Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Chai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1978 kulikuwa na simu za vibrate? Kwanza hizo simu zwnyewe za ttcl hazikuwepo mitaani. Ni baadhi tu ofisi. So huu ni upuuzi kama upuuzi mwingine.Wallah hili lilikuwa ni moja ya jaribu zito maishani mwangu. Baada ya kukata ile simu nlikuwa kama nimemwagiwa maji ya baridi. Nlinywea.... Nakumbuka mshenga na mjomba wangu walikuwa wa kwanza kuniuliza "Yusuf umepatwa na nini ?"
Nlianza kuwaza ina maana sasa yule binti nitamwoa au inakuaje? Mara tena simu ikaanza ku vibrate.....safari hii sikutaka hata kufikiria kupokea. Ili vibrate kama mara 20 hivi nikaona isiwe kesi ngoja nipokeee ila nijifanye nimelala naumwa.
Nilipopokea nilisabahiwa na tusi kwanza " we falah unajifikiria kupokea simu upo juu ya demu nini?"
Kabla.sijajibu rafiki yangu Majariwa aliendelea. " Mwanangu kaza matakoh....tunaondoka.wote kwenda Kagera Idd Amin kavamia Tz. Nawe jina lako limetAjwa katika wanaoondoka. Fanya fanya tusepe kesho"
Nlimshanga Majariwa anaongea kama jambo la kufurahisha wakati mwenzie ndo nimetoka kulipa mahari....nikawaza hapa nisije nikawa mahari nimewalipia watu wengine....sikuwa na namna. Nikarudi ndani ukweni nikiwa na mawazo mengi sana....
ITAENDELEA.....
Jamaa tapeliMwaka 1978 ulikua unamiliki simu.
1978 ulikuwa na simu ya kuvibrate?Wallah hili lilikuwa ni moja ya jaribu zito maishani mwangu. Baada ya kukata ile simu nlikuwa kama nimemwagiwa maji ya baridi. Nlinywea.... Nakumbuka mshenga na mjomba wangu walikuwa wa kwanza kuniuliza "Yusuf umepatwa na nini ?"
Nlianza kuwaza ina maana sasa yule binti nitamwoa au inakuaje? Mara tena simu ikaanza ku vibrate.....safari hii sikutaka hata kufikiria kupokea. Ili vibrate kama mara 20 hivi nikaona isiwe kesi ngoja nipokeee ila nijifanye nimelala naumwa.
Nilipopokea nilisabahiwa na tusi kwanza " we falah unajifikiria kupokea simu upo juu ya demu nini?"
Kabla.sijajibu rafiki yangu Majariwa aliendelea. " Mwanangu kaza matakoh....tunaondoka.wote kwenda Kagera Idd Amin kavamia Tz. Nawe jina lako limetAjwa katika wanaoondoka. Fanya fanya tusepe kesho"
Nlimshanga Majariwa anaongea kama jambo la kufurahisha wakati mwenzie ndo nimetoka kulipa mahari....nikawaza hapa nisije nikawa mahari nimewalipia watu wengine....sikuwa na namna. Nikarudi ndani ukweni nikiwa na mawazo mengi sana....
ITAENDELEA.....
kwa hiyo ndugu we we hutazeeka?Vizee bwana yaani vikianza kuonja msoto wa mtaani ,vinakuja nduki kuandika uongo lengo viheshimiwe
Wallah hili lilikuwa ni moja ya jaribu zito maishani mwangu. Baada ya kukata ile simu nlikuwa kama nimemwagiwa maji ya baridi. Nlinywea.... Nakumbuka mshenga na mjomba wangu walikuwa wa kwanza kuniuliza "Yusuf umepatwa na nini ?"
Nlianza kuwaza ina maana sasa yule binti nitamwoa au inakuaje? Mara tena simu ikaanza ku vibrate.....safari hii sikutaka hata kufikiria kupokea. Ili vibrate kama mara 20 hivi nikaona isiwe kesi ngoja nipokeee ila nijifanye nimelala naumwa.
Nilipopokea nilisabahiwa na tusi kwanza " we falah unajifikiria kupokea simu upo juu ya demu nini?"
Kabla.sijajibu rafiki yangu Majariwa aliendelea. " Mwanangu kaza matakoh....tunaondoka.wote kwenda Kagera Idd Amin kavamia Tz. Nawe jina lako limetAjwa katika wanaoondoka. Fanya fanya tusepe kesho"
Nlimshanga Majariwa anaongea kama jambo la kufurahisha wakati mwenzie ndo nimetoka kulipa mahari....nikawaza hapa nisije nikawa mahari nimewalipia watu wengine....sikuwa na namna. Nikarudi ndani ukweni nikiwa na mawazo mengi sana....
ITAENDELEA....
Vita ya kagera?.....wanajeshi kwenda vitani walichaguliwa kwa majina?.........mwanajeshi mstaafu aliepigana vita ya kagera anaijua JF?.......WALIOENDA VITANI KAGERA LEO NI MAHAYATI NA WAZEE WA KUANZIA MIAKA 70 NAKUENDELEA.Mnakosa subra vijana wa leo. Subra nayo ni ibada. Mngesubiri nimalize kazi then niwape mkasa wote. Ni tukio ambalo siwezi sahau. Hasa nlipoenda field kwenyewe..ukiuliza kikosi cha 20kj wananifahamu vizuri
Rafiki wapi nimeandika sitazeeka ,mnywanyi?kwa hiyo ndugu we we hutazeeka?
Inawezekana alikua na simu ya matakoni kweni za mkononi zilikua hazija toka.Mwaka 1978 ulikua unamiliki simu.
Nozoka nobona ubezee ne dharau na ne ntambala.Rafiki wapi nimeandika sitazeeka ,mnywanyi?
YaaniMwaka 1978 ulikua unamiliki simu.
Chei watata ,onganyile kusha ,kilokilinya nkaba ntamile ,tinamanyile nka nkakomenti bilinyaNozoka nobona ubezee ne dharau na ne ntambala.
alafu vizee vya vile vipo sana kwenye zile meza za kahawa we siku jitoe akili ukakae nao uone balaa lao yani waongo waongooooKuna mzee mmoja nae juz kaleta story za hii vita na watu walimcrash sana hasa hasa hapo kwenye sm mpaka alikimbia uzi
Pia alijichanganya kwenye mwezi ambapo idd alivamia tz
Chei watata ,onganyile kusha ,kilokilinya nkaba ntamile ,tinamanyile nka nkakomenti
1978 simu zilikuwepo ndugu mzalendo?Njoo nikufundishe namna nzuri ya kuandika chai