Vita vya Ukraine: $ 1bn zatolewa kuzuia uhaba wa chakula barani Afrika

Vita vya Ukraine: $ 1bn zatolewa kuzuia uhaba wa chakula barani Afrika

Hili bara la Afrika sijui lina laana gani? Hizo pesa walishindwa kuwasaidia waafrika wenzao wanaotaabika na vita&ukimbizi na kukosa vyakula, mpka kwenda kumpa mtu wa mbali huko ambaye hata mchango wako kwake ni Uselessness.
..

Mungu atakuwa anaziona akili za waafrika ni hovyo sana, hayo majitu ya Ukraine si ndyo hayo hayo yaliyokuwa yananyanyasa watu weusi wasivuke border?

Kwanza ni aibu eti kinchi cha Ukraine kiwe na uwezo wa kuilisha afrika nzima ktk baadhi ya mazao.

Afrika lini itapata viongoz wenye akili timamu
Duu?? Naona umesoma kichwa Cha hbar halfu ukaondoka gazetiii.. jipe muda wa kusomaa
 
Pombe ni haramu
Hata ikitengenezwa na dhahabu
Acha ujinga, yaani unaruhusu waarabu wakupangie mpaka maisha! Wamekupa majina yako, unasali kwa lugha yao utadhani na wewe ni mwarabu, unavaa mavazi yao sasa wanakuambia pombe ni haramu na wewe unademka bila hata kutumia akili zako
 
Acha ujinga, yaani unaruhusu waarabu wakupangie mpaka maisha! Wamekupa majina yako, unasali kwa lugha yao utadhani na wewe ni mwarabu, unavaa mavazi yao sasa wanakuambia pombe ni haramu na wewe unademka bila hata kutumia akili zako
Hivi kweli unaamini pombe si haramu!?
Utakuwa na maslahi wewe, labda ni muuzaji au mtengezaji kabisaaaaa,
Kuwa mnywaji haiwezekani kwani ungeshajua madhara yake, pole sana ila mimi sio mjinga
 
Back
Top Bottom