Vita vya Kagera: Nini chanzo? Kulikuwa na ulazima?

Vita vya Kagera: Nini chanzo? Kulikuwa na ulazima?

NazDaz,
Let me be a bit provocative here. Siwezi kuingia kwenye fikra za Julius Nyerere lakini naamini kuwa hakumwona Obote na Waganda waliokimbilia Tanzania kama wakimbizi (refugees) ila freedom fighters. Nyerere detested Amin, that is no secret and if he could, he would have got rid of him. Nyerere dested military coups in all its forms, kwa hiyo asingeweza kutumia diplomatic means to deal with Amin kwa sababu hiyo ingekuwa na maana kwamba amemkubali Amin. Museveni was able to go to Mozambique to get military training and back to Tanzania. Of course maafisa wetu wa usalama walijua. Ilifika wakati Amin alimkamata Kambona Uganda na kutaka wabadilishane na Obote. Nyerere would not have any of that. Ilifika wakati Amin alipanga njama ku "hijack" ndege alimokuwa anasafiri Nyerere kutoka mkutano wa Commonwealth. Vijana wetu got wind of it, wakaenda London, na siku ndege inaondoka (ilikuwa ni ya EAA) wakatangaza kuwa ndege haitatua Entebbe na wasafiri wote wa Uganda washuke. Walipofika Dar-es-salaam, Nyerere akamuuliza kijana mmoja wa usalama "mbona hatukutua Entebbe?" Na kabla hajamjibu akamwambia huyo afisa, "mmefanya kazi nzuri vijana," which means he already new. That was the atmosphere between us and Uganda, kusingeweza kufanyika maridhiano ya kidiplomasia.

Jasusi,
am afraid that u've missed my ground! Ni kweli kabisa kwa maelezo yako kwamba isingewezekana kwa Nyerere kufanya diplomasia na Amin...u're very right!!! Hata hivyo, hayo unayosema wewe kwamba yasingewezekana yalikuwa kwenye state ambayo tayari Tanzania tulikuwa in intense conflict with Amin. Hiyo conflict ni outcome ya yale ambayo wenyewe tuliyafanya na kubwa kuliko yote kufadhili harakati za kijeshi za Obote na watu wake kwa lengo la kurudi kumpindua Amin. Hilo jambo ndilo ninmalosema mimi kwamba halikubaliki....na kama linakubalika basi Amin alikuwa na haki za kutangaza mgogoro na Nyerere kwavile alikuwa anahatarisha mamlaka yake; yawe mabaya au mazuri; hiyo si hoja!! Hata wewe kama ungekuwa ndie Amin usingekaa kimya hata baada ya kuona jirani yako anafadhili harakati za kukuondoa madarakani!! Hata kama kungekuwa na kikosi cha watanzania, say in Kenya halafu Kenyatta akawa anafadhili harakati za kijeshi za kikosi hicho kwa nia ya kutaka kuja kumpindua Nyerere; hapo Nyerere asingekubali na angetangaza tu vita dhidi ya Kenyatta....hiyo ndio Rule of Thumb in Power struggle duniani kote!! Ikiwa watu hawapo tayari kupokwa madaraka kwenye uongozi wa kiroho itakuwa huu wa kidunia?!

Kuhusu hilo la Nyerere kuwachukulia akina Obote kama Freedom Fighters bado halimwondolei Amin haki na wajibu wa kutetea madaraka yake na kumuona adui mtu yeyote anayefadhili hao FREEDOM FIGHTERS! Hata hivyo si kwamba nakubaliana na hoja ya kuwaona Obote ni Freedom Fighters, la hasha! Labda wale ambao waliikimbia Uganda baadae na sio wale ambao mara tu baada ya Obote kupinduliwa wakaanzisha harakati za ,kumwondoa Amin madarakani....hawa walikuwa wana-fight for the lost power.
 
Wewe ni mjinga tu.tatiZo lako ufanyi jitihada ya kuushughulisha ubongo
wako kufikiri na unataka watu wafikirie kwa niaba yako.sio Siri unapost vita visivyo na mahana.tatizo ni makuzi,na Neil maana kila mtu anakuhusisha na utumbo wa baba yako.like father like son,ulipoaanza kukufuru azimio la arusha niligundua hunan uzalendo hata kidogo na wew ni mchumia tumbo Kama baba yako.sorry kwa wote watakao niona nimekuwa very personal ila mi nahisi huyu jamaa matatizo si yake ila ni makuzi
t
 
........ Obote kwanza alikimbilia Kenya, Waingereza wakamwambia Kenyatta asimpe makao. Ndipo alipokimbilia Tanzania.
Sasa NazDaz, katika hali kama hii, ungekuwa wewe Nyerere ungefanya nini?

