Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukraine itashinda tu kwenye Vyombo vya habari, Russia can't be defeated Huwa mnasikiliza sana vyombo vya habari vya magharibi.,........ Afghanistan mlienda kupiga vita Miaka 20 na mkashindwa saizi mmeenda Ukraine na mtashindwa tena!!!!!,,,,naona Mmejiandaa na Kwenda TAIWAN kuleta vita , bila shaka mtashindwa TenaKamanda wa Ukraine Jeshi la Ardhini: Vikosi vyaendelea kusonga mbele huko Bakhmut:
...
![]()
The Commander of Ukraine’s Ground Forces Says Defense Forces Continue to Move Forward In Bakhmut Direction | Defense Express
The Commander of the Ground Forces of the Armed Forces of Ukraine, Colonel General Oleksandr Syrskyi, announced that Ukrainian soldiers continue to advance on the flanks in the Bakhmut direction. Although the occupiers are attempting to halt the advancement of the Ukrainian Armed Forces, they...en.defence-ua.com
Lini Sasa Russia itaimaliza Ukraine,manake time frame ilikuwa Kyv iwe chini ya Moscow baada ya siku 3 za operation maalum.Sasa hivi Russia ndio anapelekewa moto; Counter offensive!Ukraine itashinda tu kwenye Vyombo vya habari, Russia can't be defeated Huwa mnasikiliza sana vyombo vya habari vya magharibi.,........ Afghanistan mlienda kupiga vita Miaka 20 na mkashindwa saizi mmeenda Ukraine na mtashindwa tena!!!!!,,,,naona Mmejiandaa na Kwenda TAIWAN kuleta vita , bila shaka mtashindwa Tena
Vita si mchezo .Ndio kwanza Ukraine amelielewa hilo.Urusi angekuwa anapigana na Ukraine pekee hizo siku zingetosha, lakini anapigana na Ulaya na Marekani .Pamoja na hivyo hatimae ushindi utakuwa kwa Urusi na hao mashoga wataporomoka chini sana na sababu haitokuwa ni makombora ya Urusi kutua kwenye miji yao bali umaskini kwa ushoga wao wa kupeleka vifaa vyao mstari wa mbele ambavyo vinadunguliwa kimoja kimoja,Lini Sasa Russia itaimaliza Ukraine,manake time frame ilikuwa Kyv iwe chini ya Moscow baada ya siku 3 za operation maalum.Sasa hivi Russia ndio anapelekewa moto; Counter offensive!
Afghanistan ni funzo kubwa kwa America na madhalimu wote. Kila kitu walichofanya kiliporomoka. walijenga makambi makubwa ya kijjeshi kwa pesa zao na kuingiza vifaa vya gharama vya kijeshi.Siku ilipofika wakakimbia na kumwachia adui yao.Pigo kubwa ni kuwa hata wale wanajeshi wa Afghanistan waliowapa mafunzo waligeuka kuwa askari wa Taliban. Kwa kifupi mwishowe shughuli zao za miaka yote hiyo ilibaki sifuri na wakapaona moto ikabidi watimue mbio.Ukraine itashinda tu kwenye Vyombo vya habari, Russia can't be defeated Huwa mnasikiliza sana vyombo vya habari vya magharibi.,........ Afghanistan mlienda kupiga vita Miaka 20 na mkashindwa saizi mmeenda Ukraine na mtashindwa tena!!!!!,,,,naona Mmejiandaa na Kwenda TAIWAN kuleta vita , bila shaka mtashindwa Tena
Weee ni taira maana ningekuita mjingga ni kukupa creditKwan Zele ameivamia Ukraine au Urusi ndo kaivamia Ukraine ? Hv unatumia akil gan kumlaumu aliyevamiwa ? Zele kaukuta huo mgogoro , unatumia akili za matackloni kumlaumu kwa mgogor kaukuta
Kwa mara nyengine raisi wa Ukraine Volodymr Zelensky amekiri kuwa vita vya kukomboa maeneo yaliyotekwa vimekwenda kombo na kwamba havijaenda kama ilivyotarajiwa.
Kuna watu wanadhani vita ni kama mchezo wa Hollywood na wanataka yapatikane mafanikio haraka.
Moja ya sababu alizosema zimepelekea hali hiyo ni kuwa eneo kubwa la zaidi ya kilomita za mraba 200,000 zimetegeshwa mabomu na Urusi na hayapitiki.Akaongeza kuwa kuna watu wanataka kulazimisha ushindi wa haraka.Nawaambia kwa heshima zote watulie na sisi tutaendelea na mapigano kwa namna zetu tunazoona zinafaa zaidi.
Katika malalamiko yake akihojiwa na shirika la BBC Zelensky ameulaumu umoja wa NATO kwamba wametia nguvu kujadili uanachama wao badala kuwapelekea ndege za
Urusi ni majoga sana kutegesha mabomu maana yake ni kwamba hawana jeshi la kutosha ku-hold maeneo lakini ni majoga sana., sasa wanavizia viziaKwa mara nyengine raisi wa Ukraine Volodymr Zelensky amekiri kuwa vita vya kukomboa maeneo yaliyotekwa vimekwenda kombo na kwamba havijaenda kama ilivyotarajiwa.
