Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

Tuondolee udini wako.Tunajua Iddy Amini na Libya-Gadafi walikuwa agenda zao za kiislam ambazo kwa leo hatuna haja nazo.


Kama alivyokuwa nazo Nyerere na Ukatoliki wake ??
 
Hicho unachoita "Kuwachilia Waganda" kwenye GeoPolitics hakipo, nyumba ya jirani ikiwa inawaka moto; na wewe ukajifanya haukuhusu, utakuja kushangaa umehamia kwako. Wewe unadhani hata wao hawajali kuhusu yanaondelea Tanzania? Tatizo ni pale unapoenda kuvamia nchi nyingine.

On point ya Idi Amin kutovamia nchi nyingine, kasome; mwaka 1976 alitishia kuvamia Kenya, na upumbavu huu huu wa kusema kuna kipande cha Kenya ni cha Uganda.

Ni kweli kwenye Geopolitics ya Nyerere hakikuwepo kwani tokea day one hakumtambua Amin. Pili vipi kule Biafra , Nigeria nako alikuwa na Geopolitics ya kuwasaidia Wakatoliki wenzake ??
 
Chokochoko ni kawaida kwenye masuala ya mahusiano ya nchi, wiki iliyopita hata hivi sasa tuna chokochoko na Kenya. Kwahiyo Idi Amin baada ya ChokoChoko ndio akaamua kutuvamia?

Choko choko ni kawaida kwa wanaopigania ukatoliki ?? Kama unavamiwa siku zote na vikundi vya ugaidi utafanya kitu gani ??

Kwa Nyerere alishazoea kuvamia aliona labda Uganda ni kama Zanzibar
 
Ni kweli kwenye Geopolitics ya Nyerere hakikuwepo kwani tokea day one hakumtambua Amin. Pili vipi kule Biafra , Nigeria nako alikuwa na Geopolitics ya kuwasaidia Wakatoliki wenzake ??
Katika kutomtambua Idi Amin alikuwa peke yake? Kwani Idi Amin alichaguliwa?

Nyerere alikuwa Pan Africanist. Geopolitics hazikuishia tu hapa East Africa. Mbona unasema tu Biafra, vipi kuhusu Zimbabwe, Afrika Kusini, Namibia, DRC na Mozambique, wote walikuwa wakatoliki wenzake?
 
Choko choko ni kawaida kwa wanaopigania ukatoliki ?? Kama unavamiwa siku zote na vikundi vya ugaidi utafanya kitu gani ??

Kwa Nyerere alishazoea kuvamia aliona labda Uganda ni kama Zanzibar

Chokochoko ni kawaida, mambo haya yanatokea hata leo Between DRC and Rwanda, Uganda and DRC. Tatizo lako, unaona dini kwenye kila alichofanya Nyerere.

Kuhusu kuvamia Uganda; sijui unayatoa wapi. Uganda ndio ilivamia Tanzania, sijui hili la Tanzania kuvamia Uganda limetoka wapi.
 
Katika kutomtambua Idi Amin alikuwa peke yake? Kwani Idi Amin alichaguliwa?

Nyerere alikuwa Pan Africanist. Geopolitics hazikuishia tu hapa East Africa. Mbona unasema tu Biafra, vipi kuhusu Zimbabwe, Afrika Kusini, Namibia, DRC na Mozambique, wote walikuwa wakatoliki wenzake?
Biafra kwani haikuwa jirani kunakofuka moto??
 
Chokochoko ni kawaida, mambo haya yanatokea hata leo Between DRC and Rwanda, Uganda and DRC. Tatizo lako, unaona dini kwenye kila alichofanya Nyerere.

Kuhusu kuvamia Uganda; sijui unayatoa wapi. Uganda ndio ilivamia Tanzania, sijui hili la Tanzania kuvamia Uganda limetoka wapi.
Soma vizuri nimeandika kitu gani. Kuna mahali nimesema Uganda haijaivamia Tanganyika?
 
