Vita ya Kagera iligharimu Tanzania Trilion 1.15

Vita ya Kagera iligharimu Tanzania Trilion 1.15

Wanajeshi wa Amin walikuwa wanavuka mipaka mara nyingi tu. Mara hiyo walipovuka, Hans Pope kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya mkoa akawepo mpakani, wakati anakimbilia kupiga simu I think ni zile land line ndio wakampiga risasi ya paja. Walimchukua tangu hiyo 1971 wakampeleka Uganda na kwa vile ana asili ya kizungu, Iddi Amin alimtumia kwamba kielelezo cha kibaraka wa mabeberu wanaotaka kuiharibu Uganda. Aliuwawa 1972 na vita ilianza miaka sita baadae
Mkuu shida ni kwamba inapotokea mvutano wa pande mbili mara nyingi hua propaganda zinatawala kwa kila mtu kuvutia upande wake.
Ila ukiwa na msimamo wa kati na kati inakua ni rahisi kuelewa zaidi.
Mkuu mimi ni mtanzania na ni mzalendo.
Tatizo linapotokea hua nnasimama na nchi yangu kwa hali yoyote na hata hili la vita ya kagera ningekua frontline kumng'oa Iddi Amini kwa hali yoyote.
Ila linapokuja suala la propaganda hua nnajilazimisha kukaa katikati ili kufahamu mambo kwa undani wake zaidi.
Siku Hans pope anapigwa risasi, wanajeshi wa Uganda waliopo mpakani walipotelea Tanzania, sisi tumeaminishwa(propaganda) wanajeshi wale walikua wamelewa chakari kutokana pombe hawakujielewa wakavuka boder na kuingia Tanzania.
Na wale wanajeshi waliompiga risasi Hans Pope walikua wamevuka mpaka na vifaru viwili kuja kuwakomboa wenzao waliokua wamelewa chakari na kupotelea ndani ya mipaka yetu.
Kwa mazingira kama hayo ukiwa makini ukaacha kuendeshwa na propaganda utajua kulikua na nini behind the scene.
 
Mkuu shida ni kwanda inapotokea mvutano wa pande mbili mara nyingi hua propaganda zinatawala kwa kila mtu kuvutia upande wake.
Ila ukiwa na msimamo wa kati na kati inakua ni rahisi kuelewa zaidi.
Mkuu mimi ni mtanzania na ni mzalendo.
Tatizo linapotokea hua nnasimama na nchi yangu kwa hali yoyote na hata hili la vita ya kagera ningekua frontline kumng'oa Iddi Amini kwa hali yoyote.
Ila linapokuja suala la propaganda hua nnajilazimisha kukaa katikati ili kufahamu mambo kwa undani wake zaidi.
Siku Hans pope anapigwa risasi, wanajeshi wa Uganda waliopo mpakani walipotelea Tanzania, sisi tumeaminishwa(propaganda) wanajeshi wale walikua wamelewa chakari kutokana pombe hawakujielewa wakavuka boder na kuingia Tanzania.
Na wale wanajeshi waliompiga risasi Hans Pope walikua wamevuka mpaka na vifaru viwili kuja kuwakomboa wenzao waliokua wamelewa chakari na kupotelea ndani ya mipaka yetu.
Kwa mazingira kama hayo ukiwa makini ukaacha kuendeshwa na propaganda utajua kulikua na nini behind the scene.
Tangu lini ukasikia jeshi la nchi nyingine linaingia mipaka ya jirani kuokoa walevi? Vifaru viwili vinaokoaje walevi? Wapi uliwahi sikia vifaru vinafanya uokoaji.

Kwahiyo ndio vifaru vikaokoa wanajeshi wao na kumteka mkuu wa mkoa wa jirani. Mbona hii story yako haiingii akilini kabisa. Mwaka huu wale askari waliokimbiza Mtanzania kwa gari la polisi na hawakuwa na silaha walipigwa mawe, sembuse wanajeshi wa jirani waingie na vifaru kisha wamteke kiongozi wa serikali
 
Libya iliingilia ile vita kwa sababu kuu moja,urafiki wa idd Amin na gaddafi,hata sisi mbona tulisaidiwa na msumbiji
mimi nimesoma ushahidi wa simulizi wa wanajeshi wa Uganda pamoja na kunsikiliza Amin mwenyewe
Umefanya vizuri, sasa balance story, uliza upande wa pili wa Wahaya wa Kagera ili uujue na upande wa pili; kwa taarifa yako tu, msela alitaka hadi kuipiga Dar, sio Kagera hasa Kyaka pekee yake. Halafu umetaja Msumbiji, right??? Sina hakika na umri wako but labda niseme hivi (wazee wenzangu wataniunga mkono ) Nyerere baada ya Uhuru alipenda bara lote la Africa na lenyewe liwe huru, kazisaidia nchi nyingi sana za Kiafrica kuupata uhuru wake, nchi kama Msumbiji ulioitolea mfano, Angola, Namibia, South Africa, Zimbabwe nk, Tanzania ni moja ya nchi zilizo play part kubwa sana hata zikawa huru, sasa anaweza kua alifanya maamuzi ya kijinga kuhusu hilo but hicho ndio alicho kua anakiamini, sasa Gadaff alikua na interest ipi na Uganda dhidi ya Tanzania?
 
