Vita ya Burudani: Clouds Media wawashika pabaya WCB

Vita ya Burudani: Clouds Media wawashika pabaya WCB

Balimi na Safari kampuni moja hao wanaenda sawa.bwana wee,vita ni hapo kati ya C. Lite na Senge lite,C.lite kashikwa pabaya sanaaa Senge inauza balaaa!! Huku K Vant ndo usiseme! Toka K Vanga ibadilishwe muonekano mpaka wadada wanainywa hatariiii! Wacha sie tuendelee kumfuatilia mnyukano huu
Kosa la C.Lite na ndo lipo Katika Heineken ni gas imezidishwa sana ukinywa tumbo linajaa gas sana, hafu zimezidishwa uchungu ile taste ya Mwanzo hazina tena, niliishaacha kunywa hizo bia nikahamia S.Lite na kweli hii bia inakimbiza sana kwasasa.
 
Hapo naona ni ushindani wa kibiashara kulikua kuna wasanii wanasema hawalipwi fiesta au malipo ni kidgo hapo watapata wasaa wakuenda wcb ambapo kutakua na malipo ya kutosha na kila msanii ataridhika na pia itakua funzo kwa CMG ya kutokuwalipa wasanii kama ni.kweli lakin pia sidhani kama na WCB watakua na uwezo wa kuingia hasara kwa kumlipa kila msanii kiasi anachotaka ukitegemea nao wanataka faida ya kurecover cost
 
Tatizo letu hatupendi ushindani.

Mi naona hii ni changamoto kwa clouds na kwa wcb na wasanii wote kwa ujumla. Tanzania kuna wasanii wengi saana wengi wana hit saana. Fiesta ya dar haiwez kuwa accomodate wote kwa siku moja. Hivyo wengine lazima tuu wapate kule mtwara.

Wasanii hawana budi kufanya kazi kwa bidii hawana budi kuwa wabunifu ili kuongeza thamani zao.

Changamoto kwa serekali kuweka mazingira rafiki kwa hawa wana industry kufanya kazi vzr.

heko wasafi festival kwa kuthubutu.

Watanzania tuwe na positive mind. Wcb hawapo ili kuwaangusha clouds na clouds haipo ili kuzuia 'clouds' wengine wasichomoze
nilivyosoma na kuona huu mkeka ikabidi niangalie kaandika nani,kumbe ni wewe mkuu maana nilijua ni chige
 
Balimi na Safari kampuni moja hao wanaenda sawa.bwana wee,vita ni hapo kati ya C. Lite na Senge lite,C.lite kashikwa pabaya sanaaa Senge inauza balaaa!! Huku K Vant ndo usiseme! Toka K Vanga ibadilishwe muonekano mpaka wadada wanainywa hatariiii! Wacha sie tuendelee kumfuatilia mnyukano huu
Mkuu Vladimir tunamuweka wapi,maanake anakuja kwa kasi
 
WCB always Wata Win Wanajua Sana Game za Fitinaaaa.......!!!! ngoja kuanzia Tarehe 20 watachafuaaaaaa mitandao yote ya kijamiii hata Fiesta hutaisikia Tena!!!!!! Diamond tarehe 23 akimleta Zari tuuuuu kuwa host wabongo akili zote zinahamaaaaaaaa huko fiest(Huo ni mfano tuuu)
Upo sahihi ndio akili za wabongo wengi zilivyo zinabebwa bebwa na matukio...ya watu binafsi
 
Back
Top Bottom