Kuna watu wanadhani vita ni kama mchezo wa Hollywood na wanataka yapatikane mafanikio haraka.
Moja ya sababu alizosema zimepelekea hali hiyo ni kuwa eneo kubwa la zaidi ya kilomita za mraba 200,000 zimetegeshwa mabomu na Urusi na hayapitiki.Akaongeza kuwa kuna watu wanataka kulazimisha ushindi wa haraka.Nawaambia kwa heshima zote watulie na sisi tutaendelea na mapigano kwa namna zetu tunazoona zinafaa zaidi.
Katika malalamiko yake akihojiwa na shirika la BBC Zelensky ameulaumu umoja wa NATO kwamba wametia nguvu kujadili uanachama wao badala kuwapelekea ndege za F 16.
Tofauti Kati ya Aghanstan na Ukraine hujui kabisaUkraine itashinda tu kwenye Vyombo vya habari, Russia can't be defeated Huwa mnasikiliza sana vyombo vya habari vya magharibi.,........ Afghanistan mlienda kupiga vita Miaka 20 na mkashindwa saizi mmeenda Ukraine na mtashindwa tena!!!!!,,,,naona Mmejiandaa na Kwenda TAIWAN kuleta vita , bila shaka mtashindwa Tena
Tofauti Kati ya Aghanstan na Ukraine hujui kabisa
Kwa hiyo unabishana na rais wa Ukraine?Kamanda wa Ukraine Jeshi la Ardhini: Vikosi vyaendelea kusonga mbele huko Bakhmut:
...
![]()
The Commander of Ukraine’s Ground Forces Says Defense Forces Continue to Move Forward In Bakhmut Direction | Defense Express
The Commander of the Ground Forces of the Armed Forces of Ukraine, Colonel General Oleksandr Syrskyi, announced that Ukrainian soldiers continue to advance on the flanks in the Bakhmut direction. Although the occupiers are attempting to halt the advancement of the Ukrainian Armed Forces, they...en.defence-ua.com
Tunangalia mleta vita ni yule yule Unachoona Ukraine na Afghanistan ni kile kile, Kule Uarabuni, mlienda kubeba Mafuta mkaja kwa propaganda ya vita dhidi ya magaidi......na Ukraine mmenda kufanya biashara ya Silaha .kwa propaganda ya DEMOCRACY & FREEDOM of UKRAINE.....mmetaka Ulaya wapeleke silaha zao zote Ukraine ili waanze kuwaungisha nyie Silaha, Unafikiri Marekani na UK anauza SURA Ukraine jamaa yupo kima slahi zaidi tena kwa manufaa yake... .mpaka sasa Hivi Ukraine yote ipo Chini ya Marekani inabidi kulipia jamaa lazima wapewe Madini au mafuta hakuna cha Bure........anayepoteza kuliko wote ndiyo mjinga zaidi, Zelensky ameshakula kibunda cha marekaniTofauti Kati ya Aghanstan na Ukraine hujui kabisa
Hii shughuli ya Bakhmut haikumalizika tu ?...🤔🤔Kamanda wa Ukraine Jeshi la Ardhini: Vikosi vyaendelea kusonga mbele huko Bakhmut:
...
![]()
The Commander of Ukraine’s Ground Forces Says Defense Forces Continue to Move Forward In Bakhmut Direction | Defense Express
The Commander of the Ground Forces of the Armed Forces of Ukraine, Colonel General Oleksandr Syrskyi, announced that Ukrainian soldiers continue to advance on the flanks in the Bakhmut direction. Although the occupiers are attempting to halt the advancement of the Ukrainian Armed Forces, they...en.defence-ua.com
Raisi ni mwanasiasa ,kamanda ni mwanajeshi!Kwa hiyo unabishana na rais wa Ukraine?
Mpuuz kuliko huyu muuza bandari ? Ndio maana mnaitwa kima , mnamatatizo kibao hata toilet paper mpk mletewe , hlf mnamuit mtu anaepigania nchi yake ni mpuuzAcha tu waukraine wafe hawana akili kutawaliwa na yule mpuuzi
Ndo Putin akawaomba waafrika waende msuluhisha wakat anajua solution ni kuiacha Ukrainebaada ya kichapo kitakatifu.hatimae.amejua.vita sio comedy ya Rambo
Ila walivamiwa , yaan Idd Amin avamie Tz hlf tumlaumu Nyerere ? Hv mna akili nyinyMatajiri wakubwa wa ngano wamefariki na wanamasumbwi pia.Iko siku wataanza kumjua mbaya wao. Ahadi hewa za matrilioni ya dola kila wiki yanawatia upumbavu kichwani.