Hili bara la Afrika sijui lina laana gani? Hizo pesa walishindwa kuwasaidia waafrika wenzao wanaotaabika na vita&ukimbizi na kukosa vyakula, mpka kwenda kumpa mtu wa mbali huko ambaye hata mchango wako kwake ni Uselessness.
..
Mungu atakuwa anaziona akili za waafrika ni hovyo sana, hayo majitu ya Ukraine si ndyo hayo hayo yaliyokuwa yananyanyasa watu weusi wasivuke border?
Kwanza ni aibu eti kinchi cha Ukraine kiwe na uwezo wa kuilisha afrika nzima ktk baadhi ya mazao.
Afrika lini itapata viongoz wenye akili timamu