Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Ikumbukwe US ana military base Syria pia, kajimegea maeneo ya visima vya mafuta katulia pale.
Syria sasa kuna maslahi ya Russia, US, Iran, Turkey, Israel nk. Yaani nchi kama mpira wa kona hiyo
Syria sasa kuna maslahi ya Russia, US, Iran, Turkey, Israel nk. Yaani nchi kama mpira wa kona hiyo
