Chama
Labda tu tuseme wazi kwamba ama huifahamu historia ya Vita Vya Kagera au nawe ni miongoni mwa watu ambao hawapo tayari kusema ukweli ikiwa wanahisi ukweli huo unauma au unaingilia maslahi yao. Hilo la pili si jambo jema hata kidogo kwa mustakabali wa Taifa linalohitaji ukombozi wa kweli! Kama tatizo ni hilo la kwanza (kwamba huifahamu historia ya vita ile) basi ningekushauri tafuta ukweli!
Kwa kuzingatia hapo kwenye RED, ni kweli Tanzania hapo ilikuwa katika POINT OF NO RETURN! Hata hivyo, hiyo Point of No Return tuliisababisha sisi wenyewe!! Ni bahati mzuri kwa Nyerere kwamba Amin hakuwa mzungumzaji mzuri kiasi cha kumfanya awe mwana-propaganda mahiri vinginevyo uchokochoko wa Nyerera ungedhihirika wazi! Madai kwamba mtu aende Bukoba akaseme huo unaouita upuuzi ni madai yasiyo na msingi na katu hayawezi kuondoa ukweli kwamba chokochoko tuliifanya wenyewe! Wana-Bukoba wana kila sababu ya kuwa hivyo kwavile hakuujua upande wa pili wa shilingi. Walichojuzwa wao ni ujeuri wa Amin na kwavile wameshuhudia majeshi yake yakiingia Bukoba kabla ya kwetu hayajaenda huko basi wana kila sababu ya kuamini kwamba Amin ndo chanzo cha yote! Kitu ambacho kilitokea kwa Nyerere na Ami ni sawa na yale yanayotokea kwenye dimba la kandanda! Unakuta mchezaji anampiga Dole makusudi mchezaji wa timu pinzani huku akiamini kwamba ni lazima mchezaji huyo atachukia na kurusha makonde na hatimae kuvuna kadi nyekundu!! Nyerere alimpiga Amin kidole cha kwenye makalio na kwa bahati mbaya Amin hakukubali kufanywa fa.ra na hivyo karudisha makonde!!
Kwa tunaopenda haki, ingawaje wengine mnatuita tuna chuki na Nyerere hapo tunafahamu kwamba tatizo ni huyo aliyempiga finger mwenzake....ni nani aliye rijali atakubali apigwe finger?!
Kwa vyovyote itakavyokuwa, Uwapo wa Idd Amini Madarakani Uganda kungeweka security interest za Tanzania Matatani, Kumuondoa ilikuwa maamuzi sahihi bila kujalisha kwamba alituchokoza au hakutuchokoza acheni kufikiria ndani ya box.
Idd Amini alikuwa na close relation na ghadafi, Mwalimu alikwisha kuona madhara ya kuwa close na Taifa lolote linalofungamana na utawala wa ghadafi, kuonyesha kwamba mwalimu alikuwa sahihi angalia madhara ambayo ghadafi ameyaacha africa sasa, Instability ya Mali na Algeria ni matokeo ya interest za ghadafi.
Katika kila taifa ambalo tunalizodoa leo kwamba halina amani na utulivu, matatizo kwenye mataifa hayo yanachangiwa kwa viwango vikubwa na mataifa jirani zao.
Angalia, Burundi, Rwanda, Uganga,Somalia,Sudani,Congo,Mali, kote uko, waasi wanajificha kwenye nchi jirani ama wanapata direct support kutoka nchi za jirani, angalia matatizo yanayoisumbua Nairobi sasa,source ni somalia.
Kama mmeamua kufikiri, ni lazima mfikiri kweli kweli, msisukumwe na hisia zenu ama kuchukua maelezo ya upande mmoja, na nikumbushe kwamba the great thinker as long as Tanzania is concerned is the one who think in the best interest of Tanzania, I do not settle for less than that.
Chuki dhidi ya Mwalimu zinajengwa juu ya dhana dhaifu sana, na yanapata support za watu wenye vichwa vidogo sana, Kwamba Mwalimu aliua watu, which president does not kill, Yes He killed so many people, hata sasa, for the best interest of responsible politics and economical stability of this country, so many people were supposed to have got silenced.
Just like they silenced Balali, Kolimba & CO. Kwa ajiri ya kulinda interest zenu.
Look at Kagame and his Burundi, unazijua siri za kutawalika kwa Burundi wewe. Poor Me. Only the stupid mind will blame the dead.