Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

SORRY ,Ni vitabu vya kanisa ndio vimeandika . USIWAFOKEE WATU WENGINE KAWAFOKEE WALIOANDIKA
Sina tatizo na maoni yao, wana haki ya kutoa maoni yao. Tatizo ni watu wanaojaribu kuunganisha maoni yao na matukio bila ushahidi
 
Kwenye article niliyosoma mimi inasema walikuwepo na Mozambique ndiyo waliutupa Surface to Air missiles waliyokuwa wamepewa na Soviet ilihamishiwa TZ kukabiliana na jeshi la anga la amini lilikuwa linasumbua.
Siyo kweli; Mozambique ilikuwa na miaka mitano tu ya Uhuru na ilikuwa na matatizo yake ya ndani dhidi ya RENAMO.
 
Sina tatizo na maoni yao, wana haki ya kutoa maoni yao. Tatizo ni watu wanaojaribu kuunganisha maoni yao na matukio bila ushahidi

Kwani ni maoni? Kumbe hujasikiliza au unajaribu kupindisha ukweli
 
.

Umewasahahu Imran Kombe, Romwald Makunda na Ramadhani Haji Faki (huyu huwa anasahaulika sana kwenye kumbukumbu lakini aliongoza brigade moja frontline).

Kuhusu askari wa msumbiji kweli sina uhakika labda ilifanywa siri sana sisi maprivate hatukuweza kuijua. Ila ninachouliza ni kuwa mbona hakuna hata medali moja ya kumbukumbu iliyotolewa kwa Msumbiji, na wala hakuna hata kaburi la kumbukumbu labda kama hawakufa, lakini angalau medali zingetolewa. Nina uhakika mkubwa sana waliokuwa frontline ilikuwa ni watanzania tu, ndani ya Brigade na division ambazo zilikuwa zinaongozwa na hao makamanda uliotaja. Wakati mwingine watu walikuwa wanatengeza taarifa kutokea mitaani tu. Inawezekana walitusaidia pesa za kununulia silaha au walitugawia sehemu fulani ya silaha ingawa nao walikuwa bado ni Taifa changa lenye umri wa miaka mitano tu.

Mkuu, bila shaka.

Marehemu Kombe alipokuwa uraiani alikuwa kama mtu wa kawaida sana.

Hata mzee Faki pia ila hawa mzee Makunda walikuwa wanaheshimika sana jeshini na hata baada ya kustaafu.

Ila mtu kama wewe unatakiwa utengeneze documentaries za kuwakumbusha vijana wa leo historia hii muhimu na pia kuwaelimisha wengine ambao hawaelewi hii madini.
 
What's your point? Umeulizia kuhusu Biafra, nikakwambia involvement ya Mwalimu haikuishia Bifra tu. Mbona unaona Biafra tu, vipi kuhusu Afrika Kusini, Zimbabwe na Mozambique nako ni ukatoliki ulikuwa unamsukuma?
Usisahau pia usheli sheli.
 
Soma hii

When Idi Amin, a Ugandan Muslim, became president in 1971, his presidency seemed to be a victory for Uganda's Muslim community. Then in 1972, Amin's expulsion of Asians from Uganda reduced the Muslim population significantly. As his administration deteriorated into a brutal and unsuccessful regime, Uganda's Muslims began to distance themselves from those in power.

After Amin's overthrow in 1979, Muslims became the victims of the backlash that was directed primarily against the Kakwa and Nubian ethnic groups who had supported Amin.
Yusuf Lule, who served a brief term as president from 1979 to 1980, was also a Muslim (and a Muganda). He was not a skillful politician, but he was successful in reducing the public stigma attached to Islam.

Source

Islam in Uganda - Wikipedia
Hiyo ya Lule kuwa Muslim siyo kweli; alikuwa muanglikana. Jamaa yule naye alikuwa na sifa nyingine ya ufuska sana ingawa hii inafichwa mno; ukitaka kujua zaidi kuhusu maisha ya Lule wasiliana na binti yake Liliane Waldner aliyezaliwa nje ya ndoa na mama wa kiswiss. Hata mke wake aliyefunga naye ndoa rasmi alikuwa ni mwanafunzi wake wakati yeye akiwa mwalimu na kuna sababu iliyopelekea wafunge ndoa officially kusudi isilete songombingo. Kuna vitu vingine havifai kuandikwa kuhusu watu waliokiwsha tangulia mbele ya haki kwa vile hawawezi kujitetea tena.
 
Hiyo ya Lule kuwa Muslim siyo kweli; alikuwa muanglikana. Jamaa yule naye alikuwa na sifa nyingine ya ufuska sana ingawa hii inafichwa mno; ukitaka kujua zaidi kuhusu maisha ya Lule wasiliana na binti yake Liliane Waldner aliyezaliwa nje ya ndoa na mama wa kiswiss. Hata mke wake aliyefunga naye ndoa rasmi alikuwa ni mwanafunzi wake wakati yeye akiwa mwalimu na kuna sababu iliyopelekea wafunge ndoa officially kusudi isilete songombingo. Kuna vitu vingine havifai kuandikwa kuhusu watu waliokiwsha tangulia mbele ya haki kwa vile hawawezi kujitetea tena.

