Vita vya Ukraine: $ 1bn zatolewa kuzuia uhaba wa chakula barani Afrika

Duu?? Naona umesoma kichwa Cha hbar halfu ukaondoka gazetiii.. jipe muda wa kusomaa
 
Pombe ni haramu
Hata ikitengenezwa na dhahabu
Acha ujinga, yaani unaruhusu waarabu wakupangie mpaka maisha! Wamekupa majina yako, unasali kwa lugha yao utadhani na wewe ni mwarabu, unavaa mavazi yao sasa wanakuambia pombe ni haramu na wewe unademka bila hata kutumia akili zako
 
Acha ujinga, yaani unaruhusu waarabu wakupangie mpaka maisha! Wamekupa majina yako, unasali kwa lugha yao utadhani na wewe ni mwarabu, unavaa mavazi yao sasa wanakuambia pombe ni haramu na wewe unademka bila hata kutumia akili zako
Hivi kweli unaamini pombe si haramu!?
Utakuwa na maslahi wewe, labda ni muuzaji au mtengezaji kabisaaaaa,
Kuwa mnywaji haiwezekani kwani ungeshajua madhara yake, pole sana ila mimi sio mjinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…