Jasusi, bado kauli yangu ni ile ile...sina tatizo hata kidogo kwa Mwalimu kumpokea Obote pamoja na supporters wake.
 
Jasusi, bado kauli yangu ni ile ile...sina tatizo hata kidogo kwa Mwalimu kumpokea Obote pamoja na supporters wake.
DasNaz,
You are missing another major point. Legitimacy ya utawala wa Idi Amin. Nyerere hakuitambua legitimacy hiyo. Unaweza kusema that was the problem. Nyerere could not and would not recognize Amin's legitimacy.
 
- Wakuu JF heshima mbele sana, naomba kuuliza tena hivi kulikuwa ana ulazima wa kupiagana Vita na Idd Amin mpaka kumuondoa kwenye madaraka nchini mwake? Yeye alivunja sheria za kimataifa kwa kutuingilia ndani ya mipaka yetu, je na sisi kwa kuvuka mipaka yake pia mbona kama tulijivua nguo kama yeye, yaani tukawa two wrongs!

- I mean kumuondoa tu kwenye ardhi yetu ndio sheria za kimataifa zinavyosema, lakini kwenda mpaka kumuondoa kwenye uongozi wa Taifa lake mbona kama we went too far, na historia ikaishia kutusuta maana tukamuweka Obote, akaishia kuondolewa tena na mwingine, au Great Thinkers mnasema je?

- Na wale mabingwa wa Conspiracy Theories karibuni sana!!



William.

Nyerere ali-frustrate ndoto za your dad kuwa rais wa TZ na ikawa hivyo na kamwe your dad hatakuwa rais wa TZ nawe unajua hivyo! Hizo chuki zako ni too late to be considered! Nyerere fukked ur dad's ambitions and ur dad was/is really fukked! and unfortunately u r fukked too!
 
NasDaz. Unaposema Idi Amin "hakuonesha uchokozi wa wazi" unamaanisha nini? Ultaka afanye nini kujua kweli katuchokoza? Kwa mfano angeshambulia kwa mabomu baadhi ya miji au kunyanyasa wananchi wetu na kuwaua ndio tujue katuchokoza? Au angeshambukia Dar na kuua wakazi wa Magomeni na Gerezani ndio tungejua kachokoza?

Maana yangu ni kwamba, Amin alikuwa hajatenda serious crime ya kumwahalalishia Nyerere kufadhili vikundi vilivyolenga kumpindua Amin. Kumtoa mtu madarakani sio suala dogo ambalo kamwe haliwezi kuhalalishwa na kutokana tu na kauli za mdomoni ambazo wakati mwingine zinakuwa ni za kiuendawazimu tu. Mzee Mwanakijiji, sina shaka wewe ni mwelewa mkubwa wa haya mambo......hebu niambie, kabla ya jaribio wa wapinzani wa Amin kuvuka mipaka ya Tanzania na kuingia Uganda kwa lengo la kwenda kumpindua Amin, hapo kabla Amin alikuwa amefanya nini serious dhidi ya Tanzania hata Nyerereachukue uamuzi wa kufadhili wapinzani wa Uganda?! Ukikosa jibu, basi ndio jibu la maana ya hilo swali ulilonihoji!
 
Fikra zangu zilikuwa Kama za w malecela wakati niko form .2 ila baada ya kusoma sana na kutafakari kwa kina nikagundua Nyerere alikuws sahihi katika jambo hili.tumvumilie huyu malecela kwani akili zake bado ni za form 2
O
 
- Wakuu JF heshima mbele sana, naomba kuuliza tena hivi kulikuwa ana ulazima wa kupiagana Vita na Idd Amin mpaka kumuondoa kwenye madaraka nchini mwake? Yeye alivunja sheria za kimataifa kwa kutuingilia ndani ya mipaka yetu, je na sisi kwa kuvuka mipaka yake pia mbona kama tulijivua nguo kama yeye, yaani tukawa two wrongs!

- I mean kumuondoa tu kwenye ardhi yetu ndio sheria za kimataifa zinavyosema, lakini kwenda mpaka kumuondoa kwenye uongozi wa Taifa lake mbona kama we went too far, na historia ikaishia kutusuta maana tukamuweka Obote, akaishia kuondolewa tena na mwingine, au Great Thinkers mnasema je?

- Na wale mabingwa wa Conspiracy Theories karibuni sana!!