Hizi hadithi zilikuja baada ya kuondoshwa madarakani na Nyerere? Walipomweka kiongozi hakuyafanya hayo,?

Give a dog bad name
 
Huyu jamaa school of thought yake naifahamu. Wao motivation wanayoiona ni dini tu.

Motivation gani nimeifanya zaidi ya kuwaonyesha vitabu vya kanisa vinavyothibitisha. Gavana si kiongozi wa kanisa aliyemsimika Nyerere na kuandika kitabu
 
Vita hiyo tulipoteza sana kuliko faida tuliyopata Watanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ilikuwa ni kinga kwa ajili ya gonjwa kubwa la ajabu ambalo lingekuja kutupata huko mbele, na ambalo tayari lilikuwa limeshaonyesha dalili zote. Kinga ni bora kuliko tiba. Hivi hujawahi kuiona picha ya Idd Amin akiongea live kuwa alikuwa na mpango wa kusafisha kuanzia Kagera mpaka Darislama? We acha tu
 
Ila wahaya ni wakuwaonea huruma sana, Ukimwi ulipoingia uliwafyeka sana wao na Vita ya Kagera iliwamaliza sana.... haiyumkini leo hii hili ndio lingekuwa kabila kubwa na lenye nguvu nchini hasa kwa idadi ya watu.... pia Mji wa Bukoba ungekuwa Jiji pengine.... Mungu awape nguvu wahaya na makabila yote wazawa wa Bukoba
Ongezea tena na tetemeko la Kagera juzi Septemba 10, 2016 lilimaliza watu na kuacha mitaro mikubwa kwenye ardhi! Sasa hivi tena ziwa Victoria limefurika na kumeza sehemu kubwa ya makazi ya watu wa Bukoba mjini. Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo awalinde sana hawa watu!
 
Huo mnaosema mchele wa Thailand ndio huo tuliokuwa tukiita Buluga? Wahenga nifahamisheni ili nami nichangie mada
Kumbe mzee na wewe kipindi hicho ulikuwa macho? Mjomba wangu mimi kipindi hicho alikuwa ansoma Bukoba Sekondari, Form II 1978. Walikuwa wanakimbia shule wanaenda kujificha kwenye migomba ya ndizi
 
Hizi hadithi zilikuja baada ya kuondoshwa madarakani na Nyerere? Walipomweka kiongozi hakuyafanya hayo,?

Give a dog bad name

Labda tuache kabisa habaria za maisha yake ya binafsi; ila ni kuwa alikuwa Anglican. Ili kuthibitisha dini yake ongea na binti yake Lilliane; haongei kiingereza vizuri lakini mawasiliano yanakwenda tu.
 
Tactician mkubwa wa JWTZ alikuwa ni Kanali Kitete (Siyo Lupogo) kabla hajawa Brigadier. Jamaa yule anajua kupanga vita siyo mchezo, sijui kama bado JWTZ leo hii ina tacticians kama yeye. Jamaa alichambua kuwa Amini alikuwa ameweka ulinzi mkubwa sana directly kwenye mpaka wa Tanzania (backed by heavily Mechanized Simba Batallion), ila hakuwa na ulinzi kule Magharibi kwa nsababu alikuwa na uhusiano mzuri sana na Mobutu wakati huo (mpaka leo Kampala kuna mtaa una jina la Mobutu liliowekwa na Amini). Kamanda akachambua ramani na kuweka mkakati uliomfuta Amin kwenye ramani kwa kutokea Magharibi ya Uganda.



Kwenye video hii hapa chini huwa napenda sana kile kipande kuanzia 1:04 hadi 1:34 kinachoonyesha makamanda wetu shujaa.


Sijamuona MTI MKAVU Mayunga hapa, alikuwa wapi siku hiyo? Na kwa nini walimwita mti mkavu?
 
Uongo huo;

Kwanza elewa kuwa Professor Lule aliwekwa pale na Nyerere akiamini kuwa atawaunganisha waganda. Failure kubwa ya Professor Lure (hakuwa na PhD) ni pale aliposhindwa kujiweka katika maisha ya waganda na kushindwa kutuliza matakwa ya upkeeping cost ya cabinet yake. Hapo ndipo alipotofautiana na Nyerere mpaka mwisho
Kweli Nyerere was for Afrika. Angekuwa mtu mwingine asingejali, watajijua wenyewe!
 
Labda tuache tabisa za maisha yake ya binafsi; ila ni kuwa alikuwa Anglican. Ila kuthibitisha dini yake ongea na binti yake Lilliane; haongei kiingereza vizuri lakini mawasiliano yanakwenda tu.
Thanks
 
Back
Top Bottom