100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Vita kuu ya dunia haitotokea, hii vita ya Ukraine imetokea kwa sababu.
Putin alitaka Russia iogopwe duniani kama super power kama hapo awali na iheshimike kama ilivyokuwa awali, pia Putin alitaka kuleta uwiano wa nguvu ya ushawishi katika siasa na jeshi barani ulaya.
Sidhani kama WW3 itatokea na hata ikitokea haitokuwa mbaya na uharibifu na mauaji ya kutisha kama WW2 kwa sababu WW2 ushindi wako ilikuwa ni wingi wa silaha ulizonazo, hivyo vita inaendelea na silaha zinazalishwa, ndio maana engineers walibuni silaha ambazo ni gharama nafuu kutengeneza na pia inatengenezeka kiurahisi, kushinda tengeneza silaha nyingi kuliko adui yako.
Hapo mtachapana hadi mmoja aishiwe kila kitu akubali either uishiwe askari, silaha n.k hivyo ukipata nafasi kumtandika adui unamtandika kisawa sawa hadi anakaa, ndio maana ilikuwa vita ya kutisha sana.
Tanks zilikuwa na vyuma vya kutosha, ile steel yenyewe nzito balaa, zilikuwepo bunduki za mbao, askari walivaa simple kabisa.
Sasa njoo ufananishe na leo, jinsi technology ilivyo,mambo yalivyo complicated.
Kwanza tuanze na mfano wa tank maarufu ya kimarekani ambayo ni Abrams M1, kwanza ina software za kuiendesha, ina mifumo ya optics ambayo ni complex halafu kingine unaweza shangaa ihiki kifaru kinatumia engine ya ndege(jet engine) 😂
Yani kwanza kutengeneza tu hiko kifaru hadi engineers waliosoma rocket science wanahusika, software engineers na wataalamu wa masuala ya optics hatujaongeza wakali wa milipuko n.k sasa watu wenye elimu hizi na walio qualify kuwapata kwa wingi si rahisi sana kwa sababu inachukua miaka mtu kuwa mtaalamu kiasi hiko. Kumbuka Abrams tank inafika 8 millions usd. sio mchezo. Hivyo kwenye vita kuzalisha tanks kama hizi kwa wingi zaidi ni swali la kujiuliza itakuwaje?
Hatujazungumzia jet fighter za leo zilivyo complicated na gharama kuliko hata Abrams M1 tank maradufu kwenye bei, service na tech, madude kama F22 Raptor si mchezo, hebu linganisha na zile ndege za ww2 unaweza kucheka.
Hata ukija kwa askari wa miguu, askari wa leo wana tumia vifaa vya kisasa, bunduki za kisasa , bulletproof vest, na vifaa vingine ambavyo vina high tech na ni gharama sana. Sio sawa na ww2 ambapo eqipments was made to be cheap, reliable, na rahisi kuzalisha.
USA ww2 ilifikisha hadi servicemen milioni 16, kwa leo hilo jambo haliwezekani, kuzalisha gears za kutosha kwa ajili ya askari milioni 16 haiwezekani na haa ikiwezekana ku afford haitowezekana labda askari wapewe manati na mishale. ww2 nchi nyingi ziliweza ku replace losses kwa urahisi lakini kwa leo si kazi nyepesi hata kidogo. Mnamaliza vita wananchi wanaanza kula nyasi kama mbuzi kwa miaka hata 30 flani au zaidi.
Ukitafakari gharama na complexity ya vifaa vitakavyotumika kwenye ww3 ni wazi kila mmoja anaogopa kujiingiza huko. Kingine leo kuna misilaha ya nuclear, hakuna raia anataka kuleta mchezo na nuclear.
Hayo ni maoni yangu kwamba ww3 haitotokea na ikitokea haitozidi ww2.
Putin alitaka Russia iogopwe duniani kama super power kama hapo awali na iheshimike kama ilivyokuwa awali, pia Putin alitaka kuleta uwiano wa nguvu ya ushawishi katika siasa na jeshi barani ulaya.
Sidhani kama WW3 itatokea na hata ikitokea haitokuwa mbaya na uharibifu na mauaji ya kutisha kama WW2 kwa sababu WW2 ushindi wako ilikuwa ni wingi wa silaha ulizonazo, hivyo vita inaendelea na silaha zinazalishwa, ndio maana engineers walibuni silaha ambazo ni gharama nafuu kutengeneza na pia inatengenezeka kiurahisi, kushinda tengeneza silaha nyingi kuliko adui yako.
Hapo mtachapana hadi mmoja aishiwe kila kitu akubali either uishiwe askari, silaha n.k hivyo ukipata nafasi kumtandika adui unamtandika kisawa sawa hadi anakaa, ndio maana ilikuwa vita ya kutisha sana.
Tanks zilikuwa na vyuma vya kutosha, ile steel yenyewe nzito balaa, zilikuwepo bunduki za mbao, askari walivaa simple kabisa.
Sasa njoo ufananishe na leo, jinsi technology ilivyo,mambo yalivyo complicated.
Kwanza tuanze na mfano wa tank maarufu ya kimarekani ambayo ni Abrams M1, kwanza ina software za kuiendesha, ina mifumo ya optics ambayo ni complex halafu kingine unaweza shangaa ihiki kifaru kinatumia engine ya ndege(jet engine) 😂
Yani kwanza kutengeneza tu hiko kifaru hadi engineers waliosoma rocket science wanahusika, software engineers na wataalamu wa masuala ya optics hatujaongeza wakali wa milipuko n.k sasa watu wenye elimu hizi na walio qualify kuwapata kwa wingi si rahisi sana kwa sababu inachukua miaka mtu kuwa mtaalamu kiasi hiko. Kumbuka Abrams tank inafika 8 millions usd. sio mchezo. Hivyo kwenye vita kuzalisha tanks kama hizi kwa wingi zaidi ni swali la kujiuliza itakuwaje?
Hatujazungumzia jet fighter za leo zilivyo complicated na gharama kuliko hata Abrams M1 tank maradufu kwenye bei, service na tech, madude kama F22 Raptor si mchezo, hebu linganisha na zile ndege za ww2 unaweza kucheka.
Hata ukija kwa askari wa miguu, askari wa leo wana tumia vifaa vya kisasa, bunduki za kisasa , bulletproof vest, na vifaa vingine ambavyo vina high tech na ni gharama sana. Sio sawa na ww2 ambapo eqipments was made to be cheap, reliable, na rahisi kuzalisha.
USA ww2 ilifikisha hadi servicemen milioni 16, kwa leo hilo jambo haliwezekani, kuzalisha gears za kutosha kwa ajili ya askari milioni 16 haiwezekani na haa ikiwezekana ku afford haitowezekana labda askari wapewe manati na mishale. ww2 nchi nyingi ziliweza ku replace losses kwa urahisi lakini kwa leo si kazi nyepesi hata kidogo. Mnamaliza vita wananchi wanaanza kula nyasi kama mbuzi kwa miaka hata 30 flani au zaidi.
Ukitafakari gharama na complexity ya vifaa vitakavyotumika kwenye ww3 ni wazi kila mmoja anaogopa kujiingiza huko. Kingine leo kuna misilaha ya nuclear, hakuna raia anataka kuleta mchezo na nuclear.
Hayo ni maoni yangu kwamba ww3 haitotokea na ikitokea haitozidi ww2.