William.
Unathubutu kusema mwanzilishi wa chama chako alikosea?Tena kumtoa mtu aliyekuwa anatumiwa na mataifa ya kiarabu?AU HATA WAKRISTO WANAVYOTESEKA ZNZ UNAFURAHIA,utakuwa unasema si waondoke tu waache
 
... ktk nchi ya wajinga kama yetu, sitashangaa siku moja bwana Willy Malecela akiwa kiongozi wetu ktk ngazi yeyote (mbunge, diwani, mkuu wa wilaya, n.k) na hili litakapotimia litakuwa ni ushuhuda kwamba bado tuna safari ndefu ya kuondokana na umaskini wa kipato na kifikra.

Huyu mtu angeweza kutudanganya kama angekuwa bado yuko New York City-kabla hajaja na kugombea ubunge wa EA na kulazimika kuongea redio uhuru. Hapo ndipo wengine tulipojua mwenzetu ni mweupe! Ya bungeni dodoma yalikuwa ni replay tu. Huyu mtu hawezi na yeye mwenyewe anajua hawezi, lakini ya Mungu mengi utashangaa anakuwa kiongozi wetu.

Hili la Nyerere sio bahati mbaya, "watu wadogo" wanaamini kwamba wakiwakejeli, wakiwatukana, wakiwadharau na kuwakana watu mashuhuri (the greatest) waliowahi kupitia siasa za Tanzania, basi na wao watakuwa angalau maarufu au mashuhuri. Ni mkakati wa kutafuta cheo na maslahi ya kisiasa maana wakati huu ukiweza kupita barabarani na picha ya mwalimu ukiitukana au kuichoma moto utaonekana mjanja! Ingawa amefariki, mwalimu ni yardstick. Sasa usishangae watu wanaiba/haribu yardstick, wanataka mshindwe kupima na hivyo kujua siri iliyo wazi kwamba hawawezi kazi tuliyowapa!!

Sikiliza hotuba za mwalimu miaka ya 60-kipindi ambacho alikuwa rika la WIlly halafu linganisha na mahojiano ya Willy redio Uhuru na baadaye hotuba yake bungeni wakati anaomba kura za EA! Utagundua mmoja ana fikra na maono mwingine hata hoja hana, achilia mbali fikra.
 
aliona raha kumweka yule mkatoliki mlevi pale dar-es salaam akamsaidia kupata askari wa kwenda kufanya hujuma kule kampala , unafikiri amin atafurahia yale .

Angaliwacha waganda wakasolve matatizo yao kwani imngalikuwa nini ??? Si angaliwanasuru kule bukoba na uvamizi??

KAMA ANAVYOSEMA MWENYEWE, "ukianza kula nyama ya mtu huwezi kuiwacha tena "

baada ya kula nyama za watu kule zanzibar akakimbilia uganda

na alipomaliza huko alishaanza vurugu na kenya kumbuka mambo ya unyang`au

pia alijaribu huko nyuma na malawi lakini kulikuwa kugumu

huyo ndiye mkatoliki nyerere

Kama suala lilikuwa udini Mwl. Nyerere asingehatarisha maisha ya mamia ya wakatoliki kwa sababu ya mkatoliki mmoja; akili yako imefinyangwa na dhana za udini ndio sababu umekuwa mfinyu wa mawazo.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Maana yangu ni kwamba, Amin alikuwa hajatenda serious crime ya kumwahalalishia Nyerere kufadhili vikundi vilivyolenga kumpindua Amin. Kumtoa mtu madarakani sio suala dogo ambalo kamwe haliwezi kuhalalishwa na kutokana tu na kauli za mdomoni ambazo wakati mwingine zinakuwa ni za kiuendawazimu tu. Mzee Mwanakijiji, sina shaka wewe ni mwelewa mkubwa wa haya mambo......hebu niambie, kabla ya jaribio wa wapinzani wa Amin kuvuka mipaka ya Tanzania na kuingia Uganda kwa lengo la kwenda kumpindua Amin, hapo kabla Amin alikuwa amefanya nini serious dhidi ya Tanzania hata Nyerereachukue uamuzi wa kufadhili wapinzani wa Uganda?! Ukikosa jibu, basi ndio jibu la maana ya hilo swali ulilonihoji!

