OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ngoja nisikitike kabla uzi haujanyakuliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi hii ukiifuatilia kwa umakini utagundua Corona iliingia kipindi kile anakagua daraja la Ubungo akapitia moro, then Dodoma kwenye mawe then to Chato.
Kiashiria cha kutokuwepo kwa corona nchini ni mwenyekiti wa chama kuwa katika ofisi mbili ile ya Dodoma au Dar.
Asipokuwa katika ofisi hizo endelea kujua kuwa hali ni mbaya nawe kama una uwezo jichimbie ndani mpka bwana mkubwa akitoka chato nawe utoke.
na bado anataka akifika mbinguni awe kiongozi wa malaikaKapewa mtihani mdogo tu na mwenyezi Mungu kakimbia?
Kwani hajui kusoma na kuandika!!Aliesukumizwa anamaliza watu kwa iliteracy yake?