Kwa vyovyote itakavyokuwa, Uwapo wa Idd Amini Madarakani Uganda kungeweka security interest za Tanzania Matatani, Kumuondoa ilikuwa maamuzi sahihi bila kujalisha kwamba alituchokoza au hakutuchokoza acheni kufikiria ndani ya box.
Idd Amini alikuwa na close relation na ghadafi, Mwalimu alikwisha kuona madhara ya kuwa close na Taifa lolote linalofungamana na utawala wa ghadafi, kuonyesha kwamba mwalimu alikuwa sahihi angalia madhara ambayo ghadafi ameyaacha africa sasa, Instability ya Mali na Algeria ni matokeo ya interest za ghadafi.
Katika kila taifa ambalo tunalizodoa leo kwamba halina amani na utulivu, matatizo kwenye mataifa hayo yanachangiwa kwa viwango vikubwa na mataifa jirani zao.
Angalia, Burundi, Rwanda, Uganga,Somalia,Sudani,Congo,Mali, kote uko, waasi wanajificha kwenye nchi jirani ama wanapata direct support kutoka nchi za jirani, angalia matatizo yanayoisumbua Nairobi sasa,source ni somalia.
Kama mmeamua kufikiri, ni lazima mfikiri kweli kweli, msisukumwe na hisia zenu ama kuchukua maelezo ya upande mmoja, na nikumbushe kwamba the great thinker as long as Tanzania is concerned is the one who think in the best interest of Tanzania, I do not settle for less than that.
Chuki dhidi ya Mwalimu zinajengwa juu ya dhana dhaifu sana, na yanapata support za watu wenye vichwa vidogo sana, Kwamba Mwalimu aliua watu, which president does not kill, Yes He killed so many people, hata sasa, for the best interest of responsible politics and economical stability of this country, so many people were supposed to have got silenced.
Just like they silenced Balali, Kolimba & CO. Kwa ajiri ya kulinda interest zenu.
Look at Kagame and his Burundi, unazijua siri za kutawalika kwa Burundi wewe. Poor Me. Only the stupid mind will blame the dead.