Vita ya Kagera iligharimu Tanzania Trilion 1.15

Vita ya Kagera iligharimu Tanzania Trilion 1.15

Hi vita imepiganwa mwaka 1978/79 sio muda mrefu wala, uliza tu wenyeji wa mkoa wa Kagera watakwambia, uliza wenye umri wa miaka 55 and above, hi sio sawa na mambo ya vita vya maji maji, au vya Mkwawa na Wajerumani ambayo hatuna uhakika na kile tunacho kisoma kama ni cha kweli au laa. Hao watu watakwambia shida walioipata kwa kurushiwa mabomu na risasi mkoani kwako Kagera. Tusibishane tu kwasababu tunampenda Idd Amini na kumchukia Nyerere au tusitete kwasababu tunamchukia Idd Amini na kumpenda Nyerere, tuweke facts mezani. Unadhani ni kwanini hadi rais wa Libya hadi akaingilia vita ile isio muhusu? Ni mjinga pekee yake anaweza kuamini kwamba eti Nyerere angeweza kujipeleka vitani kijinga kwasababu zozote zile, Idd Amini alikua vizuri na tishio kivita kuliko Tanzania
Libya iliingilia ile vita kwa sababu kuu moja,urafiki wa idd Amin na gaddafi,hata sisi mbona tulisaidiwa na msumbiji
mimi nimesoma ushahidi wa simulizi wa wanajeshi wa Uganda pamoja na kunsikiliza Amin mwenyewe
 
i

inawezekana ikawa ni kweli unachosema, ukifikilia ni kwanini Israel ililipua ndege za keshi la Uganda karibu zote ni hakuna sababu ya muhimu zaidi ya hii yako
ni wazi Israel ilitaka kumuondoa Amin
Hasira ya Waisrael dhidi ya Iddi Amini ilikua ni mwaka mmoja au miwili nyuma kabla ya vita ya kagera, baada ya kutekwa kwa ndege iliyokua na waisrael na kuwashikilia mateka katika uwanja wa Antebe.
Baada ya Waisrael kutuma makomando wao kuja kuwakomboa mateka kuna bibi mmoja wa kiyahudi hakukombolewa alikua mahututi alipelekwa hospital,
Hasira za Iddi Amini baada ya nchi yake kuvamiwa na wanajeshi wake kuuliwa na makomandoo wa Israel kwa hasira akaamua kumuua yule bibi.
Israel ikaingia nyongo na utawala wa Amin nchini uganda kwa mambo makuu matatu
1)Amini kuwasupport magaidi dhidi ya utekaji wa raia wa kiyahudi
2)Amini kutoa hifadhi kwa magaidi kuwashikilia mateka
3)Amini kumuua yule bibi wa kiyahudi
 
Hasira ya Waisrael dhidi ya Iddi Amini ilikua ni mwaka mmoja au miwili nyuma kabla ya vita ya kagera, baada ya kutekwa kwa ndege iliyokua na waisrael na kuwashikilia mateka katika uwanja wa Antebe.
Baada ya Waisrael kutuma makomando wao kuja kuwakomboa mateka kuna bibi mmoja wa kiyahudi hakukombolewa alikua mahututi alipelekwa hospital,
Hasira za Iddi Amini baada ya nchi yake kuvamiwa na wanajeshi wake kuuliwa na makomandoo wa Israel kwa hasira akaamua kumuua yule bibi.
Israel ikaingia nyongo na utawala wa Amin nchi uganda kwa mambo makuu matatu
1)Amini kuwasupport magaidi dhidi ya utekaji wa raia wa kiyahudi
2)Amini kutoa hifadhi kwa magaidi kuwashikilia mateka
3)Amini kumuua yule bibi wa kiyahudi
nimekumbuka ile story ya huyo bibi,mwili wake ulipatikana mwishoni mwa vita
 
nimekumbuka ile story ya huyo bibi,mwili wake ulipatikana mwishoni mwa vita
Kikubwa tumelishwa propaganda nyingi kuhusu chanzo/sababu ya vita hii kwa kuaminishwa Amin ndio alieleta chokochoko kwa kuivamia kagera ila behind sisi ndio tulianzisha chokochoko kwa kuwasupport na kuwapa hifadhi waasi waliokua wanataka kumpindua Amin.
Amin alilalamikia mara kadhaa kuhusu chokochoko hizi ila JKN aliziba masikio.
Amin baada ya kuchoshwa ndio akaamua kuivamia Kagera.
Kikubwa ni kujiuliza Majeshi ya Israel, Marekani na Uingereza kushiriki katika vita hii lengo lao lilikua ni nini?
 
