Vita ya Kagera: Nimemaliza kutoa Mahari, Simu inaita naambiwa haraka niende Vitani

Vita ya Kagera: Nimemaliza kutoa Mahari, Simu inaita naambiwa haraka niende Vitani

Mnakosa subra vijana wa leo. Subra nayo ni ibada. Mngesubiri nimalize kazi then niwape mkasa wote. Ni tukio ambalo siwezi sahau. Hasa nlipoenda field kwenyewe..ukiuliza kikosi cha 20kj wananifahamu vizuri
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤩🤩🤩🤩🤩🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wallah hili lilikuwa ni moja ya jaribu zito maishani mwangu. Baada ya kukata ile simu nlikuwa kama nimemwagiwa maji ya baridi. Nlinywea.... Nakumbuka mshenga na mjomba wangu walikuwa wa kwanza kuniuliza "Yusuf umepatwa na nini ?"

Nlianza kuwaza ina maana sasa yule binti nitamwoa au inakuaje? Mara tena simu ikaanza ku vibrate.....safari hii sikutaka hata kufikiria kupokea. Ili vibrate kama mara 20 hivi nikaona isiwe kesi ngoja nipokeee ila nijifanye nimelala naumwa.

Nilipopokea nilisabahiwa na tusi kwanza " we falah unajifikiria kupokea simu upo juu ya demu nini?"

Kabla.sijajibu rafiki yangu Majariwa aliendelea. " Mwanangu kaza matakoh....tunaondoka.wote kwenda Kagera Idd Amin kavamia Tz. Nawe jina lako limetAjwa katika wanaoondoka. Fanya fanya tusepe kesho"

Nlimshanga Majariwa anaongea kama jambo la kufurahisha wakati mwenzie ndo nimetoka kulipa mahari....nikawaza hapa nisije nikawa mahari nimewalipia watu wengine....sikuwa na namna. Nikarudi ndani ukweni nikiwa na mawazo mengi sana....

ITAENDELEA.....
Acha uongo wewe humu tupo vizazi vilivyo bobea siyo GEN Z. Mwaka huo hakukuwa na MOBILE PHONES Kwahiyo acha kuwadanganya wasomaji. Simu za mikononi zimeanza miaka ya 1996/1997. Na vita vya Kagera ilikuwa mwaka 1978-1979
 
Acha uongo wewe humu tupo vizazi vilivyo bobea siyo GEN Z. Mwaka huo hakukuwa na MOBILE PHONES Kwahiyo acha kuwadanganya wasomaji. Simu za mikononi zimeanza miaka ya 1996/1997. Na vita vya Kagera ilikuwa mwaka 1978-1979
Mnakosa subra vijana wa leo. Subra nayo ni ibada. Mngesubiri nimalize kazi then niwape mkasa wote. Ni tukio ambalo siwezi sahau. Hasa nlipoenda field kwenyewe..ukiuliza kikosi cha 20kj wananifahamu vizuri
 
Umeyakanyaga kijana mwenzangu. Chai imekuwa ya moto sana
Mnakosa subra vijana wa leo. Subra nayo ni ibada. Mngesubiri nimalize kazi then niwape mkasa wote. Ni tukio ambalo siwezi sahau. Hasa nlipoenda field kwenyewe..ukiuliza kikosi cha 20kj wananifahamu vizuri. Hivi vita siwezi visahau. Simu nlikuwa natumia ilikuwa ni motorolla.
 
Kwaiyo simu ili vibrate mara 20 huo mwaka 1978.
Jamaa usiendee na stori usije kutuambukiza ujinga wako.
Mnakosa subra vijana wa leo. Subra nayo ni ibada. Mngesubiri nimalize kazi then niwape mkasa wote. Ni tukio ambalo siwezi sahau. Hasa nlipoenda field kwenyewe..ukiuliza kikosi cha 20kj wananifahamu vizuri. Hivi vita siwezi visahau. Simu nlikuwa natumia ilikuwa ni motorolla.
 
Wallah hili lilikuwa ni moja ya jaribu zito maishani mwangu. Baada ya kukata ile simu nlikuwa kama nimemwagiwa maji ya baridi. Nlinywea.... Nakumbuka mshenga na mjomba wangu walikuwa wa kwanza kuniuliza "Yusuf umepatwa na nini ?"

Nlianza kuwaza ina maana sasa yule binti nitamwoa au inakuaje? Mara tena simu ikaanza ku vibrate.....safari hii sikutaka hata kufikiria kupokea. Ili vibrate kama mara 20 hivi nikaona isiwe kesi ngoja nipokeee ila nijifanye nimelala naumwa.

Nilipopokea nilisabahiwa na tusi kwanza " we falah unajifikiria kupokea simu upo juu ya demu nini?"

Kabla.sijajibu rafiki yangu Majariwa aliendelea. " Mwanangu kaza matakoh....tunaondoka.wote kwenda Kagera Idd Amin kavamia Tz. Nawe jina lako limetAjwa katika wanaoondoka. Fanya fanya tusepe kesho"

Nlimshanga Majariwa anaongea kama jambo la kufurahisha wakati mwenzie ndo nimetoka kulipa mahari....nikawaza hapa nisije nikawa mahari nimewalipia watu wengine....sikuwa na namna. Nikarudi ndani ukweni nikiwa na mawazo mengi sana....

ITAENDELEA.....
Uwongo wa mchana kweupe...
 
Kijana wa 20
Wallah hili lilikuwa ni moja ya jaribu zito maishani mwangu. Baada ya kukata ile simu nlikuwa kama nimemwagiwa maji ya baridi. Nlinywea.... Nakumbuka mshenga na mjomba wangu walikuwa wa kwanza kuniuliza "Yusuf umepatwa na nini ?"

Nlianza kuwaza ina maana sasa yule binti nitamwoa au inakuaje? Mara tena simu ikaanza ku vibrate.....safari hii sikutaka hata kufikiria kupokea. Ili vibrate kama mara 20 hivi nikaona isiwe kesi ngoja nipokeee ila nijifanye nimelala naumwa.

Nilipopokea nilisabahiwa na tusi kwanza " we falah unajifikiria kupokea simu upo juu ya demu nini?"

Kabla.sijajibu rafiki yangu Majariwa aliendelea. " Mwanangu kaza matakoh....tunaondoka.wote kwenda Kagera Idd Amin kavamia Tz. Nawe jina lako limetAjwa katika wanaoondoka. Fanya fanya tusepe kesho"

Nlimshanga Majariwa anaongea kama jambo la kufurahisha wakati mwenzie ndo nimetoka kulipa mahari....nikawaza hapa nisije nikawa mahari nimewalipia watu wengine....sikuwa na namna. Nikarudi ndani ukweni nikiwa na mawazo mengi sana....

ITAENDELEA.....
Kijana wa 2005 huyu, anadhani mwaka 1978 kulikuwa na simu za kiganjani. Rudi ukajipange upya ndugu.
 
Kwaiyo simu ili vibrate mara 20 huo mwaka 1978.
Jamaa usiendee na stori usije kutuambukiza ujinga wako.
Mnakosa subra vijana wa leo. Subra nayo ni ibada. Mngesubiri nimalize kazi then niwape mkasa wote. Ni tukio ambalo siwezi sahau. Hasa nlipoenda field kwenyewe..ukiuliza kikosi cha 20kj wananifahamu vizuri
 
Back
Top Bottom