Wanajeshi wa Amin walikuwa wanavuka mipaka mara nyingi tu. Mara hiyo walipovuka, Hans Pope kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya mkoa akawepo mpakani, wakati anakimbilia kupiga simu I think ni zile land line ndio wakampiga risasi ya paja. Walimchukua tangu hiyo 1971 wakampeleka Uganda na kwa vile ana asili ya kizungu, Iddi Amin alimtumia kwamba kielelezo cha kibaraka wa mabeberu wanaotaka kuiharibu Uganda. Aliuwawa 1972 na vita ilianza miaka sita baadae
Ajabu kubwa vijana wamezaliwa juzi tu halafu wana kunywa kahawa hawajui chochote then wanakuja kuleta story za vijiweni, hafanyi hata utafiti kidogo yaani
 
Umefanya vizuri, sasa balance story, uliza upande wa pili wa Wahaya wa Kagera ili uujue na upande wa pili; kwa taarifa yako tu, msela alitaka hadi kuipiga Dar, sio Kagera hasa Kyaka pekee yake. Halafu umetaja Msumbiji, right??? Sina hakika na umri wako but labda niseme hivi (wazee wenzangu wataniunga mkono ) Nyerere baada ya Uhuru alipenda bara lote la Africa na lenyewe liwe huru, kazisaidia nchi nyingi sana za Kiafrica kuupata uhuru wake, nchi kama Msumbiji ulioitolea mfano, Angola, Namibia, South Africa, Zimbabwe nk, Tanzania ni moja ya nchi zilizo play part kubwa sana hata zikawa huru, sasa anaweza kua alifanya maamuzi ya kijinga kuhusu hilo but hicho ndio alicho kua anakiamini, sasa Gadaff alikua na interest ipi na Uganda dhidi ya Tanzania?
Gadafi alikuwa anasukumwa na sera ya kuuza uislamu
 
Tangu lini ukasikia jeshi la nchi nyingine linaingia mipaka ya jirani kuokoa walevi? Vifaru viwili vinaokoaje walevi? Wapi uliwahi sikia vifaru vinafanya uokoaji.

Kwahiyo ndio vifaru vikaokoa wanajeshi wao na kumteka mkuu wa mkoa wa jirani. Mbona hii story yako haiingii akilini kabisa. Mwaka huu wale askari waliokimbiza Mtanzania kwa gari la polisi na hawakuwa na silaha walipigwa mawe, sembuse wanajeshi wa jirani waingie na vifaru kisha wamteke kiongozi wa serikali
Thanks mkuu walau tupo pamoja, mchango wangu wa kwanza kabisa pale ju nimetilia mashaka sana uwezo wetu kama Watanzania wa kufikiri, in fact ( to me ) kadiri muda unavyo zidi kwenda, naona kabisa uwezo wa vijana wetu wa kufikiri na kuchambua mambo umekua mdogo sana, sijui tatizo ni nini? Sidhani kama ni elimu, sijui ni vyakula au nini? Najiuliza sana swali hili.
 
Thanks mkuu walau tupo pamoja, mchango wangu wa kwanza kabisa pale ju nimetilia mashaka sana uwezo wetu kama Watanzania wa kufikiri, in fact ( to me ) kadiri muda unavyo zidi kwenda, naona kabisa uwezo wa vijana wetu wa kufikiri na kuchambua mambo umekua mdogo sana, sijui tatizo ni nini? Sidhani kama ni elimu, sijui ni vyakula au nini? Najiuliza sana swali hili.
shisha smoking, ngono,na betting. Kijana anajiona amekamilika
 
Tangu lini ukasikia jeshi la nchi nyingine linaingia mipaka ya jirani kuokoa walevi? Vifaru viwili vinaokoaje walevi? Wapi uliwahi sikia vifaru vinafanya uokoaji.

