Vita vya kudumu Somalia sijawahi kuvielewa sababu zake, ni kama walikuwa wamechanganyikiwa

Wew itakuwa tutsi hujibu hoja na huna hoja ya msingi inamana wamasai wa kenya wakibagulia Kenya Tanzania tunatakiwa tuingize Jeshi Kenya
Unajua mojawapo ya sababu Russia ilizozitoa kuvama Ukraine??
 
Djibouti ana Military base ya Marekani kubwa kuliko zote kwa Africa.

Nchi imetekwa kila kona wanajeshi wa Marekani
 
Cha ajabu Somaliland waliojitenga wako vizuri kabisa! Sijui Mogadishu wana matatizo gani?
 
Somalia sababu zao za kudundana ziko wazi kuliko hata huko DRC.
Somalia ni issue ya dini . Yaani radical against poapoa.
Kongo hawana sababu ya maana.
Rais wa Kongo alishindwa kukaa na m23 awape sehemu ya ardhi wanayoitaka mambo yaishe
Eti awape ardhi, ardhi siyo mkate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…