The Loyalty King
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 1,298
- 2,124
Ngoja tuone mambo yanavyo kwenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani anapigana na watu wake pekee yake mkuu!?Usisahau wakati huo ukrein na mataifa zaid ya 15 yalikuwa ndani yake. Kwasasa anapigana na watu wake chief.
Mdomo mchafu kiaje man!?Unamdomo mchafu kama nyuma ya nyani man
Yaani Russia kwa anavyochezeshwa na Ukraine ndo useme ni bingwa wa vita?
Hiv unajua karibu nusu ya waukrein ni warusi na karibu mataifa 15 yaliyojimega so wakati urusi anapigana wakati huo mataifa yote yalikuwa ndan yake so Russia anapigana na waukrein ambao kimsingi ni jamii moja inayojuana vizuri. Kuliko westernersNani anapigana na watu wake pekee yake mkuu!?
Kwa wauza silaha, vita ni michezo kama michezo mingine. Wanacheza wenye ubavu unaokaribiana, kila mtu akipigania malengo yake yenye maslahi makubwa.... JIONI YA LEO WAMERUSHA MAKOMBOLA YA MASAFA MAREFU YA UINGEREZA NDANI YA RUSSIA!
Good analysisKwa wauza silaha, vita ni michezo kama michezo mingine. Wanacheza wenye ubavu unaokaribiana, kila mtu akipigania malengo yake yenye maslahi makubwa.
Mpambano ni baina ya US + NATO Vs Russia ( hasimu wao wa muda mrefu) uwanja ukiwa ardhi ya Ukrein
Hilo la kutumia masafaa marefu lolionekana mapema, USA amefanya substitution kuweka mshambuliaji anayemuamini zaidi ili angalau aona matokeo yatakuwaje. Kila mara anapofanya sub anaambulia hasara.
Ni kisingizio tu cha zelensky pamoja na kupewa na bado hata shida sijui baada ya hapo atadai sababu ya kushindwa ni ipi tenaBiden kawacheleweshewa sana Ukraine hizo silaha kutumika
Zelensky hajawahi kushindwa, adui alishafika ndani kafanikiwa kumtoa nje sasa wanapambana mipakani huko na Kurks eneo la urusi mpakani inadhibitiwa na jeshi la UkraineNi kisingizio tu cha zelensky pamoja na kupewa na bado hata shida sijui baada ya hapo atadai sababu ya kushindwa ni ipi tena
Kumbe Donbas region ni mipakani siyo majimbo manne ya Ukraine sawa na nchi ya Belgium acha kutufanya mafalaZelensky hajawahi kushindwa, adui alishafika ndani kafanikiwa kumtoa nje sasa wanapambana mipakani huko na Kurks eneo la urusi mpakani inadhibitiwa na jeshi la Ukraine
Ni kweli kabisa.Biden kawacheleweshewa sana Ukraine hizo silaha kutumika
Russia ya zamani sio hii ya kusumbuliwa na UkraineUsiwe unaropoka man,dunia hii RUSSIA KIVITA NI WAR MACHINE.
Dunia hii taifa lililozoea vita na lenye experience ya vita ni Russia.
Zungumza vyote ila kivita hakuna taifa sio hata hiyo USA yenyewe inaweza kupambana na Russia.
Uliza Korea war USA alikumbana na nini Russia ilipoamua kuisaidia North Korea pamoja na China.
Inasumbuliwa na Ukraine je nyuma ya Ukraine Kuna nani!?Russia ya zamani sio hii ya kusumbuliwa na Ukraine
Sasa ukisikia kuna vita Ukraine mawazo yako unafkiri vinapigwa wapi eneo gani? maeneo ndio hayo ya Donbas russia amechukua maeneo partially vita inaendelea sasa kama urusi ana majimbo 4 na ametangaza utawala wake na sheria zake kwenye hayo majimbo vita iko wapi? jiongezee na nenda kaangalie ramani hayo ni maeneo ya mpakani mkuuKumbe Donbas region ni mipakani siyo majimbo manne ya Ukraine sawa na nchi ya Belgium acha kutufanya mafala
Uongo!Ni vizuri kuendelea kuiheshimu USA na kuipa hadhi yake mkaacha kabisa kuifananisha na vitaifa kama vya Ulaya na ama Ukraine ambayo inaisumbua Russia
Tuandikeni kwa tahadhari wakuu huku tukijua kuwa, jimbo moja tu hapo USA, GDP yake ni sawa na Russia yote!
Wakati USA ikipigana na Vietnam GDP yake ilikuwa ndogo kuliko ya Vietnam?Ni vizuri kuendelea kuiheshimu USA na kuipa hadhi yake mkaacha kabisa kuifananisha na vitaifa kama vya Ulaya na ama Ukraine ambayo inaisumbua Russia
Tuandikeni kwa tahadhari wakuu huku tukijua kuwa, jimbo moja tu hapo USA, GDP yake ni sawa na Russia yote!