Mwaka wa pili sasa na sio siku 3 bado wehu wako unakuambia Russia cant be defeatedUkraine itashinda tu kwenye Vyombo vya habari, Russia can't be defeated Huwa mnasikiliza sana vyombo vya habari vya magharibi.,........ Afghanistan mlienda kupiga vita Miaka 20 na mkashindwa saizi mmeenda Ukraine na mtashindwa tena!!!!!,,,,naona Mmejiandaa na Kwenda TAIWAN kuleta vita , bila shaka mtashindwa Tena
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app