Mkuu hizii ni battalion 4, bro wangu alikuwepo uwa nashangaa Nyerere kipindi anawapokea wanajeshi waliorudi alisema "tumepoteza vijana wetu 379" na Mkapa kwenye mbook wake karudia kosa hili kwa makusudi. Tulipoteza askari zaidi ya 5000, na raia zaidi ya 2500 miezi mitatu ya kwanza ya vita baada ya kutekwa kwa eneo la Kakunyu, Kabwobya na Minziro wanajeshi wetu walivofka Mutukula walilipa kisasi cha staili ile ya kyaka (ya raia na wanajeshi waliokufa) yaan "Masacre" au "mfekane" kwa hiyo Mutukula kuna raia zaidi ya 3000 waliuliwa (na Watanzania wakiwemo) yaan dah hii vitaa kuna mengi tunafichwa huyu jamaa ameamua kuwa muwazii lakini nae hajasema ukweliiMkuu 2000
Ni Battalion mbili hizo.
Na makadirio huenda tulipoteza Battalion 3
Sent using Jamii Forums mobile app