Nyerere aliliingiza taifa vitani kisa rafiki yake Obotte ambaye alikuwa incompetent, mpaka sasa naandika hii comment Obote anashikiria record ya rais aliyepinduliwa mara mbili hapa Duniani
Na hili ndio linalofichwa. Nyerere is the root of where we are today kama taifa. Lost nation!
Binafsi, zamani nilikua kwenye mkumbo huohuo. Na bahati nzuri mimi ni mhaya na mtu wa Mara umamani tena wakiwa ni wazanaki na waikizu. Hata huko kwenye jamii yake wengi wameamka na kushtuka tulikua tunadanganywa
Nyerere wasnt a hero kama tulivyoaminishwa toka azmani.
 
hakuna ushahidi wowote wa Idd amin kuichokoza Tanzania,kama upo uweke hapa, Nyerere mwenyewe ndiye alianza maneno ya choko choko toka siku Amin anaapishwa ndipo Amin akamtumia Telegram mchonga na kumwambia "laiti kama ungekuwa mwanamke ningalikuoa..."
baadaye mchonga akawa anafadhili operation za kijeshi dhidi ya Uganda kwa pesa ya walipa kodi,amin aliwafukuza wahamiaji wote mpaka wa Tanzania akidai ni wezi na wahuni,kina museven walivamia Uganda wakitokea hapo Tanzania ndipo Amin akatuma jeshi na alipanga kufika mpaka Dar es salaam
Unamjua mzee Hans Pope baba yake Zacharia aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kagera? Unajua alitekwa lini kutoka mkoani kwake na kuuwawa kule Uganda na majeshi yao kabla ya vita haijaanza. Hans Pope alikamatwa mwaka 1971 na wanajeshi wa Uganda akiwa Mutukula mpakani, wakiwa na vifaru viwili alijaribu kufikia redio ya mawasiliano kutoa taarifa ndio wakamfyatulia risasi. Aliuwawa 1972 na mwili wake ulirudishwa Tanzania mwaka 1979.

Imagine leo hii gavana wa jimbo mojawapo hapo Kenya atekwe na kuuwawa na jeshi la Tanzania. Vita ikianza utailaumu Kenya?
 
Unamjua mzee Hans Pope baba yake Zacharia aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kagera? Unajua alitekwa lini kutoka mkoani kwake na kuuwawa kule Uganda na majeshi yao kabla ya vita haijaanza. Hans Pope alikamatwa mwaka 1971 na wanajeshi wa Uganda akiwa Mutukula mpakani, wakiwa na vifaru viwili alijaribu kufikia redio ya mawasiliano kutoa taarifa ndio wakamfyatulia risasi. Aliuwawa 1972 na mwili wake ulirudishwa Tanzania mwaka 1979.

Imagine leo hii gavana wa jimbo mojawapo hapo Kenya atekwe na kuuwawa na jeshi la Tanzania. Vita ikianza utailaumu Kenya?
namfahamu Mkuu,niliandika hadi uzi wake humu, lile tukio huenda lilitokana na mgogoro niliousema hapo juu, yani choko choko za Nyerere. ila yote kwa yote, mimi siamini kwama ile vita ilikuwa lazima
ni mambo kama yaliyotokea wakati wa awamu iliyopita tulivowachomea wakenya kuku zao,ndio maana unamuona samia anatoa vijidhawadi vingi kenya ni kwa sababu anajua lile tukio liliwakera wakenya hivo baae lingeweza kuleta shida
 
Na hili ndio linalofichwa. Nyerere is the root of where we are today kama taifa. Lost nation!
Binafsi, zamani nilikua kwenye mkumbo huohuo. Na bahati nzuri mimi ni mhaya na mtu wa Mara umamani tena wakiwa ni wazanaki na waikizu. Hata huko kwenye jamii yake wengi wameamka na kushtuka tulikua tunadanganywa
Nyerere wasnt a hero kama tulivyoaminishwa toka azmani.
kabisa,Nyerere kama angejikita kuijenga Tanzania aachane na mambo aliyoita ukombozi,leo sisi tungekuwa mbali, yani tunazidiwa na wa south ambao tuliwakomboa
tumepata uhuru kabla ya wakenya lakini itazame kenya leo, nasikia miaka ya 70 ilikuwa ni marufuku mtanzania kwenda kenya na ma vitabu ya ujamaa,wakenya walipinga ujamaa sana, Nyerere alichofanya jema ni kujenga umoja wa Taifa na kupinga ukabila ila kwenye uchumi ali fail ndio maana hata mzee mwinyi alisema aliwahi kutamka "kila zama na nabii wake" pale alipoulizwa kwanini hafuati filra za nyerere
 
