Vita vya kudumu Somalia sijawahi kuvielewa sababu zake, ni kama walikuwa wamechanganyikiwa

Vita vya kudumu Somalia sijawahi kuvielewa sababu zake, ni kama walikuwa wamechanganyikiwa

Kwa hiyo Illuminati na Freemasons wana nguvu kuliko Allah??
Allah alitupa uwezo binadam na majini wa kufikiri wenyewe na kuamuwa.
.Mpaka sasa Uislam unashinda, tunaona makumdi na makundi ya hao hao Wamagharibi wakifunguka bongo zao kuujuwa na kuukumbatia ukweli.

Wewe bado bongolala?
 
Umpe jambazi anachokitaka? Na kesho akija jambazi mwingine? Unafanyaje? Kweli JF wehu wanaongezeka aisee
Yan kuna watu wajinga sana umpe jambaz Kipande cha ardhi atatokea mwingine mbabe zaid anataka kikubwa na mwingine mwishowe apo hamna taifa
 
We mbona muongo muongo sana!?..unajua kilichowakuta wamarekani walipopeleka jeshi hapo,walipeleka jeshi kufuata nini!?..unaujua umoja wa mahakama za kiislam hapo Somalia na mafanikio yao na nchi kutulia,kwa nini marekani na uingereza waliwapiga na hapajatulia mpaka leo?..jana Trump kajisifu kaua alshabaab,kinampeleka nini hapo?
Alshababu inasapotiwa kifedha na kisilaha na Qatar.

Trump hajaua Alshababu kaua ISIS wanaosapotiwa na Waarabu.
 
Wanapigana sababu ya koo. Sio makabila maana ni kama wanafanana, tofauti ndogo ya clans zao inafanya huyu asikubali kuwa chini ya yule bora waharibikiwe wote.

Visirani na visasi ni jadi yao. Ukichanganya na Allahu akbar ndio kabisa mambo yanaharibika zaidi.
Ila kweli aiseeh Mimi mke wa kwanza wa baba angu ni msomali aiseeh anaipenda ugomvi anaipenda uchawi anaipenda visasi ametusambaratisha balaa nadhani wasomali si watu Waziri kabisaaa
 
Yan kuna watu wajinga sana umpe jambaz Kipande cha ardhi atatokea mwingine mbabe zaid anataka kikubwa na mwingine mwishowe apo hamna taifa
Mbona Pakistan ilijitenga kutoka India na Bangladesh ikajitenga kutoka Pakistan??
 
Mbona Pakistan ilijitenga kutoka India na Bangladesh ikajitenga kutoka Pakistan??
Ishu n tofaut Rwanda ikimega Kipande cha ardhi Congo badae tena itamega Tanzania na Burundi
 
Ishu n tofaut Rwanda ikimega Kipande cha ardhi Congo badae tena itamega Tanzania na Burundi
Kuna raia wenye asili ya Banyarwanda wanaolalamika kubaguliwa kikabila Tanzania? Kuna malalamiko ya Rwanda kwamba kuna FDLR Tanzania?
 
Kuna raia wenye asili ya Banayarwanda wanaolalamika kubaguliwa kikabila Tanzania? Kuna malalamiko ya Rwanda kwamba kuna FDLR Tanzania?
Wew itakuwa tutsi hujibu hoja na huna hoja ya msingi inamana wamasai wa kenya wakibagulia Kenya Tanzania tunatakiwa tuingize Jeshi Kenya
 
Alshababu inasapotiwa kifedha na kisilaha na Qatar.

Trump hajaua Alshababu kaua ISIS wanaosapotiwa na Waarabu.
Alshabaab ilizaliwa baada ya kifo cha union of islamic courts, islamic courts iliondolewa na USA na UK
 
Alshabaab ilizaliwa baada ya kifo cha union of islamic courts, islamic courts iliondolewa na USA na UK
Alshabaab hawana uhusiano wowote na Islamic Courts Islamic Courts hawakuwa Magaidi walikuwa wanasema kutokana na Chaos Somalia basi wao wawe wanatumia mild form of Sharia ili kutoa justice kwa raia wa chini.

Lakini Alshabaab wanataka kuishika Somalia kwa nguvu halafu ndio iwe platform ya kusambaza Idiolojia ya siasa kali za Waarabu katika East Africa na hatimae Southern Africa na the Congo.
 
Alshabaab hawana uhusiano wowote na Islamic Courts Islamic Courts hawakuwa Magaidi walikuwa wanasema kutokana na Chaos Somalia basi wao wawe wanatumia mild form of Sharia ili kutoa justice kwa raia wa chini.

Lakini Alshabaab wanataka kuishika Somalia kwa nguvu halafu ndio iwe platform ya kusambaza Idiolojia ya siasa kali za Waarabu katika East Africa na hatimae Southern Africa na the Congo.
Soma uelewe, marekani waliibomoa islamic courts wakaleta alshabaab,Ili Somalia paendelee kutotulia, islamic courts waliituliza Somalia
 
Somalia na Sudan mpaka Leo vita huko hakuiishi tu
 
Soma uelewe, marekani waliibomoa islamic courts wakaleta alshabaab,Ili Somalia paendelee kutotulia, islamic courts waliituliza Somalia
Kwa nini Marekani hawataki Somalia Itulie?
 
Saudia,qtar,oman, UAE,turkey, Mashetani wakubwa hawa

Uislam ni tishio na adui mkubwa wa mashetani.

Hakuna nchi yenye Waislam wengi itawachwa iji5awale salama na fitna za kishetani za illuminati na free masons.

Ukiona nchi ya Waoslam haiingiliwi nq matatizo elewa kuwa hao wanaotawala ni mapandikizi ya kishetani na ni Waislam jina tu.
 
Back
Top Bottom