambulizi kwa muda ili kufanya tathmini.
Raisi kwa mdomo wake amekubali hali si nzuri halafu kuna watu wanabishana.
Kwan Zele ameivamia Ukraine au Urusi ndo kaivamia Ukraine ? Hv unatumia akil gan kumlaumu aliyevamiwa ? Zele kaukuta huo mgogoro , unatumia akili za matackloni kumlaumu kwa mgogor kaukuta
 
Vijiji vyenyewe wamevikomboa kwenye media ila kwenye uwanja wa vita ni tofauti kabisa
Mkuu uko kikosi gani hapo Jeshi la Urusi?.

Any way yani media ziseme wamekomboa wewe upo Namanyele useme uwanja wa vita ni tofauti? Hivi huwa mnawaza kwa kutumia kichwa au viungo vingine?
 
Back
Top Bottom