Kwahiyo ndio vifaru vikaokoa wanajeshi wao na kumteka mkuu wa mkoa wa jirani. Mbona hii story yako haiingii akilini kabisa. Mwaka huu wale askari waliokimbiza Mtanzania kwa gari la polisi na hawakuwa na silaha walipigwa mawe, sembuse wanajeshi wa jirani waingie na vifaru kisha wamteke kiongozi wa serikali
Hapo ndio unatakiwa ufungue bracket.
Ukumbuke wakati huo Museven na kikosi chake cha waasi wamepewa hifadhi nchini ili wamng'oe Iddi Amini, na mara kwa mara waasi wanavuka mpaka na kuingia Uganda kufanya mashambulizi na kurudi Tanzania.
Iddi Amini alishaongea sana juu ya hilo ila viongozi wa nchi wakampuuza maana wao ndio walikua wadhamini wa Museven.
Hapa unatikwa ujiulize je ni kweli wale askari wa Amini walivuka boda wenyewe?
Je ni kweli walikua wamelewa chakari mpaka wasijue kua wamevuka mpaka?
Je baada ya kuvuka mpaka walidhibitiwa na nani mpaka wenzao wakaja kuwakomboa?
Je walikombolewa na wenzao?
 
usitukumbushe wakati wa kupanga foleni asubuhi then jioni ndiyo mnaaza kupewa vitu adimu - sukari, sabuni nk

Hali ilikuwa ni mbaya sana miaka ya 80 baada ya vita.
Tuliambiwa tufunge mikanda miezi 18 baadae ikawa miaka 18 [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nyerere alikuwa akitunza waasi wa Uganda ndani ya Tanzania since day 1 Amin alipoingia madarakani, na walikuwa wakishambulia Uganda na kukimbilia Tanzania. Huo kama siyo uchokozi ni nini?
 
Nikiwa mzalendo namba Moja wa nchi yangu nadiriki kusema Ile vita ilikua for nothing,watu walipigana na kuuana kisa Viongozi wajinga na wapambavu walioendekeza bifu zao binafsi na kuyacost mataifa Yao,
Hapa nikiwa na maana ya
Idd Amin na JK Nyerere walikua na mihemko ya kijuha maana waafrika kupigana na kuuana ni Zaidi ya uwendawazimu!

Kilichotokea ni ugomvi wa kitoto Sana
Imagine Obotte kapinduliwa na waasi kakimbilia bongo hapo anaorganize kikundi anaanza mashambulizi Kwa Serikali ya waasi,waasi wanamaind wanampa onyo anayemhifadhi mhuni Mmoja aliyefurushwa,
Mwenyeji anaweka pamba masikioni my friend hakuna watu hatari kama Serikali ya waasi walioshika madaraka wanakuaga kama mbogo aliyejeruhiwa ukiwachokoza,
Choko choko zinaanza zinazusha vita vita inapigwa Kwa bahati nzuri tukashinda tukamrudisha mpinduliwa madarakani maajabu Sasa anavurunda na kupinduliwa Tena what a joke!
Obotte,Obotte,Obbote chanzo Cha yote kumbe alikua bonge la bwege na Leo ameshikilia rekodi za Rais iliyepinduliwa mara mbili what a shame!
 
Nyerere alituingiza kwenye vita ya kibwege sana
Ile vita haikuanza 1978, ilianza 1971 tulipoanza kuhifadhi waasi wa Uganda nchini mwetu.
Nani asiyejua kuwa mbinu za kumpindua Amin zilikuwa zikisukwa ndani ya mipaka yetu kabla hata ya 1978?
Kwa nini Nyerere aliingilia mambo ya ndani ya Uganda kwa miaka yote ile tangu 1971?
 
Thanks mkuu walau tupo pamoja, mchango wangu wa kwanza kabisa pale ju nimetilia mashaka sana uwezo wetu kama Watanzania wa kufikiri, in fact ( to me ) kadiri muda unavyo zidi kwenda, naona kabisa uwezo wa vijana wetu wa kufikiri na kuchambua mambo umekua mdogo sana, sijui tatizo ni nini? Sidhani kama ni elimu, sijui ni vyakula au nini? Najiuliza sana swali hili.
Vijana tumejaza ujinga wala hakuna critical thinking tena. Ni kubwabwaja tu
 
