Vita vya Matumizi ya Silaha za masafa Marefu sasa vita imeanza Rasmi!!

Vita vya Matumizi ya Silaha za masafa Marefu sasa vita imeanza Rasmi!!

Hizo mambo za Urusi kukodi askari sio zote ni za kweli.
Uwe na akili yenye kuchuja habari sio tu kumeza habari zisizo na uhakika.
North Korea askari hawajakodiwa bali ni makubaliano ya kijeshi yaliyoingiwa baina ya Russia na North Korea.
Kitu ulichokisahau ni kuwa Urusi bado ina active personnel wengi sana.
Yote iliyofanya ni KUZUIA vifo vingi vya active personnel wake jeshini.
Jeshi la Ukraine liko DISMANTLED na hakuna asiyejua humu ndani.
Narudia tena USITUONGOPEE RUSSIA HAIJAWAHI KULALAMIKA NA KUPIGA KELELE IACHIWE HAYO MAENEO.
BALI ILILETA MASHARTI KUWA UKRAINE IKITAKA AMANI BASI IFAHAMU KUWA MAJIMBO YALIYOCHUKULIWA NA URUSI NI YA URUSI.
Usitake kutudanganya hapa.

Hivi unajua kama Hadi Sasa Russia imeshaongeza asilimia zaidi ya 5% katika ardhi zinazonyakuliwa!?
Au unajisahaulisha kuwa Urusi inasonga mbele viunga vya Donbas kila leo!?
Au unataka tukuletee ripoti ya Urusi kusonga mbele zaidi huko Ukraine!??

Hata kama ni ushabiki maandazi sio wa kiasi chako aisee wee ni too much.
Ata wewe hukuleta chanzo chochote badala yake ni porojo tu

russia imeingia hayo makubaliano ba north korea baada ya sasa kubakiwa na jeshi lake la akiba tu, wanajesh wengi wa urusi wameshauliwa, wafungwa na hata hao raia aliopeleka na kuwapa mikataba kw nguv waende vitani

kumbuka russia ilipoivamia ukraine tayari urusi walishafanikiwa kuchuku eneo la ardhi la ukraine lenye ukubwa nchi ya Newserland adui akatolewa kyev na kusukumwa huko mpakani

maeneo aliyochukua russia ni partially sio full ndio mana vita ina mwaka wa 3 inaendelea ukraine kurejesha maeneo yao

Lakini mafanikio zaid kwa ukraine ni kuweza kumtoa adui ndani na sasa unaskia huko Kurks eneo la ardhi la russia lishamegwa ni ukraine na askari aliokodi north korea ni kwa ajili ya kuisaidia urusi irudishe hilo eneo lake ambalo jamaa wanasonga mbele tu kuelekea moscow
 
Ata wewe hukuleta chanzo chochote badala yake ni porojo tu

russia imeingia hayo makubaliano ba north korea baada ya sasa kubakiwa na jeshi lake la akiba tu, wanajesh wengi wa urusi wameshauliwa, wafungwa na hata hao raia aliopeleka na kuwapa mikataba kw nguv waende vitani

kumbuka russia ilipoivamia ukraine tayari urusi walishafanikiwa kuchuku eneo la ardhi la ukraine lenye ukubwa nchi ya Newserland adui akatolewa kyev na kusukumwa huko mpakani

maeneo aliyochukua russia ni partially sio full ndio mana vita ina mwaka wa 3 inaendelea ukraine kurejesha maeneo yao

Lakini mafanikio zaid kwa ukraine ni kuweza kumtoa adui ndani na sasa unaskia huko Kurks eneo la ardhi la russia lishamegwa ni ukraine na askari aliokodi north korea ni kwa ajili ya kuisaidia urusi irudishe hilo eneo lake ambalo jamaa wanasonga mbele tu kuelekea moscow
Still unabwabwaja tena aiseeee.
Unajisahaulisha kuwa nyuma ya Ukraine kuna NATO na Kuna askari wao ambao wanaingizwa Kwa mgongo wa mercenaries kuiunga mkono Ukraine.
Umejisahaulisha kuwa mazungumzo ya amani ya Uturuki ndio yaliipooza makali Urusi kushambulia.
Millitary personnel wa Urusi wapo na wapo Kwa idadi kubwa tu,hao askari wa kukodi,kuchukua wafungwa yote ililenga KUZUIA vifo vya wanajeshi wa Urusi Kwa wingi.

