MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Kuwapa sehemu ya nchi ndo safari ya kuitaka nchi yote kama Israel na Palestina.Somalia sababu zao za kudundana ziko wazi kuliko hata huko DRC.
Somalia ni issue ya dini . Yaani radical against poapoa.
Kongo hawana sababu ya maana.
Rais wa Kongo alishindwa kukaa na m23 awape sehemu ya ardhi wanayoitaka mambo yaishe