Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usitukumbushe wakati wa kupanga foleni asubuhi then jioni ndiyo mnaaza kupewa vitu adimu - sukari, sabuni nkKama nchi hatujawahi kukaa sawa kiuchumi baada ya ile vita
Kwa hiyo angeacha tu Kagera ichukuliwe kwako wewe ndio asingekuwa wa ovyo?Yaani linyerere lilikuwa raisi la hovyo sana kuwahi kutokea
Una uhakika Kama alikuwa anataka kuchukua kagera! Nyerere ni wa hovyo Sana by the wayKwa hiyo angeacha tu Kagera ichukuliwe kwako wewe ndio asingekuwa wa ovyo?
Sio mbaya,ndio maana hata watu wenye obesity walikua wachache enzi hizo 😄😄.usitukumbushe wakati wa kupanga foleni asubuhi then jioni ndiyo mnaaza kupewa vitu adimu - sukari, sabuni nk
Hali ilikuwa ni mbaya sana miaka ya 80 baada ya vita.
Mzee wa watu alikaribishwa na maustadhi hapa town, akawapiga Cha mbavu na akawa rais wao wakawa bize na kulalamika mfumo Kristo 😄😄😄Una uhakika Kama alikuwa anataka kuchukua kagera! Nyerere ni wa hovyo Sana by the way
Uhakika wa uhovyo wake unaousema wewe ni upi?Una uhakika Kama alikuwa anataka kuchukua kagera! Nyerere ni wa hovyo Sana by the way
Udini, ukabila,ujamaa,mauaji, n.kUhakika wa uhovyo wake unaousema wewe ni upi?
Hee!Udini, ukabila,ujamaa,mauaji, n.k
Nani kakuambia Kagera ilikuwa inataka kuchukuliwa....mkuu kuna ishu nyingi sana zimejificha nyuma ya ile vita....wala sio kuchukuliwa kwa kagera kama tunavyoaminishwaga.Kwa hiyo angeacha tu Kagera ichukuliwe kwako wewe ndio asingekuwa wa ovyo?
Kabisa mkuu wangu....ila naomba kuuliza maana ya hyo ID yako ni mke mkubwa kama ninavyojua mm au???Kweli kabisa mtoa hoja na hasara hii ndio ilisababisha wazee wetu waliokua wanafanya kazi EAC kuzeeka na kufa bila ya kulipwa mafao yao,fedha yao ikachukuliwa kwenda kulipia madeni ya vita hii ambayo haikua na umuhimu kwetu,wazee wa bandari wamelalamika mpaka ardhi imewameza bila kupata haki yao,serikali ya chama dola damu ya wazee wale ipo siku itakuja kuwadhuru.