NasDaz;
Nadhani upeo wa kuelewa siasa bado una walakini kidogo; Tanzania ni nchi huru na tuna haki ya kuamua jambo lolote ili mradi hatuvunji sheria za kimataifa; hivyo suala la Mwl. Nyerere kumpa hifadhi Obote lilikuwa ni sawa labda unieleze tulivunja kipengele gani cha sheria za kimataifa; ikiwa Mwl. Nyerere alikushangaza sana kumpa hifadhi Obote labda nikuulize Ferdinand Marcos na Shah wa Iran walipopinduliwa walipewa hifadhi Marekani je marekani walifanya kosa kutoa hifadhi kwa watawala hao? Alichofanya Mwl. si kigeni kwenye siasa.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Maana yangu ni kwamba, Amin alikuwa hajatenda serious crime ya kumwahalalishia Nyerere kufadhili vikundi vilivyolenga kumpindua Amin. Kumtoa mtu madarakani sio suala dogo ambalo kamwe haliwezi kuhalalishwa na kutokana tu na kauli za mdomoni ambazo wakati mwingine zinakuwa ni za kiuendawazimu tu. Mzee Mwanakijiji, sina shaka wewe ni mwelewa mkubwa wa haya mambo......hebu niambie, kabla ya jaribio wa wapinzani wa Amin kuvuka mipaka ya Tanzania na kuingia Uganda kwa lengo la kwenda kumpindua Amin, hapo kabla Amin alikuwa amefanya nini serious dhidi ya Tanzania hata Nyerereachukue uamuzi wa kufadhili wapinzani wa Uganda?! Ukikosa jibu, basi ndio jibu la maana ya hilo swali ulilonihoji!

sasa hapa naona unarudia kusema ulichosema bila kusema chochote. Unaposema "serious crime" una maanisha kama kitu gani? NIpe japo mfano mmoja tu wa kitu ambacho unaki-concider "serious crime" ambayo ingehalalisha Amin kuondolewa madarakani kwa vita.

Nadhani watu wengi hawajachukua hata muda kusoma historia ya vita ya Uganda kutoka kwa macho ya mtu mwingine. Vita ya Uganda imeandikwa na kufanyiwa utafiti na wanasheria na wasomi mbalimbali kwani kwa kiasi kikubwa inafanana sana na vita ya kwanza ya Iraq kuiondoa Kuwait. Napendekeza usome utafiti huu unaohoji kwa kisomi zaidi kama TAnzania ilipigana a "just war" au vipi. BONYEZA HAPA KUJISOMEA
 
NazDaz,
Truth be told, Mwalimu hakutaka kumrudisha Obote mamlakani. Baada ya Waganda kualikwa kwenye ule mkutano wa Moshi, akina Museveni walituma ujumbe kuwa Obote will be a destabilizing force kwenye mkutano huo na wakamwomba Mwalimu amwombe Obote asihudhirie. Kama una kumbukumbu, Obote hakuhudhuria kwenye ule mkutano lakini aliwakilishwa na Paul Muwanga. Sasa kitu ambacho kilimuudhi Mwalimu, alimwomba Lule, wakati huo akiwa rais, amrudishie Obote nyumba yake kule kwao ambayo serikali ya Amin ilikuwa imeichukua, Lule akakataa kuwa hawezi kumruhusu Obote arudi Uganda. Mwalimu alitaka Obote arejee Uganda as a former president, wampe retirement package yake na nyumba ili aondoke Tanzania kwa sababu isingeeleweka kwamba Waganda wamerudi kwao lakini Obote amebaki Tanzania. Lakini Waganda wangejipanga vizuri, Obote angerudi kama former President na mambo kwisha.


- Duh!!

William.
 
William, inaonekana una ajenda zako binafsi dhidi ya Baba wa taifa nazo ni kwa nini alimdhibiti vilivyo baba yako na pili ni ajenda ya kidini. Hivyo basi naomba nikuambie tu kwamba propaganda zote chafu dhidi ya Baba wa taifa kamwe hazina nafasi na hazitafanikiwa. Kwa ushauri tu nakusihi ujikite katika mambo ambayo ni relevant na yenye maslahi kwa jamii yote ya kitanzania.[ Mnyisanzu 02.06.2012].

- Duh!! ndio maana mwanzoni mwa mada nilikaribisha Conspiracy Theorists, maana nilijua kuwa wapo!!! ha! ha! ha!


William.
 
Wanabodi naona mnahangaika kumjibu W J Malecela wakati tunajua familia yake Ina chuki na Nyerere kutokana na kuwaekea kauzibe wakati baba yake alipokuwa anataka kugombea urais. Wiliam ni mvuvi sasa siasa na yeye ni wapi na wapi?

- Naona huwa ninakutesa sana na hoja zangu, I like that maana jinsi unavyohangaika na hii thread mpaka inaleta rahaaa sana! ha! ha! you are all over the place mimi nakuanglia tu! ha! ha! ha!

William.
 
Back
Top Bottom