kabisa,Nyerere kama angejikita kuijenga Tanzania aachane na mambo aliyoita ukombozi,leo sisi tungekuwa mbali, yani tunazidiwa na wa south ambao tuliwakomboa
tumepata uhuru kabla ya wakenya lakini itazame kenya leo, nasikia miaka ya 70 ilikuwa ni marufuku mtanzania kwenda kenya na ma vitabu ya ujamaa,wakenya walipinga ujamaa sana, Nyerere alichofanya jema ni kujenga umoja wa Taifa na kupinga ukabila ila kwenye uchumi ali fail ndio maana hata mzee mwinyi alisema aliwahi kutamka "kila zama na nabii wake" pale alipoulizwa kwanini hafuati filra za nyerere
Yes umoja wa kitaifa nampa big up sana!
Ila la uchumi na siasa alifeli vibaya mno na hata elimu yetu kwa yale mabadiliko ya mwaka 1968.
Na yote ni ubishi na ujuaji wake.
 
Yes umoja wa kitaifa nampa big up sana!
Ila la uchumi na siasa alifeli vibaya mno na hata elimu yetu kwa yale mabadiliko ya mwaka 1968.
Na yote ni ubishi na ujuaji wake.
mchonga alikuwa mbishi na mjuaji sana hata rafiki zake wa karibu walimuona anazingua,nasikia alitaifisha mali za wakina kambona nk, yani alichukia matajiri kwa sababu yeye hakutaka kuwa tajiri basi akaona kila mtu awe masikini
alijaribu kupinga ukweli wa asili kwamba toka dunia ianze kumekuwepo na matabaka hususasi matajiri na masikini
laiti kama mchonga ange adopt capitalism leo basi huenda tungekuwa mbali kama wakenya
 
Unamjua mzee Hans Pope baba yake Zacharia aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kagera? Unajua alitekwa lini kutoka mkoani kwake na kuuwawa kule Uganda na majeshi yao kabla ya vita haijaanza. Hans Pope alikamatwa mwaka 1971 na wanajeshi wa Uganda akiwa Mutukula mpakani, wakiwa na vifaru viwili alijaribu kufikia redio ya mawasiliano kutoa taarifa ndio wakamfyatulia risasi. Aliuwawa 1972 na mwili wake ulirudishwa Tanzania mwaka 1979.

Imagine leo hii gavana wa jimbo mojawapo hapo Kenya atekwe na kuuwawa na jeshi la Tanzania. Vita ikianza utailaumu Kenya?

Mkuu unaweza kutueleza japo kwa kifupi ilikuaje mpaka Hans pope alipigwa risasi?
Na kabla ya kupigwa risasi kuna tukio gani lilitokea mpaka wanajeshi wa Amin wakavuka mpaka na kuingia tanzania?
 
Mkuu unaweza kutueleza japo kwa kifupi ilikuaje mpaka Hans pope alipigwa risasi?
Na kabla ya kupigwa risasi kuna tukio gani lilitokea mpaka wanajeshi wa Amin wakavuka mpaka na kuingia tanzania?
Wanajeshi wa Amin walikuwa wanavuka mipaka mara nyingi tu. Mara hiyo walipovuka, Hans Pope kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya mkoa akawepo mpakani, wakati anakimbilia kupiga simu I think ni zile land line ndio wakampiga risasi ya paja. Walimchukua tangu hiyo 1971 wakampeleka Uganda na kwa vile ana asili ya kizungu, Iddi Amin alimtumia kwamba kielelezo cha kibaraka wa mabeberu wanaotaka kuiharibu Uganda. Aliuwawa 1972 na vita ilianza miaka sita baadae
 
Na hili ndio linalofichwa. Nyerere is the root of where we are today kama taifa. Lost nation!
Binafsi, zamani nilikua kwenye mkumbo huohuo. Na bahati nzuri mimi ni mhaya na mtu wa Mara umamani tena wakiwa ni wazanaki na waikizu. Hata huko kwenye jamii yake wengi wameamka na kushtuka tulikua tunadanganywa
Nyerere wasnt a hero kama tulivyoaminishwa toka azmani.
tehteh😂😂😂nyerere alidanganya nini we mnuka mķojo?
 
Mkuu unaweza kutueleza japo kwa kifupi ilikuaje mpaka Hans pope alipigwa risasi?
Na kabla ya kupigwa risasi kuna tukio gani lilitokea mpaka wanajeshi wa Amin wakavuka mpaka na kuingia tanzania?
alkua rpc ni ka story karefu kdg ila mwili wake ulkuja kutumika kama propaganda wakati wa vita kwamba tz imeleta mercenary wa kichina baada kichapo kuwaelemea ug
 
Back
Top Bottom