Vita vina Siri nyingi na propaganda nyingi. Ukweli Vita ya Uganda, Tanzania tuliingia kichwakichwa na Uganda haikutaka eneo la kagera. Watz Ni wasahaulifu ila nawakumbusha kitu, Libya wakati wamarekani wanataka kuivamia na kuiba nk. Walisambaza uongo killa kona na sisi watz bila kuhoji Wala kutathmini kwa kina tukawasapoti US bila kuhoji. We condemned Libya na kui crucify Libya. Baada ya Vita ukweli ukawa wazi ndo tukagubuka!!
Vita Ni hadaa na sisi Ni wachanga kwenye Hilo eneo, tulihaidaiwa na watu wenye Nia ovu kutimiza matakwa yao. Amini alikuwa jabari was Afrika, rais mashuhuri na makini. Ni propaganda tu na chuki zidi ya Africa nfo zilipelekea kuingiza nchi 2 vitani.
Watu wanasema waliona jeshi la Uganda na faru zao zikivamia kagera, hivi hiki Ni kitu Cha kushangaa after everything we have witnessed over the years!!? Kill kitu kilitengenezwa na baada ya movie kuisha alieathirika Ni Nani?
Tanzania lost everything baada ya vita, tulirudi nyuma Kama miaka 100, uchumi uliporomoka, viwanda vilikufa na mikopo na IMF wakawa maswahiba wetu. Uganda nayo pia iliporomoka kiuchumi, yani Amini yupo nchi ilikw Haina ombaomba Wala kilema anaomba roadsides, zikaja propaganda eti anauwa vilema anakula nyama zao!!! Ni UONGO MTUPU!! tujitafakari-Nyerere was both our hero and our damnation. Unlike Museven ambae anataka kufia kwenye kiti, yeye Ni mpumbavu and worse than Nyerere...
 
Vijana was Sasa sio wajinga, wanahoji vitu na sio kukubali on nyumbu. And yeah ata Kama ile Vita haikuwa propaganda, athari zake na marhila Tanzania ilopitia tungewaachia tu Uganda wachukue Mana eneo Tanzania Ni kubwa na hakuna Cha Mana tunafanya. Kuna nchi wanna eneo dogo lakini faida wanapata Ni mara 100 ya Tanzania
 
Vita vina Siri nyingi na propaganda nyingi. Ukweli Vita ya Uganda, Tanzania tuliingia kichwakichwa na Uganda haikutaka eneo la kagera. Watz Ni wasahaulifu ila nawakumbusha kitu, Libya wakati wamarekani wanataka kuivamia na kuiba nk. Walisambaza uongo killa kona na sisi watz bila kuhoji Wala kutathmini kwa kina tukawasapoti US bila kuhoji. We condemned Libya na kui crucify Libya. Baada ya Vita ukweli ukawa wazi ndo tukagubuka!!
Vita Ni hadaa na sisi Ni wachanga kwenye Hilo eneo, tulihaidaiwa na watu wenye Nia ovu kutimiza matakwa yao. Amini alikuwa jabari was Afrika, rais mashuhuri na makini. Ni propaganda tu na chuki zidi ya Africa nfo zilipelekea kuingiza nchi 2 vitani.
Watu wanasema waliona jeshi la Uganda na faru zao zikivamia kagera, hivi hiki Ni kitu Cha kushangaa after everything we have witnessed over the years!!? Kill kitu kilitengenezwa na baada ya movie kuisha alieathirika Ni Nani?
Tanzania lost everything baada ya vita, tulirudi nyuma Kama miaka 100, uchumi uliporomoka, viwanda vilikufa na mikopo na IMF wakawa maswahiba wetu. Uganda nayo pia iliporomoka kiuchumi, yani Amini yupo nchi ilikw Haina ombaomba Wala kilema anaomba roadsides, zikaja propaganda eti anauwa vilema anakula nyama zao!!! Ni UONGO MTUPU!! tujitafakari-Nyerere was both our hero and our damnation. Unlike Museven ambae anataka kufia kwenye kiti, yeye Ni mpumbavu and worse than Nyerere...
Hebu tuwekee report ambayo sisi kama Tanzania tuli support USA kuivamia Libya hapa; binafsi nakumbuka matamshi ya aliyekua waziri wa mambo ya nchi za nje wa Tanzania kulaani mashambulizi yale ya kumuondoa Gadaff madarakani, tena hadi tuanza kuwaondoa raia wenzetu waliokua kule. Wewe unaye sema eti tuli support, weka evidence hapa hapa; remember hili jambo wala halina hata miaka 10 na watu mmeanza kudanganya!
 
Kama nchi hatujawahi kukaa sawa kiuchumi baada ya ile vita
Tuna tatizo kubwa, hatujawahi kupata watu smart sana wa kuendesha uchumi.
Nchi zote ambazo hupigania vita nchi nyingine uchumi wake hushamirishwa na vita ila sisi wa kwetu ulisinyaa! Ni kama vile pia kwenye miradi mikubwa ambayo imekuwa inaendeshwa sehemu mbalimbali za nchi bila kuufanya uchumi wetu kushamiri kipindi hicho inatekelezwa na zaidi sana kunyonya pesa za nchi tu.
 
Back
Top Bottom