5523
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,275
- 2,410
Ata wewe hukuleta chanzo chochote badala yake ni porojo tuHizo mambo za Urusi kukodi askari sio zote ni za kweli.
Uwe na akili yenye kuchuja habari sio tu kumeza habari zisizo na uhakika.
North Korea askari hawajakodiwa bali ni makubaliano ya kijeshi yaliyoingiwa baina ya Russia na North Korea.
Kitu ulichokisahau ni kuwa Urusi bado ina active personnel wengi sana.
Yote iliyofanya ni KUZUIA vifo vingi vya active personnel wake jeshini.
Jeshi la Ukraine liko DISMANTLED na hakuna asiyejua humu ndani.
Narudia tena USITUONGOPEE RUSSIA HAIJAWAHI KULALAMIKA NA KUPIGA KELELE IACHIWE HAYO MAENEO.
BALI ILILETA MASHARTI KUWA UKRAINE IKITAKA AMANI BASI IFAHAMU KUWA MAJIMBO YALIYOCHUKULIWA NA URUSI NI YA URUSI.
Usitake kutudanganya hapa.
Hivi unajua kama Hadi Sasa Russia imeshaongeza asilimia zaidi ya 5% katika ardhi zinazonyakuliwa!?
Au unajisahaulisha kuwa Urusi inasonga mbele viunga vya Donbas kila leo!?
Au unataka tukuletee ripoti ya Urusi kusonga mbele zaidi huko Ukraine!??
Hata kama ni ushabiki maandazi sio wa kiasi chako aisee wee ni too much.
russia imeingia hayo makubaliano ba north korea baada ya sasa kubakiwa na jeshi lake la akiba tu, wanajesh wengi wa urusi wameshauliwa, wafungwa na hata hao raia aliopeleka na kuwapa mikataba kw nguv waende vitani
kumbuka russia ilipoivamia ukraine tayari urusi walishafanikiwa kuchuku eneo la ardhi la ukraine lenye ukubwa nchi ya Newserland adui akatolewa kyev na kusukumwa huko mpakani
maeneo aliyochukua russia ni partially sio full ndio mana vita ina mwaka wa 3 inaendelea ukraine kurejesha maeneo yao
Lakini mafanikio zaid kwa ukraine ni kuweza kumtoa adui ndani na sasa unaskia huko Kurks eneo la ardhi la russia lishamegwa ni ukraine na askari aliokodi north korea ni kwa ajili ya kuisaidia urusi irudishe hilo eneo lake ambalo jamaa wanasonga mbele tu kuelekea moscow