Yaliyodnikwa kwenye article uliyokwoti hapa yana sehemu kubwa kupikwa tu, kwa mfano ni kuwa kati ya jambo ambalo Nyerere aliilaumu sana OAU ni kule kushindwa kumkemea Amin; Nyerere alilalamaika sana kwa nini OAU wasimkemee tu. Halafu hilo la msumbiji kama nilivyosema hapo juu sina uhakika nalo, kwani halikuwa kwenye circles za mimi kujua labda kama Echolima aliyekuwa frontline analijua, mimi sikuwa frontline. Ila vile vile inawezekana ni vivyo hivyo taarifa za kupikwa tu. Baada ya mobilization ya Mgambo, Polisi, Magereza na JKT; jeshi letu lilikuwa kubwa sana karibu mara mbili ya jeshi Uganda ndiyo maana nina wasiwasi sana kuhusu kupata msaada wa Askari kutoka Musumbiji. Labda wanazungumza askari wa Tanzania waliokuwa Musumbiji wakati huo walirudishwa nyumbani; lakini bado niko open. Kuna general mmoja wa Amini wakati huo baada ya vita aliwahi kuhojiwa na kunyesha jinsi Jeshi la Tanzania lilivyopanuka kwa muda mfupi sana kulingana na Intelligene walizokuwa wanapata. Siku nikiipata tena article ya interview hiyo nitaileta hapa

2429329_Screenshot_2020-06-15-22-04-28-1.png
Kwenye article niliyosoma mimi inasema walikuwepo na Mozambique ndiyo waliutupa Surface to Air missiles waliyokuwa wamepewa na Soviet ilihamishiwa TZ kukabiliana na jeshi la anga la amini lilikuwa linasumbua.
 
Katika kutomtambua Idi Amin alikuwa peke yake? Kwani Idi Amin alichaguliwa?

Nyerere alikuwa Pan Africanist. Geopolitics hazikuishia tu hapa East Africa. Mbona unasema tu Biafra, vipi kuhusu Zimbabwe, Afrika Kusini, Namibia, DRC na Mozambique, wote walikuwa wakatoliki wenzake?

Vitabu vya kanisa hivyo vinaeleza kila kitu

 
Biafra kwani haikuwa jirani kunakofuka moto??
What's your point? Umeulizia kuhusu Biafra, nikakwambia involvement ya Mwalimu haikuishia Bifra tu. Mbona unaona Biafra tu, vipi kuhusu Afrika Kusini, Zimbabwe na Mozambique nako ni ukatoliki ulikuwa unamsukuma?
 
What's your point? Umeulizia kuhusu Biafra, nikakwambia involvement ya Mwalimu haikuishia Bifra tu. Mbona unaona Biafra tu, vipi kuhusu Afrika Kusini, Zimbabwe na Mozambique nako ni ukatoliki ulikuwa unamsukuma?
Ulisema nyumba ya jirani yako ikiwaka moto wewe utatulia tu? Ndio nikakuuliza Biafra nako kwa wakatoliki wenzake ni jirani?
 
Umesikiliza au joto limeanza kukupanda?
Wanarudia story zile zile za Marehemu Sheikh Ilunga. Nimesikiliza sana tu. Na watu wa mtazamo wako hata shule nimesoma nao, mwisho wa siku ukiwachimba sana hamna facts ni hisia tu na opinions.
 
Kwa taarifa yako majeshi ya Uganda yalikuwa vizuri sana kabla ya uasi.

Vita ilipoanza tulipoteza wanajeshi wengi mno japo taarifa zilifichwa, binamu yangu amepigana na amesimulia mengi mno ambayo serikali haikuweka na haitaweka wazi.

Hivyo unaposema kwani tulizunguka, unafikiri hao jamaa walikuwa dhaifu kiasi hicho?

Vita ina mbinu nyingi, moja wapo ni kumzunguka adui wakati yeye anapambana na wale waliom face... ghafla snashangaa anashambuliwa eneo ambalo asikutegemea.


Sent using Jamii Forums mobile app

Kwahiyo mkuu ulitaka watu wasife huko vitani?
 
Wanarudia story zile zile za Marehemu Sheikh Ilunga. Nimesikiliza sana tu. Na watu wa mtazamo wako hata shule nimesoma nao, mwisho wa siku ukiwachimba sana hamna facts ni hisia tu na opinions.

SORRY ,Ni vitabu vya kanisa ndio vimeandika . USIWAFOKEE WATU WENGINE KAWAFOKEE WALIOANDIKA
 
Back
Top Bottom