Kwahiyo Urusi kuingia makubaliano ya kijeshi na N.Korea ni dhaifu ila Ukraine kusaidiwa na NATO sio udhaifu!???
Maeneo ambayo Urusi amechukua ni maeneo kamili sio ya nusu nusu.
Eneo lililochukuliwa nusu nusu ni DONBAS peke yake.
Urusi imeshanyakua 18% ya ardhi ya Ukraine na anazidi kusonga mbele.
Hapo Kursk hakuna askari wa Ukraine ataepona,mji wa kuingizia msaada wa Sumy umezungukwa,askari walioingia Kursk ndio hao hao hadi sasa na wanazidi kufa Kila leo.
Ukitaka ripoti tunakuletea hapa.
Ingekua Urusi dhaifu isingesonga mbele kuendelea kuchukua maeneo ya Ukraine.
Kila leo Urusi inazidi kuchukua maeneo.
 
Ata wewe hukuleta chanzo chochote badala yake ni porojo tu

russia imeingia hayo makubaliano ba north korea baada ya sasa kubakiwa na jeshi lake la akiba tu, wanajesh wengi wa urusi wameshauliwa, wafungwa na hata hao raia aliopeleka na kuwapa mikataba kw nguv waende vitani

kumbuka russia ilipoivamia ukraine tayari urusi walishafanikiwa kuchuku eneo la ardhi la ukraine lenye ukubwa nchi ya Newserland adui akatolewa kyev na kusukumwa huko mpakani

maeneo aliyochukua russia ni partially sio full ndio mana vita ina mwaka wa 3 inaendelea ukraine kurejesha maeneo yao

Lakini mafanikio zaid kwa ukraine ni kuweza kumtoa adui ndani na sasa unaskia huko Kurks eneo la ardhi la russia lishamegwa ni ukraine na askari aliokodi north korea ni kwa ajili ya kuisaidia urusi irudishe hilo eneo lake ambalo jamaa wanasonga mbele tu kuelekea moscow
Embu soma hii news article kutoka BBC huwenda kidogo ikakurudisha akili.
Screenshot_2024-11-22-20-11-55-47_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-11-22-20-12-07-49_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Ata wewe hukuleta chanzo chochote badala yake ni porojo tu

russia imeingia hayo makubaliano ba north korea baada ya sasa kubakiwa na jeshi lake la akiba tu, wanajesh wengi wa urusi wameshauliwa, wafungwa na hata hao raia aliopeleka na kuwapa mikataba kw nguv waende vitani

kumbuka russia ilipoivamia ukraine tayari urusi walishafanikiwa kuchuku eneo la ardhi la ukraine lenye ukubwa nchi ya Newserland adui akatolewa kyev na kusukumwa huko mpakani

maeneo aliyochukua russia ni partially sio full ndio mana vita ina mwaka wa 3 inaendelea ukraine kurejesha maeneo yao

Lakini mafanikio zaid kwa ukraine ni kuweza kumtoa adui ndani na sasa unaskia huko Kurks eneo la ardhi la russia lishamegwa ni ukraine na askari aliokodi north korea ni kwa ajili ya kuisaidia urusi irudishe hilo eneo lake ambalo jamaa wanasonga mbele tu kuelekea moscow
Hii ni habari ya Oktoba 25 imehaririwa tena leo.
Hii ni hali ya Ukraine huko Kursk.
Inasemekana Russia imerudisha 46% ya eneo walilonyakua Ukraine.
Hadi kufikia mwisho wa huu mwaka sidhani kama kutasalia askari wa Ukraine hapo Kursk.
Screenshot_2024-11-22-20-16-43-35_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-11-22-20-17-27-06_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-11-22-20-18-06-07_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Mimi siwezi kufanyia kazi taarifa zinazosemekana kama ulivyoeleza hapo juu, lete vyanzo vya uhakika hapa niweze kukusaidia
Inamaana Hadi THE WASHINGTON POST hauwaamini!?
😂😂😂😂😂😂😂Mkuu uwe na nyakati njema usinimalize nguvu pasipo na maana.
 
Back
Top Bottom